Jubilee wakataa maafisa wapya walioteuliwa kwa ajili ya kusiamamia uchaguzi

kweli kabisa. Wasomi wengi nchini Kenya ni watu wasio na maadili na hawaaminiki. Both sides. Kenya is full of dishonest characters. Labda UN waendeshe hii shughuli.
 
kweli kabisa. Wasomi wengi nchini Kenya ni watu wasio na maadili na hawaaminiki. Both sides. Kenya is full of dishonest characters. Labda UN waendeshe hii shughuli.

Hata watu wa dini wamepotea njia, unakuta na wao wameegema kila mmoja na mlengo wake na humwambii kitu. Hao ndio tungewaomba wasimamie maana tunategemea kidogo watakua na maadili ambayo wanahubiri kwenye makanisa na misikitini, lakini leo hii wamejiingiza kwenye hizi siasa za kikabila na kushobokea viongozi hadi wamemsahau Mungu.
Nchi hii tusipokua makini tutatumbukia kwenye shimo lenye kiza na lisilokua na mwisho wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…