Joyce Mukya ni nani? Pamoja na kutokuwa active kwenye Siasa bado anapeta ubunge CHADEMA zaidi ya miaka 10

inasikitisha sana, kama mwenyekiti ndio anatafuna kondoo wake....je tukimpa nchii hii si atamaliza kila mahali.....huyu hafai hata kuaminiwa kupewa ubunge hai.
 
inasikitisha sana, kama mwenyekiti ndio anatafuna kondoo wake....je tukimpa nchii hii si atamaliza kila mahali.....huyu hafai hata kuaminiwa kupewa ubunge hai.
Pamoja na kuwa mwenyekiti yeye ni mwanaume rijali..mwacheni afaidi bana
 
Mbowe ana miaka zaidi ya 18

Huyo Joyce ana miaka zaidi ya 18

Mbowe akiwa Joyce wewe kinakuwasha nini?

Watu wazima wawili wakikubaliana sijui wewe unataka uwe wewe instead?

This is pure nonsense!
 

Wakuu huyu ndio anaitwa JOYCE JOHN AIKAEL MUKYA MBOWE, Huyu ndio amesababisha mpaka mzee wa Shingo nene ameanguka kwenye ngazi baada ya mzee kutoka kugonoka nae. Wakuu hiki ni Chombo haswa, kimsingi simlaumu tena homeboy Mbowe, ndio maana Mhe. Hilalry Aesh alirusha ngumi wallah
 
inasikitisha sana, kama mwenyekiti ndio anatafuna kondoo wake....je tukimpa nchii hii si atamaliza kila mahali.....huyu hafai hata kuaminiwa kupewa ubunge hai.
Sasa ninafuga kuku ndani nikanunue vipaja au shingo mtaani wakati wa kushika na kuchinja au kunyonga wapo?
 
Hata ccm kuko hivi Kawe Alumni huku anapiga kelele wakat mbunge anatoka chadema anapewa ubunge ccm wakat yy akishinda kwenye majukwaa huku akipigania chama wakati chama kina wenyewe . huu utaweza sema undugu au urafiki wakupeana vyeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…