Hiyo shule ni muhimu sana, ngoja niwape kisa hiki
Kuna wakati nilikamatwa usiku karibu na mtaani nikaambiwa mie ni mzururaji kwa kuwa sikuwa na ID Nikaambiwa niongozane nao kituoni.
Nikabisha nikawaambia kwanza, hakuna amri iliyotolewa ya watu kutembea na vitambulisho. Pili hakuna amri ya kumzuia mtu kutembea usiku. kwa hiyo sina kosa lolote. wakaniachia.
hivyo kujua haki zako ni suala la msingi sana
Kuna wakati nilikamatwa usiku karibu na mtaani nikaambiwa mie ni mzururaji kwa kuwa sikuwa na ID Nikaambiwa niongozane nao kituoni.
Nikabisha nikawaambia kwanza, hakuna amri iliyotolewa ya watu kutembea na vitambulisho. Pili hakuna amri ya kumzuia mtu kutembea usiku. kwa hiyo sina kosa lolote. wakaniachia.
hivyo kujua haki zako ni suala la msingi sana