Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,984
Mkuu nikitumbukiza karatasi yangu ya kura ndani ya ballot box bila kuweka alama yoyote sehemu yoyote utaiita a casted vote?
Mkuu Kunta Kinte ukishatumbukiza maguu kwenye chumba cha kufanyia mtihani na wewe ni mtahiniwa lakini ukaamua kutoandika chochote hautaitwa absentee (mtoro) bali wewe unaandikiwa fails. Kama wale vijana walioishia kumchora Zombie na Messi wameishia kulambishwa zero na hawakuandikiwa absentees.!!!
Last edited by a moderator: