ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,040
- 7,303
Kama wanaiita rejected vote halafu wanaijumlisha sasa hapo hiyo vote imekuwa rejected vipi?
Rejected vote in my view maana yake ni karatasi ambayo imekutwa kwenye ballot box inayofanana na karatasi za kupiga kura lakini haijakidhi vigezo vya kuwa kura halali na hivyo basi haipaswi kuingia kwenye mahesabu yoyote yanayoweza kuamua mshindi wa uchaguzi.
Unaporuhusu rejected votes ziamue kama uchaguzi urudiwe au la unaondoa maana ya msingi ya kura.
Kama hii hapa chini ndiyo provision ya katiba yao namna ya kumpata mshindi wa kiti cha uraisi hapo IEBC hawastahili lawama hata kidogo bali kwakuwa kila mmoja angependa kupata ushindi wa moja kwa moja raundi hii ya kwanza ndio sababu wanalalamika, wala hili halihitji intervention ya foreign missions kama Ruto anavyolalamika, ni suala tu la tafsiri ya katiba na sheria. Hapo kwenye red colour hapo ndipo tafsiri sahihi ya kikatiba ilipo na kama wanadhani ama na wewe Butola unadhani kujumuisha kura zilizoharibika ni makosa basi inabidi uwashauri wakenya wairekebishe katiba yao isomeke kwamba mshindi atapatikana kwa asilimia 50 + ya kura halali.
Kama hii hapa chini ndiyo provision ya katiba yao namna ya kumpata mshindi wa kiti cha uraisi hapo IEBC hawastahili lawama hata kidogo bali kwakuwa kila mmoja angependa kupata ushindi wa moja kwa moja raundi hii ya kwanza ndio sababu wanalalamika, wala hili halihitji intervention ya foreign missions kama Ruto anavyolalamika, ni suala tu la tafsiri ya katiba na sheria. Hapo kwenye red colour hapo ndipo tafsiri sahihi ya kikatiba ilipo na kama wanadhani ama na wewe Butola unadhani kujumuisha kura zilizoharibika ni makosa basi inabidi uwashauri wakenya wairekebishe katiba yao isomeke kwamba mshindi atapatikana kwa asilimia 50 + ya kura halali.
Mkuu hiyo ndio demokrasia sasa, kwa kizungu changu cha kuunga unga wanasema Democracy is the dictatorship of the majority to the minority, as long as below 50% is regarded as a minority then they should agree with the majority which is above 50%.
Kama wanaiita rejected vote halafu wanaijumlisha sasa hapo hiyo vote imekuwa rejected vipi?
Rejected vote in my view maana yake ni karatasi ambayo imekutwa kwenye ballot box inayofanana na karatasi za kupiga kura lakini haijakidhi vigezo vya kuwa kura halali na hivyo basi haipaswi kuingia kwenye mahesabu yoyote yanayoweza kuamua mshindi wa uchaguzi.
Unaporuhusu rejected votes ziamue kama uchaguzi urudiwe au la unaondoa maana ya msingi ya kura.
Mmh wakuu mbona hii form ya results declaration inanipa wasiwasi.
Ukiiangalia vizuri hiyo karatasi kuna maeneo mawili yamenipa mashaka na usahihi wa hizi kura.
Kwanza, Total number of registered voters for the polling station-726
Pili, Total number of votes cast-769
Swali langu hapa imekuwaje kura zilizopigwa (769) zimezidi idadi ya watu waliojiandikisha (726) katika kituo hicho?
Je kuna uwezekano kwamba kuna mchezo mchafu umechezeka hapa???
Wewe si utahesabika "umeshapiga kura" (huwezi kuruhusiwa kurudia)?Mkuu nikitumbukiza karatasi yangu ya kura ndani ya ballot box bila kuweka alama yoyote sehemu yoyote utaiita a casted vote?
Mlachake
Kazi ipo hapa! Wameandikishwa 726 lakini waliopiga kura ni 769! Au kuna kitu sijaelewa hapa. Ab-Titchaz , is this "explainable"?
Hizi ndizo mbinu zilizotumika 2007 kumrudisha Kibaki Ikulu. Naona jamaa hawakupata funzo na wanarudia
tena. Thats the only explanation to it...jamaa wanachakachua hizi kura.
swali la kizushi:
Tuseme zimepigwa 100,kura 20 zikaenda kwa Raila,kura 25 zikaenda kwa Uhuru na kura 55 zikaharibika,hivi Uhuru atatangazwa kuwa ni Rais wa Kenya?
Lakini hajawataja Jubilee! Au unaunganisha dots?...Kwanini tudhanie Jubillee ndio wameiba kura na sio CORD waliozoa karibu 70% ya kura hapo?...
Lakini hajawataja Jubilee! Au unaunganisha dots?
Hizi ndizo mbinu zilizotumika 2007 kumrudisha Kibaki Ikulu. Naona jamaa hawakupata funzo na wanarudia
tena. Thats the only explanation to it...jamaa wanachakachua hizi kura.
...Sina tatizo na hilo, tatizo langu ni uwezekano wa mgombea yeyote kutopata 50%+1 ata kwenye uchaguzi wa marudio, sasa je uchaguzi utarudiwa mara ngapi?
...hapa ndipo ilipo hekima ya kuchukua tu "Jumla ya Idadi ya Kura Halali", ukizichukua tu "kura halali" basi ni lazima round ya pili itatoa mshindi, lakini bila hivyo, mtarudia uchaguzi mara ngapi?hapa ndipo palipo na tatizo...
Kiongozi....Suppose wananchi walio wengi 75% (20% kura opponent na 55% za NONE) hawajaridhika na yeyote katika wagombea unawalazimisha watawaliwe na aliyepata 25%??
...kama wanazihitaji sana hizi "kura zilizoharibika", nadhani it makes sense kuweka utaratibu kuwa kama hizi kura zitawanyima ushindi wagombea kwenye duru ya pili, basi itamkwe kuwa "wagombea hao wote" wataondolewa na process ya uchaguzi kuanza tena upya kabisa, lakini vip kama ata hao wengine watazuiwa na "kura zilizoharibika" kupata 50%+1?je uchaguzi utarudiwa mara ngapi?na je nchi kweli haitafilisika kwa kufanya chaguzi?...
Hapa kuna kitu,haiwezekani kura karibia laki tano ziharibika,alafu kuna tetesi nimezisoma sehemu fulani kwamba mtandao wa IEBC umekuwa hucked,inasemekana,kuna expart wa mambo ya mtandao alikodiwa na chama fulani ili kufanya haya mambo,na inasemekana huyo jamaa ashakamatwa.
Butola kupata uharibu wa kura kwa kiwango cha 3% nako kunatia mashaka na hii ilitokea Zanzibar na ilisemekana na kura za Maalimu Seif zilikuwa zinaharibiwa ili kumpitisha Dr Shein. Nahisi hata huko Kenya kuna matatizo si bure