Jua kali, hakuna mvua, kodi kubwa

Jua kali, hakuna mvua, kodi kubwa

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Hali ni mbaya sana mawilayani huku wafanyabiashara wengi waliokuwa wanawika wamefilisika Na kufunga biashara zao kwa sababu ya TRA. Mnapaswa muwalee wafanyabiashara ili wapate faida just imagine Mfanyabiashara anapigwa penalt ya kodi millioni 200 lazima afunge biashara akimbie.

Zamani msimu kama huu ukitembelea huko wilayani kwenye magodown unakuta MTU ana gunia 1000 za mahindi Na Michele anauza hakuja njaa Na anapata faida.

Mmechukua Pesa mmeenda kujengea reli maflyover na bwawa la umeme aisee hadi dhambi MTU anakufa kwa njaa Na ukitangaza wanakuziba mdomo utangaze kwamba kafa na malaria.
 
Nipo Lindi hapa Hali Ni mbaya Sana ,nimetembelea mtwara nako Hali tete ,,unga lazma utafika 3.5k mpk 4k ....biashara ngumu balaa natamani nifunge lakn sioni kwa kukimbilia ,
Na Mimi Niko Lindi..njinjo huko Kilwa mpk mtama umekauka..nachingwea tunapotegemea mahindi hakuna kitu..Liwale kidogo kuna matumaini ys mvua..tuombe ile dua iliyopigwa Lindi ifanye kazi
 
Na Mimi Niko Lindi..njinjo huko Kilwa mpk mtama umekauka..nachingwea tunapotegemea mahindi hakuna kitu..Liwale kidogo kuna matumaini ys mvua..tuombe ile dua iliyopigwa Lindi ifanye kazi
Mbona mvua nyingi sana mkuu,au ni mkoa na mkoa
 
Na Mimi Niko Lindi..njinjo huko Kilwa mpk mtama umekauka..nachingwea tunapotegemea mahindi hakuna kitu..Liwale kidogo kuna matumaini ys mvua..tuombe ile dua iliyopigwa Lindi ifanye kazi
Nilikuwa nimepanda ekari 2 kiukweli sipati hata moja Tena nilipanda mvua za Kwanza yaani yamekauka balaa hata mvua ikinyesha hayaponi, mwananchi wa hali ya chini lazma aive macho kupata mlo
 
Nipo Lindi hapa Hali Ni mbaya Sana ,nimetembelea mtwara nako Hali tete ,,unga lazma utafika 3.5k mpk 4k ....biashara ngumu balaa natamani nifunge lakn sioni kwa kukimbilia ,
Una duka wapi nije kukuchangia Na
 
Serikali isipojenga/wekeza kwenye miundo mbinu ndio mvua itanyesha???
 
Back
Top Bottom