Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alisema mda ni saa 12 asubuhi
Zimebakia saa kama nne hivi dunia ihukumiwe. Umetubu dhambi?
Mbona mie nishafika tayari mbinguni, Nipo na Pope John Paulo hapa tunapata mambo yetu yale, Mama Teresa anaandaa mchemsho. Hebu kuja huku banaa!!jamani tunaondoka saa ngapi....mbona bado tupo....nimechoka kusubiri
Sikujua kuwa mwisho wa dunia umeahirishwa.
Mi nlidhani leo kumbe kesho?
Sasa itabidi kamati ya kuratibu mwisho wa dunia iwe inatupa updates, wakikaa kimya sana wanatuumiza matumbo sisi watakatifu wa infidelity, pombe na anasa.
Si unajua tena ngojangoja yaumiza matumbo na sisi tuna hamu ya Paradiso?