JPM anatumia kinywaji gani?

Hata kama ni bia basi atakuwa anapenda za moto....
 
Cuf wanajielewa hawataki kuburuzwa kama wanavyoburuzwa majizi Chadema na mbadilisha gia za angani mfalme Mbowe
 
Hahaha ngoja nipige kimyaaa naona mods wananiwinda [emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji15] [emoji12]
 
Wasukuma kwa ile kitu ya mapapai hawawezekani.
 
Wakati tumbua tumbua ya majipu ilivoanza tulisema ni nguvu ya soda nae mtukufu.Dr.Mwl.Mh. pombe alisema "soda ikichanganywa na gongo huwa Kali sana " labda huenda anapiga iyo.... Natania tu
 
Anahitaji kunywa wine au beer kidogo ili ajifunze ku take easy

nasikia hanywi pombe kabisa
 
Dah...Unataka kumpa ofa nini?? Usijali mkuu..Mheshimiwa yupo simpo sana...hata maji ya Kandoro anagonga tu hanaga makuu..🙂🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…