MKUU WEWE MSEMAKWELI, Jiwe kazoea ubabe ananyanganya wakandarasi passport, sijui anavunja sheria na kaiba, sijui machinga wakae popote, sijui korosho, ingekuwa south siku nyinginwashamfurusha, huu ujinga umelelewa na ccm na mazombi, wamewachukua watu msukule kwa kigezo cha uzalendo, kama kweli walikuwa wazalendo basi wachangishane matawi ya CCM kulipia hiyo ndege