Jua haki yako unapokamatwa na Polisi

Kama umelivuruga hayo yote hayasaidii wakuda watajitambulisha na kukungangania tuu, cha msingi ni kujitahidi kuzuia kutenda matendo ambayo yapo kinyume nasheria
 
Kwa ninavyowafahamu hawa polisi wetu wenye akili ndogo,ukimwambia nikupekue wewe kwanza,sipati picha hicho kipigo chake,tunaonewa sana,but somo zuri sana!
 
Mkuu, ktk hili la kusachi, je linahusu mali tu au hata mtuhumiwa akijificha ndani Askari hawaruhusiwi kukutafuta humo ndanitmpaka wapate hati ya mahakama?
 
Polisi kama askari wote wengine wana senses of feeling superiority complex, kwa maana ya kwamba kuna hatari kubwa kutaka kuipoka hiyo status uchwara ya hawa mabwana, kujifanya mjuaji na mjeuri kutapelekea kusababisha kutumika nguvu ya ziada dhidi yako.

Jifanye mjinga huku ukidodosa na kukumbusha haki zako pasipo kuonyesha kuzidai saana, kutagonga kengele ya hatari kichwani mwao kwamba unajua haki zako, lakinj kuzidai blah blah blah mara nimpekue askari hii itakufanya ukalie kuti kavu...

"Kwa mwoga uenda kicheko, ila kwa shujaa uenda kilio"
 
Unataka watu wapasuke ngoma za masikio labda tuwafundishe kwanza askari vinginevyo hatari
 
Asante kwa elimu hii mh. Lakini kwa upande wangu bado sijaelewa vizuri kuhusiana na muda wa Askari kwenda kumkamata au kumpekuwa mtuhumiwa nyumbani kwake. Kwani nimewahi kusikia Polisi wakiwavizia baadhi ya watuhumiwa usiku au alfajiri na mapema majumbani mwao.

Na kama hatua hii ni uvunjifu wa sheria, sasa Polisi watawezaje kuwakamata majambazi wanaoingia makwao usiku na kuondoka kabla hakujachwa?
 

Aidha, mtuhumiwa hatakamatwa au kupekuliwa na askari polisi baada ya saa 12.30 jioni au kabla ya saa 12.30 alfajiri, kwa mujibu wa Mwenendo wa Makosa ya Jinai (Penal Code Act), isipokuwa tu, kama kutakuwa na ushahidi wa kutosha kwamba, kumpekua mtuhumiwa kabla ya saa 12.30 alfajiri au baada ya saa 12.30 jioni kunaweza kuleta madhara kwa askari polisi, mashahidi au watu wengine
 

Kwa bongo hapa hayawezekani kiuwalisia, usisababishe tukayatumia then ikawa ndo kiama chako bure
 
ngoja niwaprintie washkaji wa kitaa wajiweke fresh
 
Kwa mfumo wa jeshi la polisi hapa tz sina uhakika kama wanaweza kukubali kuzingatia na kufuata taratibu na kanuni hizo ndo maana mpaka leo siwezi kuwatofautisha na 'iron boys' hata kama wamo waliokwenda shule.
 
Safi, tusaidie pia haki za dereva ukishikwa na traffic police. Maana nao ni keeero tupu barabarani

Ni kweli mkuu, hawa jamaa wakikukamata wanataka kama ni adhabu basi uilipe hapo hapo na hawakupi risiti, wanakuambia risiti uipitie kesho! Kama huna hela basi ukalaze gari polisi? Hivi haziwezekani dereva akaandikiwa na akaenda kulipia siku nyingine?
 

Umenena kweli...,..
 

Huyu ametunga sheria zake binafsi.........
 
tatizo mapolisi wengi classless, hawajui sheria ndio maana wanatumia sana nguvu. ukiona askari anakuja kukukamata we jifanye unazijua sheria kuliko walio tunga, utaona anakuwa mdogo kama piriton
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…