JPM, CCM wakishinda, Freeman Aikaeli Mbowe ni lazima ajiuzulu, amwachie Tundu Lissu. Lissu aache Uanaharakati, aonyeshe Statesmanship

Mkuu Mindi , kwanza asante kwa mchango wako, nadhani tangu bandiko hili limepanda mpaka sasa more than 100 posts, mchango wako ndio the most objective.

P
 
Je magufuli anayo hiyo statemanship?
Aliwahi kuionyesha kipindi waziri?
Na yeye si dodo tu lilimdondokea.
 
Hapa Mzee Mwanakijiji alisema kweli, hili la kwanza limetokea, Lissu ameshindwa.

Sasa na tusubiri la pili, jee litatokea?.
P
 
Mkuu kwani Mzee Mwanakijiji si ndio wewe pia?
Kwanini usiandike kwa ID yako ya Mayala tuu
Mkuu Kyalow , sijui ni ugeni au kusahau tuu, jf tuna sheria yetu inaitwa "name calling", hairuhusiwi kumfananisha mwana jf na mtu yoyote, hivyo kumfananisha Mzee Mwanakijiji na mtu mwingine yoyote ni name calling!.
P
 
Psscal unatatizo moja ie. When you see things, you want you dont want see things you dont want.HEITER. Haya akishaua kila mtu akakupa huo ukuu wa wilaya utaufanyia nini? Think like aman.
 
nyie MAENDELEO YETU MMEYAKANYA CHINI kisa kampeni za KIHUNI ZISIZOZA KIZALENDO KWELI UNADIRIKI KABISA KUSEMA UTAWEKA REHANi MADINI/UTAJIRI WETU kweli Tundu lina umbo la Duara na Duara lina umbo la ZERO au O kubwa . Na tundu kama hilo ni lile linalo tumika kutoa uchafu mkubwa mwilini/kinyedi AMBALO SASA NILO MASHOGA HUTUMIA KUFANYIA MAPENZI kwa mwanaume mwenzake ni kinyaaa sana/hili ni usodoma
 
Mkuu Drifter, kwanza asante kwa mchango wako, very objective, kiukweli tangu nimepandisha uzi huu, wewe ndio mtu wa kwanza kunielewa, kwasababu, kiukweli kabisa, hii jf ya sasa, tuna watu wachache sana, wenye kuweza kusoma bandiko na kisha kujiuliza what is the motive behind.

Chama cha Mapinduzi ni chama cha ukweli na haki, kiliasisiwa na Mwalimu Nyerere, mpenda haki na mtenda haki. Baada ya Mwalimu, CCM ilipitia mageuzi na kuishiwa kuhodhiwa na wenye fedha, hivyo kuzalisha kada kubwa ya makada wa CCM ambao ni makada maslahi, na kwenye uchaguzi, wanakuwa wako tayari kutumia mbinu zozote kushinda uchaguzi. JPM alipoingia, amekuja kuibadili CCM kuirudisha ile CCM ya Nyerere. Sasa ndani ya makada wa CCM, kuna makada wa aina mbili, kuna "CCM Die Hard", hawa ndio wanaotaka kuhakikisha CCM inaupondaponda upinzani na kushinda kwa asilimia 99.9% kwa kutumia mbinu zozote.

Tupo sisi makada "Modern CCM" ambao kutokana na good track ya kazi nzuri ya JPM, CCM innashinda kwa mshindi mzuri safi na clear victory, kushinda kwa haki bila kufanya figisu figisu zozote.

Kwa vile Bunge letu ni Bunge la vyama vingi, mimi naamini kuna baadhi ya wana CCM very genuine, hakupenda kuona baadhi ya wapinzani wakishindwa akiwemo mtu kama Zitto!. Lakini kutokana na wapinzani kukataliwa na wananchi, ili Bunge lichangamke, zile kamati 2 za oversight committee, PAC na LAAC, lazima ziongozwe na wabunge wa upinzania ambao ni vichwa vya ukweli, kwenye hao wabunge wote sijaona watu wa kalibre hiyo ndio maana kila siku, tunamuomba Mwenyekiti wetu, JPM, katika zile nafasi zake 10, awateua wapinzani 4, Zitto, JJ Mnyika, Mbatia na kale kabinti Queen Sendiga.

Ili CCM itawale vizuri inahitaji Upinzani makini, ndio maana kila uchao, naibalasa Chadema humu na ACT Zanzibar, waache ujinga wa kususa. Ili kusasa kwa akili ni kususa kama kwa kususa huko utaachieve something, lakini kususa tuu for the sake of kususa, huku you won't achieve anything huu ni ujinga!.

Karibu tena.
P
 
Mbowe alipaswa kuachia chama siku nyingi na kumkabidhi LIssu!, iweje bado anang'ang'ania?.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…