Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
mkuu @Ab-Tichatz hii katiba iko ambiguous na inavyoonekana italeta matatizo makubwa, tuombe wapite salama ili waifanyie marekebisho. Naamini na Warioba na wenzake nao wanafuatilia haya ili waepuke shida hizi kwenye katiba waitengenezayo
Mkuu,
hapa sasa nd'o mimi ninaugomvi na lile bunge llopita. Jamaa badili ya kulainisha maswala ya katiba, walikua bize
wanajiongeza mshahara. Sasa leo hii maji kidogo yanazidi unga. Right we gonna have to deal with it as it is.