Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Wazungu waliwaambia msikate miti pale Rufiji mkajidai wajuaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MweeWatu kila Siku tu wanapigana Miti tena Nyuma hiyo Mvua itoke wapi? Acha Jua lituunguze tu.
Ila nasikia Mbeya mazao yaliyo mashambani yako vizuri. Inaonekana watavuna sana mwaka huu. Ni kweli mrembo To yeye ?Mbeya debe Moja la mahindi 25k now
Ukanda wa pwani una ukame sijawahi kuuonaInanyesha sana....mbeya hapa ni imefululiza tangu jumatatu
Enzi za kikweteNdege John.. Fafanua huko zaman zipi?
Dar jua kali daaah!Ukanda wa pwani una ukame sijawahi kuuona
Hizo sababu za kidwanzi sanaWazungu waliwaambia msikate miti pale Rufiji mkajidai wajuaji.
Huku serikali ijipange kutuletea chakula Cha msaada tuDar jua kali daaah!
Hongera sana unafanya vizuri. Ukiwa mtumishi wa serikali mikoa ya nyanda za juu Kusini usipofanya maendeleo kupitia kilimo umejitakiaKawaida yetu mbona.....mi huwa nalima ya kula tu ivo hata sijui nje Kuna shida gani ya unga....mchele ndo nalia nao😥
Super 60 hadi 65Hongera sana unafanya vizuri. Ukiwa mtumishi wa serikali mikoa ya nyanda za juu Kusini usipofanya maendeleo kupitia kilimo umejitakia
Saivi mchele shingapi?
Acha tuone inasemekana huko nyanda za juu Kusini mavuno yatakuwa mazuri labda kidogo itatuletea nafuuHuku serikali ijipange kutuletea chakula Cha msaada tu
Kwa mfano Lindi kuna kata inaitwa rahaleo inasemekana watoto wanalawitiwa sana mpk DC anaomba misikiti ilisemee hili..kwa hali hii kweli mvua inyeshe?Watu kila Siku tu wanapigana Miti tena Nyuma hiyo Mvua itoke wapi? Acha Jua lituunguze tu.
Good news ni kwamba mabonde ya kulima mpunga huko Mbeya yalipata mvua za kutosha. Kwa hiyo tunatazamia pia bei ya mchele kushuka mavuno yakianzaSuper 60 hadi 65
Ninunulie debe la mchele bas,nitakulipa mwez AugustGood news ni kwamba mabonde ya kulima mpunga huko Mbeya yalipata mvua za kutosha. Kwa hiyo tunatazamia pia bei ya mchele kushuka mavuno yakianza....
Mimi hata usinilipe tutajuana jinsi ya kulipana mrembo 😍Ninunulie debe la mchele bas,nitakulipa mwez August
🤣🤣🤣SawaMimi hata usinilipe tutajuana jinsi ya kulipana mrembo 😍
Aise ndugu ni kukavu nilikuwa hapo Kandawale nimetoka kidogo ntarejea ndani ya siku kadhaa hali ni teteNa Mimi Niko Lindi..njinjo huko Kilwa mpk mtama umekauka..nachingwea tunapotegemea mahindi hakuna kitu..Liwale kidogo kuna matumaini ys mvua..tuombe ile dua iliyopigwa Lindi ifanye kazi
Kwa hiyo debe ngapi mamy? Utakuja kunilipa hii likizo yenu fupi huku Dar. Wiki 2 zote utakuwa magetoni ni kupika na kupakua tu 😀🤣🤣🤣Sawa