Judith Wambura (Lady Jay Dee).

Judith Wambura (Lady Jay Dee).

Duu nyimbo zake ni nzuri.
Sema anaimba kama kwaya.
Afu huwa anapayuka. Arekebishe sana sauti yake ivutie.
Ha ha ha!
Ana sauti nzuri sema tu nyimbo zake nyingi (90%) zinabeba ujumbe wa malalamiko, tuhuma, masikitiko, vijembe, kujihami na kuonewa siku zote. Siamini kama ni style yake ya kufikisha ujumbe kupitia nyimbo au anaigiza tu.
Jaribu kusikiliza nyimbo kama:
Siwema, Siku hazigandi, Joto hasira, Siri yangu, Wanaume kama mabinti ...
 
Ha ha ha!
Ana sauti nzuri sema tu nyimbo zake nyingi (90%) zinabeba ujumbe wa malalamiko, tuhuma, masikitiko, vijembe, kujihami na kuonewa siku zote. Siamini kama ni style yake ya kufikisha ujumbe kupitia nyimbo au anaigiza tu.
Jaribu kusikiliza nyimbo kama:
Siwema, Siku hazigandi, Joto hasira, Siri yangu, Wanaume kama mabinti ...

Kwa hyo tuseme jumbe zake ndo zinaboa??


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha!
Ana sauti nzuri sema tu nyimbo zake nyingi (90%) zinabeba ujumbe wa malalamiko, tuhuma, masikitiko, vijembe, kujihami na kuonewa siku zote. Siamini kama ni style yake ya kufikisha ujumbe kupitia nyimbo au anaigiza tu.
Jaribu kusikiliza nyimbo kama:
Siwema, Siku hazigandi, Joto hasira, Siri yangu, Wanaume kama mabinti ...
Hahaha najua hua ana maudhui ya kulalamika lakini sauti yake haina substance. Yaani anakwendaaa monotonous akipanda noti ana payuka. Yaaani ukikaa ukasikiliza wimbo wake wote kwa muda mrefu utaanza kuona kero.
Angejirekebisha kwasababu sekta nyingine yupo vizuri ana potential ya kufanya makubwa zaidi.
 
Hahaha najua hua ana maudhui ya kulalamika lakini sauti yake haina substance. Yaani anakwendaaa monotonous akipanda noti ana payuka. Yaaani ukikaa ukasikiliza wimbo wake wote kwa muda mrefu utaanza kuona kero.
Angejirekebisha kwasababu sekta nyingine yupo vizuri ana potential ya kufanya makubwa zaidi.
Mkuu Jide anaelekea ukingoni, hiyo potential ya kufanya makubwa sidhani kama bado ipo
 
Nilikuwa napitapita youtube mara nikakutana na audio ya wimbo wake inaitwa I DONT CARE...nimegundua huyu dada ana kipaji kikubwa sana kwa hii Afrika mashariki hata Afrika nzima
Kwanza ana sauti nzuri
Ana uandishi mzuri
Anaweza kuimba aina nyingi sana za muziki
Kwa kweli huyu kwangu ni msanii bora wa kike barani Afrika


Sent using Jamii Forums mobile app
Uyo mwanamke sio mwanamuziki,ni mwimba kwaya
 
Mkuu Jide anaelekea ukingoni, hiyo potential ya kufanya makubwa sidhani kama bado ipo
Ipo sana tu. Ndo kwanzaa yupo kwenye 40s, watu wanaimba mpaka wakiwa na 60s huko.
Miaka 20 sio mchezo
 
Au labda tunatofautiana sikio la muziki. yaani mm Ruby huwa naona ndo kabisa ana sauti kali ambapo akiimba hana melody... hawez kuimba ame-relax
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Ruby mpangilio wa sauti hajui.
Tatizo watu wengi wakimsikia ana payuka ndo wanahisi anaimba vizuri hata kama anatutoa masikio damu.
Ana sauti nzuri ila asipayuke.
 
Back
Top Bottom