Jua haki yako unapokamatwa na Polisi

Jua haki yako unapokamatwa na Polisi

Hapo ukimuuliza jina tu na namba ya uaskari lazima akubambikie kosa....raia rinajifanya rijuaji

Hapo kwenye kusoma marlezo yako kabla ya kutia sahihi inaweza kuambatana na kipondo


Sheeeeeeda sana

Tukikomaa na kuwaonyesha tunajuwa haki zetu watabadilika tu
Ata miaka kadhaa iliyopita ilikuwa ni vigumu sana raia kukaa na asikari meza moja
Lakini siku hizi ni jambo la kawaida kabisa
 
Na pia mtuhumiwa anayo haki ya Bail either police or Court kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania ...
 
umenirudisha class kwa tcha wangu wa law...thnx mkuu..muhim kukumusha jamiiiiiiiiiiii
 
Ni kweli kujua haki ni mhimu ila baadhi ya raia wanaogopa mkong'oto virungu vya kisigino na pushapu kwenye kokoto
 
Tatizo hapa ni nguvu inayotumiwa na polisi....ukiuliza utaambiwa twende ukajieleze kituoni ukiwa mbishi mkong'oto na ukifika kituoni kosa limeongezeka.
 
asanteni sana mwana haki na wengine mlioweza kunkuu sheria za Jamhuri ya Muungano.Napenda kuwaambia sijui mnakaa dunia gani! hakuna hata kipengele kimoja unaweza kitekeleza unapotokewa na mt u anaitwa POLICE!

ni mtu mwenue nguvu kubwa katika dola yeye pia akiwa hajui sheria.kumwelimisha raia ni bure kabla hujamwelimisha POLICE.

wana makosa mengi na ukiukaji wa sheria, mfano: kumbambika mtu kesi, kumkamata ndugu wa karibu au mke wa mshukiwa apatkane, kuzuia mtuhumiwa asionekane na mtu yeyote na mengineyo mengi!

wasikie wachangiaji Maoni upate statistics za jambo hili.
 
1.Right to remain silent
2. Right to communicate with lawyer or family
3.Right to not make any confession
4.Right to be informed grounds of his or her Arrest
5. Right of Bail police bail
 
Mr Penal Code,
Thank you for quoting the laid out laws in the CPC
but sorry to inform you that Tanzania is not a place you can practice that.
The cabinet includes ministers for internal affairs and that of judiciary and constitutional matters I still wonder for what these people are there! In Kenya Yes! l
Law is adherred.
 
Hapo kwa raia kufikishwa magakamani kwa masaa yasiozid 24 ndo ngumu...na kumuuliza askari jina na namba yake!! UtacheZea virungu hatari
 
Asante sana. Hili jukwaa ndo nafika leo. Kumbe nako kuna madini hatari. Safi sana. Sasa najua haki zangu.
 
Kwa nini ukikutwa na kosa usilipe hiyo faini tuu? Ili iishe au ipungue tulipe faini tuu, wao hawataomba rushwa, sisi wenyewe ndio tunawashawishi kuwapa kitu kidogo. Halafu kitu kingine watu hata kama hawana kosa kutojiamini kwao ndio askari kisaikolojia tuu anakugandamiza, tuwe ngangari tusionewe
 
Kuna makosa mengine ni ya uonevu na ukizbgatia wa TZ weng hali yetu ya mfukoni ni mashaka bi bora atoe 3 badala ya 10 ili tu kinachibak aendeshe maisha mengine kwa hali hii watu unogewa na rushwa will never die.
 
Back
Top Bottom