Juhudi za Rais Samia kuwarejesha waliotenguliwa wa Hayati Magufuli tuzitafsiri vipi?

Juhudi za Rais Samia kuwarejesha waliotenguliwa wa Hayati Magufuli tuzitafsiri vipi?

... I trust yule Mkurugenzi wa Jiji la Dar kipindi kile "aliyesagiwa kunguni" hadharani na Bashite live, mtumbuliwa wa kwanza, jipu la kwanza, aliyepelekea maneno tumbua na jipu kujipatia umaarufu, aliyepelekea kichwa cha jamaa kuvimba na kujiona yeye ni alfa na omega, angekuwa hai, mama angemfuta machozi.

Alikua anaitwa Wilson Kabwe
 
Anafanya uponyaji kama hawa askofu na mitume feki wenye kuponya kila ugonjwa 😂😂

Magufuli sio kipimo cha utawala bora hapa nchini, na ni kiongozi mjinga tu anaweza kufanya maamuzi yake ya kufuata alichokuwa anaamini Magufuli. Magufuli sifa yake kubwa alikuwa ni mchapakazi kazi asiyetumia akili, na aliendeshwa na roho la uharibifu, chuki na visasi. Bora waingie hawa wezi wanaoiba wakitabasamu, kuliko wezi wa enzi ya Magufuli waliokuwa wamejazwa viburi vya madaraka na uuaji. Kwetu ni bora hili zimwi la Msoga line, kuliko hao sukuma gang chini ya yule muovu aliye motoni.
 
Ukiangalia kwenye wizara ya nishati kampa januari aliyekua anamsengenya na kumwita jpm mshamba. Katibu wake mkuu ni mramba aliyetumbuliwa tanesco kwa kutaka kupandisha bei ya umeme wakati lengo la jpm ni kushusha bei ya umeme.

Huku kwenye habari kamrudisha nappe. Huyu alitumbuliwa na jpm kwa kutowajibika vizuri na kukosa weledi. Wenye kujua ndio tulielewa.

Waziri anawezaje kwa uamuzi wake binafsi kuunda tume eti kumchunguza mkuu wa mkoa. Alivyo kilaza akadai hawezi acha kumtetea wema sepeku eti baba zao walikua marafiki na mama zao wote wanatoka singida. Ndio watu mama analeta kwenye baraza la mawaziri na kumtosa mtu kama mwanasheria nguli kabudi.

Ok nisiwe unfair sana kwa mama kuna vichwa vingi kaviretain ila asije kuleta pwanigang. Mimi naamini sukumagang was just a coined term kufanya uchochezi kumpinga magufuli.

Kuna mawaziri watano toka mikoa ya pwani. Competancy yao wala sio shindani. Ni kundi la wale polepole alisema kwenye shule yake iliyofungwa.
Ambao unaamini ni wazuri na hawaja pata nafasi waajiri, siunaona utakuwa umelamba dume?
 
... I trust yule Mkurugenzi wa Jiji la Dar kipindi kile "aliyesagiwa kunguni" hadharani na Bashite live, mtumbuliwa wa kwanza, jipu la kwanza, aliyepelekea maneno tumbua na jipu kujipatia umaarufu, aliyepelekea kichwa cha jamaa kuvimba na kujiona yeye ni alfa na omega, angekuwa hai, mama angemfuta machozi.
Kabwe
 
Ambao unaamini ni wazuri na hawaja pata nafasi waajiri, siunaona utakuwa umelamba dume?
Kila Rais ana uhuru wa kuchagua watakao msaidia kufanya kufanya kazi. Mbona mnapenda kuturudisha nyuma- inatakiwa tutizame mbele. Nyuma ni historia. Watu tumeumbwa kuwa na uwezo wa kubadilika chanya au hasi. Kazi ziendelee- Waziri anaanzisha tume ya uchunguzi, kuchunguza kitu kiovu- unamtimua kazi- huo ni Uongozi au ni Uonevu mkubwa.
 
Magufuli sio kipimo cha utawala bora hapa nchini, na ni kiongozi mjinga tu anaweza kufanya maamuzi yake ya kufuata alichokuwa anaamini Magufuli. Magufuli sifa yake kubwa alikuwa ni mchapakazi kazi asiyetumia akili, na aliendeshwa na roho la uharibifu, chuki na visasi. Bora waingie hawa wezi wanaoiba wakitabasamu, kuliko wezi wa enzi ya Magufuli waliokuwa wamejazwa viburi vya madaraka na uuaji. Kwetu ni bora hili zimwi la Msoga line, kuliko hao sukuma gang chini ya yule muovu aliye motoni.
Wewe nafikiri ulitumbuliwa cheti feki maana hata kumbukumbu huna.
Nikuulize magufuli amekua waziri miaka 20 na waziri bora kwa kusimamia ujenzi network ya lami nchi nzima. Sasa yeye na wewe nani mjinga?
 
Magufuli sio kipimo cha utawala bora hapa nchini, na ni kiongozi mjinga tu anaweza kufanya maamuzi yake ya kufuata alichokuwa anaamini Magufuli. Magufuli sifa yake kubwa alikuwa ni mchapakazi kazi asiyetumia akili, na aliendeshwa na roho la uharibifu, chuki na visasi. Bora waingie hawa wezi wanaoiba wakitabasamu, kuliko wezi wa enzi ya Magufuli waliokuwa wamejazwa viburi vya madaraka na uuaji. Kwetu ni bora hili zimwi la Msoga line, kuliko hao sukuma gang chini ya yule muovu aliye motoni.
Kwahiyo mnakubali kuwa Samia ni boya tu mtawala yuko Msoga !
 
Mbona Mwendazake alitengua/hakuendelea na timu ya JK?!

Tatizo lenu mlimuona Shujaa wenu kuwa ni MUNGU, zaidi mkalishwa matango pori na kina kabudi na waabudu wengineo..

Hivyo basi maamuma/wajinga na wanyonge mkaona la shujaa mwendazake ni suala linalopaswa kufuatwa kwa akili zenu na kila mtu.
Poor TAGAS
 
Kila Rais ana uhuru wa kuchagua watakao msaidia kufanya kufanya kazi. Mbona mnapenda kuturudisha nyuma- inatakiwa tutizame mbele. Nyuma ni historia. Watu tumeumbwa kuwa na uwezo wa kubadilika chanya au hasi. Kazi ziendelee- Waziri anaanzisha tume ya uchunguzi, kuchunguza kitu kiovu- unamtimua kazi- huo ni Uongozi au ni Uonevu mkubwa.
Waziri anaunda tume kwa uamuzi binafsi kumchunguza mkuu wa mkoa! Anatoa wapi hayo madaraka? .. kama si ulevi au kutoelewa ukomo wa madaraka yake.
 
Waziri anaunda tume kwa uamuzi binafsi kumchunguza mkuu wa mkoa! Anatoa wapi hayo madaraka? .. kama si ulevi au kutoelewa ukomo wa madaraka yake.
Kwa kuwa kila mmoja hapo mtaa wa kijani anazosharubu za kambale Kila kitu kinawezekana🏃.
 
Hivi makonda clouds alifanya nini?
Hapo clouds si ni radio na tv tu? Utasikia kila mara clouds clouds. Mistari imekaririwa kama bongo flava inarudiwa rudiwa kikasuku. Wenyewe clouds hawana cha kushitaki hata jaribio la kubenea mahakamani wamempuuza
Kosa kubwa la makonda kuwavua mask wahuni wa mihadarati. Wale wanaume wavaa chain za dhahabu na mapete vidole vyote hawatamsamehe milele.
Hakika aliwasambaratisha kiukweli.[emoji849][emoji848]
E- fm ndo sasa imechukua nafasi ya Clouds fm kuuza unga
 
Tulia wewe sasa hivi ni zamu ya msoga gang kula keki y taifa.
Chattle gang kwisha habari yenu
 
Ukiangalia kwenye wizara ya nishati kampa januari aliyekua anamsengenya na kumwita jpm mshamba. Katibu wake mkuu ni mramba aliyetumbuliwa tanesco kwa kutaka kupandisha bei ya umeme wakati lengo la jpm ni kushusha bei ya umeme.

Huku kwenye habari kamrudisha nappe. Huyu alitumbuliwa na jpm kwa kutowajibika vizuri na kukosa weledi. Wenye kujua ndio tulielewa.

Waziri anawezaje kwa uamuzi wake binafsi kuunda tume eti kumchunguza mkuu wa mkoa. Alivyo kilaza akadai hawezi acha kumtetea wema sepeku eti baba zao walikua marafiki na mama zao wote wanatoka singida. Ndio watu mama analeta kwenye baraza la mawaziri na kumtosa mtu kama mwanasheria nguli kabudi.

Ok nisiwe unfair sana kwa mama kuna vichwa vingi kaviretain ila asije kuleta pwanigang. Mimi naamini sukumagang was just a coined term kufanya uchochezi kumpinga magufuli.

Kuna mawaziri watano toka mikoa ya pwani. Competance yao wala sio shindani. Ni kundi la wale polepole alisema kwenye shule yake iliyofungwa.
Mkamu wetu wa Rais SSH ako wapi mbona hatumsikii? Au yuko masomoni kwa utayari kwani mambo sivyo!!
 
Tafsiri take ni simple,Magufuli hakimshirikisha katika kupanga baraza.
 
Ukiangalia kwenye wizara ya nishati kampa januari aliyekua anamsengenya na kumwita jpm mshamba. Katibu wake mkuu ni mramba aliyetumbuliwa tanesco kwa kutaka kupandisha bei ya umeme wakati lengo la jpm ni kushusha bei ya umeme.

Huku kwenye habari kamrudisha nappe. Huyu alitumbuliwa na jpm kwa kutowajibika vizuri na kukosa weledi. Wenye kujua ndio tulielewa.

Waziri anawezaje kwa uamuzi wake binafsi kuunda tume eti kumchunguza mkuu wa mkoa. Alivyo kilaza akadai hawezi acha kumtetea wema sepeku eti baba zao walikua marafiki na mama zao wote wanatoka singida. Ndio watu mama analeta kwenye baraza la mawaziri na kumtosa mtu kama mwanasheria nguli kabudi.

Ok nisiwe unfair sana kwa mama kuna vichwa vingi kaviretain ila asije kuleta pwanigang. Mimi naamini sukumagang was just a coined term kufanya uchochezi kumpinga magufuli.

Kuna mawaziri watano toka mikoa ya pwani. Competance yao wala sio shindani. Ni kundi la wale polepole alisema kwenye shule yake iliyofungwa.

Kuna jamaa anaitwa MAFURU huyu alitumbuliwa na Magufuli alipokuwa Treasury Registrar na sasa Samia amemrudisha hazina kama Naibu Katibu Mkuu!!!

Ule uvumi kuwa huyu mama kuna wakati akiwaVice president alighairi kazi akapanda boti Mpaka kwao ikabidi wazee wa visiwani wamrudishe kwa nguvu; naanza kuuamini!! Sijui Jiwe alimfanya nini?

Inaelekea kiuhalisia hawakuwa na uhusiano mzuri Kikazi ingawa nje walitaka watu wasilijue hilo.
 
Hata aje nani bado umaskini unatamalaki tu
Haya hao wabobevu wamelisaidia nini Taifa?
Je wameongeza thamani sarafu yetu?
Tumedanganywa sana ooh kuna viwanda 8,000 kumbe wamehesabu mpaka waliojiri watu wawili kwa kukamua alizeti

Ukweli ni kuwa acha kila anaeshika mpini afanye yake maana hata muweke nani bado umasikini ni ule ule tu
Nchi ambayo ukisogea kwenye mto unafukuzwa na hata kuuwawa wakati duniani mito ndio moja ya usafirishaji wa bidhaa na usafiri
Mito watu wwnamwagilia, Mito watu wanajenga miji pembezoni na kuishi kwenye Neema tulizopewa

Sio nje ya mada bali umasikini tunautaka wenyewe kwa ujinga wetu na wanaopewa dhamana wanajali matumbo yao tu
 
Back
Top Bottom