Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,984
Mkuu nikitumbukiza karatasi yangu ya kura ndani ya ballot box bila kuweka alama yoyote sehemu yoyote utaiita a casted vote?
Butola Labda hiyo definition walikosea. Unajua batola unachoshindania hapa ni sasa na kutaka kusema wale wadogo zetu 240,000 waliopata Division Zero wasihesabiwe kwenye wahitimu wa Form bali wale waliopata Division IV mpaka I ndio wataumbulike. Kunta Kinte hoja yangu ni kuwa kila mkenya aliyetoka nyumbani kwake na kwenda kuunga mstari; kadi yake ikahakikiwa na kuchukua karatasi za kupiga kura huyo kapiga kura na lazima kura yake ihesabiwe na ijumlishwe kwenye jumla ya idadi ya wakenya waliojitokeza kupiga kura...According to IEBC, as of now, "All Votes Cast" means "Total Number of Valid Votes Cast"....
Butola kupata uharibu wa kura kwa kiwango cha 3% nako kunatia mashaka na hii ilitokea Zanzibar na ilisemekana na kura za Maalimu Seif zilikuwa zinaharibiwa ili kumpitisha Dr Shein. Nahisi hata huko Kenya kuna matatizo si bure
Mkuu Ndachuwa kwa mujibu wa IEBC kura nyingi "zilizoharibika" ni zile ambazo ziliingizwa kwenye masanduku tofauti.. Yaani kura ya raisi ikaingizwa kwenye box la gavana.. ya gavana ikaingizwa kwa seneta & etc..
Sasa hapo zimeharibikaje??? si hizo zingekuwa kura zenye utata ambazo baada ya kujiridhisha idadi ya waliopiga kura na kulinganisha na idadi ya kura zilizopigwa wangeweza kuzihamishia katika masanduku husika na mambo yakaenda vizuri.
Mtanzania kwenye raundi ya pili sanduku la kutumbukiza kura litakuwa moja hivyo hakutakuwa na mkanganyiko kama alivyoeleza sosolisoWalioandika katiba hapo wamechemsha.
Kadri katiba ilivyo cast votes ni pamoja na zilizoharibika. Hilo Jubilee hata wakienda mahakamani watashindwa maana katiba iko clear.
ILA pia kwa kutumia neno cast votes ina maana kwenye round ya pili kuna uwezekano hata upige kura mara 100 mshinde asipatikane maana hiyo 50% plus one haiwezi kupatikana kama unajumlisha na kura zilizoharibika. Hasa pale wagombea wawili wakikaribiana sana.
Hapo dawa tu ni kubadili hiyo section ili kwenye mahesabu ziingie vald votes tu. Hilo nafikiri ni kwa baadaye maana kwasasa bunge halipo.
Kuandika katiba inayokidhi vigezo vyote sio kazi rahisi maana scenarios zingine huwezi kuzijua mpaka kutokee tatizo.
Butola hao 377000 walikuwa wapiga kura? Kama jibu ni ndiyo kama hawakuona mgombea anayefaa unataka kura yake isihesabiwe?
Sasa hapo zimeharibikaje??? si hizo zingekuwa kura zenye utata ambazo baada ya kujiridhisha idadi ya waliopiga kura na kulinganisha na idadi ya kura zilizopigwa wangeweza kuzihamishia katika masanduku husika na mambo yakaenda vizuri.
Hapa kuna kitu,haiwezekani kura karibia laki tano ziharibika,alafu kuna tetesi nimezisoma sehemu fulani kwamba mtandao wa IEBC umekuwa hucked,inasemekana,kuna expart wa mambo ya mtandao alikodiwa na chama fulani ili kufanya haya mambo,na inasemekana huyo jamaa ashakamatwa.
Butola,My Take:
Nakubaliana na Jubillee, "Kura Zilizoharibika ni Kama Mgombea wa Maruhani", kuzijumlisha kura hizi kwenye kutafuta percentage ya kura za wagombea kutasababisha ata kwenye uchaguzi wa marudio, wa washindi wawili wa juu, uwepo uwezakano pia wa kutopatikana mshindi, kwa sababu japo tutawaona Uhuru na Odinga, lakini kutakuwa pia na mgombea, "Kura Zilizoharibika"..
Ikumbukwe kuwa katika matokeo ya mpaka sasa, mgombea huyu "Kura Zilizoharibika", amekamata nafasi ya tatu nyuma ya Uhuru na Odinga.
"Any ballot paper-
(a) which does not bear the security features determined by the Commission;
(b) on which votes are marked, or appears to be marked against the names of, more than one candidate;
(c) on which anything is written or so marked as to be uncertain for whom the vote has been cast;
(d) which bears a serial number different from the serial number of the respective polling station and which cannot be verified from the counterfoil of ballot papers used at that polling station; or
(e) is unmarked,
shall, subject to subregulation (2), be void and shall not be counted."
Sub-regulation 2, for the avoidance of doubt, states that the presiding officer may uphold a ballot paper if the intention of the voter can be clearly discerned.
Concerning the constitutional provision being relied on to count "all the votes" cast,
Article 138 (4) (a) states:
"A candidate shall be declared elected as President if the candidate receives more than half of all the votes cast in the election."
Tuzidi kuelimishana.
Soma katikati ya mistari:
The Constitution sets the threshold for victory at 50 per cent plus one vote for "all votes cast".
ALL votes cast ina maana Kura zote zilizopigwa zikiwamo zilizoharibika. unless kwa tafsiri yako kura zilizoharibika hazikupigwa! na kama hazikupigwa zimeharibika vipi??!!