Juis ya limao, coz muda wote sura imemchachuka.
Cha Arusha ni kaka jirani, hata macho saa zote yameiva.Naogopa kusema nadhani ile kitu ya arusha
Dah...Unataka kumpa ofa nini?? Usijali mkuu..Mheshimiwa yupo simpo sana...hata maji ya Kandoro anagonga tu hanaga makuu..🙂🙂Nauliza jamani kwa wanaomfahamu vizuri,hivi bosi huwa anakunywa? kama anakunywa anatumia kinywaji gani? maana JK alikuwa anatumia Juisi, Kambarage alikuwa anapiga bia aina ya plisner,soda ya fanta na wine aina ya Mateus (‘Dokta Nchia’: Mpishi wa Nyerere | Gazeti la Jamhuri) Ben nae?
Madame upo korekti!...lakini kwa ile speech aliyoshusha kwenye ujio wa Obama, naona ihalalishe tu.Cha Arusha ni kaka jirani, hata macho saa zote yameiva.