MERCIFUL
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 2,788
- 3,126
Mkuu huyu LEIVAN ni yule wa Dabiliyuu-siibii?Sauti ya huyu dada sio ya kurembwa na auto tune...yaani sauti ya kiba, belle 9 na Jide huwa ni original hazipakwi maurembo kama akina LEIVANI
Sent using Jamii Forums mobile app