Wordsworth
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,191
- 3,360
Siwezi kuelezea kwa maandishi msikilize vizuri anavyoimba.Daaah anapayuka kivipi??
Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi kuelezea kwa maandishi msikilize vizuri anavyoimba.
Ndio mashairi yake ni mazuri hata sauti siyo haba lakini haipangilii vizuri. Anaimba kwa monotone saana na kuna muda anapayukaAnyway.. mm naona Jide ana sauti nzuri na melody nzuri akiimba, halafu ana uandishi mzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu nyimbo zake ni nzuri.
Sema anaimba kama kwaya.
Afu huwa anapayuka. Arekebishe sana sauti yake ivutie.
Ha ha ha!Duu nyimbo zake ni nzuri.
Sema anaimba kama kwaya.
Afu huwa anapayuka. Arekebishe sana sauti yake ivutie.
Ha ha ha!
Ana sauti nzuri sema tu nyimbo zake nyingi (90%) zinabeba ujumbe wa malalamiko, tuhuma, masikitiko, vijembe, kujihami na kuonewa siku zote. Siamini kama ni style yake ya kufikisha ujumbe kupitia nyimbo au anaigiza tu.
Jaribu kusikiliza nyimbo kama:
Siwema, Siku hazigandi, Joto hasira, Siri yangu, Wanaume kama mabinti ...
Kweli huo wimbo naupendaWimbo wa Mawazo alioimba na AY ndo wimbo pekee naona siyo kwaya.
Kwa mtazamo wangu.
Hahaha najua hua ana maudhui ya kulalamika lakini sauti yake haina substance. Yaani anakwendaaa monotonous akipanda noti ana payuka. Yaaani ukikaa ukasikiliza wimbo wake wote kwa muda mrefu utaanza kuona kero.Ha ha ha!
Ana sauti nzuri sema tu nyimbo zake nyingi (90%) zinabeba ujumbe wa malalamiko, tuhuma, masikitiko, vijembe, kujihami na kuonewa siku zote. Siamini kama ni style yake ya kufikisha ujumbe kupitia nyimbo au anaigiza tu.
Jaribu kusikiliza nyimbo kama:
Siwema, Siku hazigandi, Joto hasira, Siri yangu, Wanaume kama mabinti ...
Au labda tunatofautiana sikio la muziki. yaani mm Ruby huwa naona ndo kabisa ana sauti kali ambapo akiimba hana melody... hawez kuimba ame-relax
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli huo wimbo naupenda
Ruby ni talent usimfanishe na Jide.
Mkuu Jide anaelekea ukingoni, hiyo potential ya kufanya makubwa sidhani kama bado ipoHahaha najua hua ana maudhui ya kulalamika lakini sauti yake haina substance. Yaani anakwendaaa monotonous akipanda noti ana payuka. Yaaani ukikaa ukasikiliza wimbo wake wote kwa muda mrefu utaanza kuona kero.
Angejirekebisha kwasababu sekta nyingine yupo vizuri ana potential ya kufanya makubwa zaidi.
Uyo mwanamke sio mwanamuziki,ni mwimba kwayaNilikuwa napitapita youtube mara nikakutana na audio ya wimbo wake inaitwa I DONT CARE...nimegundua huyu dada ana kipaji kikubwa sana kwa hii Afrika mashariki hata Afrika nzima
Kwanza ana sauti nzuri
Ana uandishi mzuri
Anaweza kuimba aina nyingi sana za muziki
Kwa kweli huyu kwangu ni msanii bora wa kike barani Afrika
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo sana tu. Ndo kwanzaa yupo kwenye 40s, watu wanaimba mpaka wakiwa na 60s huko.Mkuu Jide anaelekea ukingoni, hiyo potential ya kufanya makubwa sidhani kama bado ipo
Hata Ruby mpangilio wa sauti hajui.Au labda tunatofautiana sikio la muziki. yaani mm Ruby huwa naona ndo kabisa ana sauti kali ambapo akiimba hana melody... hawez kuimba ame-relax
Sent using Jamii Forums mobile app