Tetesi: JPM, Shikilia Ndege Moja ya SAA pale JNIA. Tit 4 Tat is a fair Game

Tetesi: JPM, Shikilia Ndege Moja ya SAA pale JNIA. Tit 4 Tat is a fair Game

Weka picha tu na mahakimu utawaona wa kutosha
Kila mtu humu anajua kinachoendelea na kutoa hukumu kabisaaaa
 
Acha kumjaza ujinga mwenzio
Hivi wanaofurahia Kushikiliwa kwa ndege ya ATCL mnafikiria Serikali ya Tz Haina uwezo wa kurudisha konde kwa konde?
Hauwezi enda kortini kwa utumbo wako bila kufahamisha ATCL malalamishi yako tena ukimbie na hukumu iso fanywa kwa kusikiliza pande zote mbili.
 
Taarifa zinasema kwamba hili ni deni la mtu binafsi ambaye anaidai Tanzania toka miaka ya 1980s, inahusiana na Ardhi ambayo serikali ya Tanzania iliichukua toka kwa mzee huyo wa kizungu na kukubaliana GoT kumlipa fidia huyo mzee mwenye umri wa miaka 76 kwa sasa, serikali ilimlipa $20M, lakini haikumalizia hayo malipo kwa miaka mingi, sasa amekwenda mahakamani ambapo ameruhusiwa kushika Mali yoyote ya Tanzania.
 
Leo hiyo taarifa hapa tuione[emoji23][emoji23][emoji23]. ATLC lazima ilipe deni.
Taarifa zinasema kwamba hili ni deni la mtu binafsi ambaye anaidai Tanzania toka miaka ya 1980s, inahusiana na Ardhi ambayo serikali ya Tanzania iliichukua toka kwa mzee huyo wa kizungu na kukubaliana GoT kumlipa fidia huyo mzee mwenye umri wa miaka 76 kwa sasa, serikali ilimlipa $20M, lakini haikumalizia hayo malipo kwa miaka mingi, sasa amekwenda mahakamani ambapo ameruhusiwa kushika Mali yoyote ya Tanzania.
 
Mkuu unaijua diplomasia yetu na south Africa Au unaropoka tu
Nchi yetu inahujumiwa still unacoment irrelevant? Is this fair!
Ningekuwa wewe ningemheshimu sababu anajali katiba ya nchi hivyo anaacha sheria ichukue mkondo wake. Ulitaka mkuu wa mkoa wa ilipo ndege aamuru waiachie au???? Muulize Zuma akwambie sera na katiba za SA bila kujali vyama.
 
Hatuongelei siasa apa tunaangalia nchi kuhujumiwa wewe unaongezea maneno ya ajabu hovyo sana
wewe unalalia nyumba ya mbavu unamdharau inamhusu nini?
kopa lipa, kama umezoea kudhulumu ramirambi za kagera, fidia kimara, kura, eh wazabuni wa serikali, wapinzani ukaanza kuvuka mipaka pale umechemka jombii
 
Mkuu unaijua diplomasia yetu na south Africa Au unaropoka tu
Nchi yetu inahujumiwa still unacoment irrelevant? Is this fair!
Niite mropokaji lakini ujue kuwa sheria kwanza, urafiki baadaye. Tangu Tupiganie uhuru nchi za wenzetu kama hao SA, Namibia, Zimbabwe, Msumbiji, Sherisheri na nyingine tumevuna nini? Watu wajomba zetu hata makaburi hatuyajui na kibaya zaidi hata kifuta macho hakikutolewa miaka ya sabini na mwingine kafia Msumbiji wakati wanapigana wenyewe kwa wenyewe. Uzalendo uendane na haki kwa waliouonyesha. Nafurahi kuona SA walipigania uhuru na sasa wanaheshimu sheria za nchi.
 
kwa tanzania si kashawaweka kwenye mfuko wa koti, alihisi na huko south ndiyo hivyo.

jpm ajue tu kwa sasa afrika kusini bunge kinamuhoji raisi alipotoa hela za kampeni, just imagine ingeuwa hapa bongo, wahindi wote wanaichangiaga ccm, na sheria hairuhusu.

Black South Africans are the Most useless African Brothers and Sisters,
They normally elect crooks to be their Leaders, Yule Ramaphosa hata akizungumza unaona kabisa ni Armature who got access to the power probably because of $$ or ANC wanted an immediate replacement of Zuma, Just Imagine Jacob Zuma was a standard Seven President, very Armature,
And I can assure you if the whites will exit SA, it will immediately be like Zimbabwe ,
It is only in South Africa where the Illiterate fella will complain that A medical Doctor from Zimbabwe took his Job.
the way they harass their fellow Africans doing business in There tells everything
But In 10-15 years time they will be wondering how Tz catched up while they stuck in their old Xenophobic attitude,
Na hii najua ni Wivu tu wa biashara bearing in mind that SAA is dying as we speak.
China owe Almost All african countries billions of $$ but you wont hear such embarrassments in public.
Ni bora udaiwe na mhindi sio mtu wa Africa Kusini.
 
Hivi wanaofurahia Kushikiliwa kwa ndege ya ATCL mnafikiria Serikali ya Tz Haina uwezo wa kurudisha konde kwa konde?
Hauwezi enda kortini kwa utumbo wako bila kufahamisha ATCL malalamishi yako tena ukimbie na hukumu iso fanywa kwa kusikiliza pande zote mbili.
Obviously for them to detain ka ndege ka ATCL ni lazima walionyesha convincing evidence kwa korti ndio ndege ikashikwa.

We mjinga unafikiri SA ni kama Tz yenyu ambapo ujinga na ndoto chafu za Magufuli ndio sheria?
 
Buda dawa ya deni ni kuilipia
Hawa wajinga Tz they're advocating rule of the jungle and "state sponsored terrorism on SAA " kama vile wanatawaliwa na huyu JPM wao.Rule of law is alien to them.
 
Black South Africans are the Most useless African Brothers and Sisters,
They normally elect crooks to be their Leaders, Yule Ramaphosa hata akizungumza unaona kabisa ni Armature who got access to the power probably because of $$ or ANC wanted an immediate replacement of Zuma, Just Imagine Jacob Zuma was a standard Seven President, very Armature,
And I can assure you if the whites will exit SA, it will immediately be like Zimbabwe ,
It is only in South Africa where the Illiterate fella will complain that A medical Doctor from Zimbabwe took his Job.
the way they harass their fellow Africans doing business in There tells everything
But In 10-15 years time they will be wondering how Tz catched up while they stuck in their old Xenophobic attitude,
Na hii najua ni Wivu tu wa biashara bearing in mind that SAA is dying as we speak.
China owe Almost All african countries billions of $$ but you wont hear such embarrassments in public.
Ni bora udaiwe na mhindi sio mtu wa Africa Kusini.
Mbona Tanzania kuna watanzania wenzetu tunawaambia sio watanzania, unashangaa wasouth kubania kazi zao
 
Ramaphosa nimemdharau sana

Lipa deni!

SA sio shithole kama TZ!

Ni nchi ya rule of law!

Na biashara haina undugu!

Kwanza TZ hatuna undugu wa damu yoyote na SA!

Hata kama kungekua na undugu wa damu,lazima deni lilipwe na amri ya mahakama iheshimike!

Sio kama hili lishithole letu haliheshimu amri za mahakama!
 
Back
Top Bottom