du kwa hiyo hata wakati wa kumkamata jambazi mwenye silaha askari lazima ajitambulishe? du sheria tamu kwa bongo
sheria inasema kutokana na hali halisi polisi atatakiwa kujitambulisha au kumtaarfu mtuhumiwa anakamatwa kwa sabab gani na hii ina exception kwamba kuna makosa mengine sio lazma polisi akwambie unakamatwa kwa sababu gani