Tetesi: JPM, Shikilia Ndege Moja ya SAA pale JNIA. Tit 4 Tat is a fair Game

Tetesi: JPM, Shikilia Ndege Moja ya SAA pale JNIA. Tit 4 Tat is a fair Game

Ahahaha umejifunza ngumi leo wataka kupigana na Tyson?
 
Reasoning Danganyikan way like you have cowdung in between your ears. Biashara ya ndege si kama kunywa supu ya Pweza. Pay the damn bill.
 
Hivi wanaofurahia Kushikiliwa kwa ndege ya ATCL mnafikiria Serikali ya Tz Haina uwezo wa kurudisha konde kwa konde?
Hauwezi enda kortini kwa utumbo wako bila kufahamisha ATCL malalamishi yako tena ukimbie na hukumu iso fanywa kwa kusikiliza pande zote mbili.
Nzi wa kijani katika ubora wenu.
unayomshauri hapa hata maprofesa aliowjaza wizarani ndio wanamshauri upupu huu huu, endelea , mwambie kuna ubalozi wa south africa, kuna magar yao , vyote avishikilie, simple tu, si ana jeshi kubwa na polisi, kwa nini bhana.
 
Nzi wa kijani katika ubora wenu.
unayomshauri hapa hata maprofesa aliowjaza wizarani ndio wanamshauri upupu huu huu, endelea , mwambie kuna ubalozi wa south africa, kuna magar yao , vyote avishikilie, simple tu, si ana jeshi kubwa na polisi, kwa nini bhana.
Hivi Accacia mlio sema ikiguswa Tz itapigwa mnada ipo wapi leo? Kwa uoga wenu msahau dola kabisa. Mbakie kuimbia pambio Lissu na Mbowe lakini dola hapana
 
Hivi Accacia mlio sema ikiguswa Tz itapigwa mnada ipo wapi leo? Kwa uoga wenu msahau dola kabisa. Mbakie kuimbia pambio Lissu na Mbowe lakini dola hapana
uharo mtupu, kati ya dola zote mlizosema mnapewa sijui kishika uchumba zimekuja, mliwaacha watoe press conference wao ama mlikuja na kiswahili chenu cha porini huko, msifikiri haifahamiki kilichotkea, ulizia yale makontena ya makinikia yalipo, wewe endelea na " iyena iyena" tutakuja kuongea lugha moja tu, mda unakuja
 
Hivi wanaofurahia Kushikiliwa kwa ndege ya ATCL mnafikiria Serikali ya Tz Haina uwezo wa kurudisha konde kwa konde?
Hauwezi enda kortini kwa utumbo wako bila kufahamisha ATCL malalamishi yako tena ukimbie na hukumu iso fanywa kwa kusikiliza pande zote mbili.
Bangi unayovutaga ni Kali sana
 
jamani comredi ramaphosa sio mzuri mazeee....si ni majuzi tu tumempa madesa na makamusi ya kiswahilii!!
 
jamani comredi ramaphosa sio mzuri mazeee....si ni majuzi tu tumempa madesa na makamusi ya kiswahilii!!
Ameenda mpaka mazimbu,au nawao waje wachukue makaburi yao nasisi tunataka tulitumie lile eneo....ha ha ha
 
Sidhani kama Rais anaweza kuingilia mahakama,ila hawa jamaa hawana dhamana
kwa tanzania si kashawaweka kwenye mfuko wa koti, alihisi na huko south ndiyo hivyo.

jpm ajue tu kwa sasa afrika kusini bunge kinamuhoji raisi alipotoa hela za kampeni, just imagine ingeuwa hapa bongo, wahindi wote wanaichangiaga ccm, na sheria hairuhusu.
 
kwa tanzania si kashawaweka kwenye mfuko wa koti, alihisi na huko south ndiyo hivyo.

jpm ajue tu kwa sasa afrika kusini bunge kinamuhoji raisi alipotoa hela za kampeni, just imagine ingeuwa hapa bongo, wahindi wote wanaichangiaga ccm, na sheria hairuhusu.
Ngoja tuone mwisho wake
 
Mkikuyu Akili Maji leo uko bitter, Si I thought wasauzi ni ndugu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ramaphosa nimemdharau sana
Ningekuwa wewe ningemheshimu sababu anajali katiba ya nchi hivyo anaacha sheria ichukue mkondo wake. Ulitaka mkuu wa mkoa wa ilipo ndege aamuru waiachie au???? Muulize Zuma akwambie sera na katiba za SA bila kujali vyama.
 
Sawa mwenye IQ kubwa
samahani boss, nisamehe siajkusudia kuku ofend, nisamehe, ila tumia logoc and reasoning, hata hitlar alisifa hivi hicvi, al bashir wa sudan mpaka mwaka huu nchi za afrika zilimpa kiburi lakini leo hii kapinduliwa na wananchi wake, yupo lipango, tumia akili, kama ni maisha yapo tu
 
Back
Top Bottom