Mh. JPM naomba uelekeze macho kwa wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Africa Mashariki. ...walifanya kazi kwa uadilifu kama ilivyo kauli mbiu yako lakini HAWAJALIPWA haki zao. ..wengi wamekufa. ..ni dhambi kuona waliotumikia taifa wakipuuzwa
Kwa kweli inasikitisha, Mimi baba yangu alistaafu 1979, mpaka leo hatujalipa kama sio dhuluma ni nini? Wakati pesa ilitolewa na wenzetu nchi jirani walilipwa bila shida yoyote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.