Juhudi za Rais Samia kuwarejesha waliotenguliwa wa Hayati Magufuli tuzitafsiri vipi?

Juhudi za Rais Samia kuwarejesha waliotenguliwa wa Hayati Magufuli tuzitafsiri vipi?

Wewe nafikiri ulitumbuliwa cheti feki maana hata kumbukumbu huna.
Nikuulize magufuli amekua waziri miaka 20 na waziri bora kwa kusimamia ujenzi network ya lami nchi nzima. Sasa yeye na wewe nani mjinga?

Hakustahili kuwa rais, alikuwa na busara ndogo sana na akili ya kuweza kumudu cheo cha urais. Huko huko kwenye miundombinu ndio ilipaswa kuwa nafasi yake ya mwisho. Hiyo miundombinu alisimamia na alikuwa waziri bora kwa vigezo vyao, sio lazima awe bora kwa kila mtu.
 
Hakustahili kuwa rais, alikuwa na busara ndogo sana na akili ya kuweza kumudu cheo cha urais. Huko huko kwenye miundombinu ndio ilipaswa kuwa nafasi yake ya mwisho. Hiyo miundombinu alisimamia na alikuwa waziri bora kwa vigezo vyao, sio lazima awe bora kwa kila mtu.
Maraisi waliomteua walijua anastahili..
wewe hata ujumbe wa nyumba kumi hujawah kuwa nao utajua wapi uongozi.
 
Maraisi waliomteua walijua anastahili..
wewe hata ujumbe wa nyumba kumi hujawah kuwa nao utajua wapi uongozi.

Sifa ya hao marais waliomteua sio ubora wao bali ni nafasi zao. Ingekuwa amechaguliwa na watu wenye ubora hapo Ingekuwa sawa. Mimi sijawahi kutaka kuwa kiongozi, na hata kama ningekuwa nisingekuwa na kiburi cha madaraka cha aina yake.
 
Sifa ya hao marais waliomteua sio ubora wao bali ni nafasi zao. Ingekuwa amechaguliwa na watu wenye ubora hapo Ingekuwa sawa. Mimi sijawahi kutaka kuwa kiongozi, na hata kama ningekuwa nisingekuwa na kiburi cha madaraka cha aina yake.
Huwezi ukawa raisi hata ukitaka ubalozi..
Magufuli kukela mtu mmoja kama wewe hiyo ni nzuri sana kwenye uongozi.
 
Yaani nyie mnaleta masihara wakati nchi ndiyo inakwenda hivyo? Yaani mafisi yanakabidhiana bucha mchana kweupeee
 
Huwezi ukawa raisi hata ukitaka ubalozi..
Magufuli kukela mtu mmoja kama wewe hiyo ni nzuri sana kwenye uongozi.

Wala sitamani kuwa hata balozi, achia mbali huo urais. Amenikera mimi mwenyewe, angeacha matokeo halisi ya kwenye uchaguzi ndio ungejua hujui.
 
Alikua dhulumati na muonevu kwa wapenda vya kunyonga na sio wapenda vya kuchinja. 🙄
Kinachofurahisha ni jinsi Sukuma GANG mmekua Nyoka alopondwa kichwa , mnarusha tu mkia.
CCM inawenyewe.
Nyie Warundi waliojificha kwenye Usukuma ni bora muhame nchi, vinginevyo muonyeshe vyeti vya kuzaliwa vya mababu na mabibi zenu na makaburi yao.
 
Waziri anaunda tume kwa uamuzi binafsi kumchunguza mkuu wa mkoa! Anatoa wapi hayo madaraka? .. kama si ulevi au kutoelewa ukomo wa madaraka yake.
Kauli za aina hii ndizo zilizopelekea kuwa na wakuu wa mikoa na wilaya majambazi.
Mliwatetea sana lakini mahakama inaendelea kuwaumbua
 
Wala sitamani kuwa hata balozi, achia mbali huo urais. Amenikera mimi mwenyewe, angeacha matokeo halisi ya kwenye uchaguzi ndio ungejua hujui.
Hata ungetamani..
Kama matokea halisi ulikuwa nayo ungetangaza wewe.
 
Ukiangalia kwenye wizara ya nishati kampa januari aliyekua anamsengenya na kumwita jpm mshamba. Katibu wake mkuu ni mramba aliyetumbuliwa tanesco kwa kutaka kupandisha bei ya umeme wakati lengo la jpm ni kushusha bei ya umeme.

Huku kwenye habari kamrudisha nappe. Huyu alitumbuliwa na jpm kwa kutowajibika vizuri na kukosa weledi. Wenye kujua ndio tulielewa.

Waziri anawezaje kwa uamuzi wake binafsi kuunda tume eti kumchunguza mkuu wa mkoa. Alivyo kilaza akadai hawezi acha kumtetea wema sepeku eti baba zao walikua marafiki na mama zao wote wanatoka singida. Ndio watu mama analeta kwenye baraza la mawaziri na kumtosa mtu kama mwanasheria nguli kabudi.

Ok nisiwe unfair sana kwa mama kuna vichwa vingi kaviretain ila asije kuleta pwanigang. Mimi naamini sukumagang was just a coined term kufanya uchochezi kumpinga magufuli.

Kuna mawaziri watano toka mikoa ya pwani. Competance yao wala sio shindani. Ni kundi la wale polepole alisema kwenye shule yake iliyofungwa.
Kila mtu ana haki ya kuchagua serikali yake,hivyo acheni uchuro

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Anafanya uponyaji kama hawa askofu na mitume feki wenye kuponya kila ugonjwa 😂😂
Wafiwa mliamini maneno ya kufarijiwa, kwa pole ya mimi na Magufuli ni kitu kimoja.
Kusoma hujui ,hata picha uioni basi.
Nani awe kitu kimoja na Kichaa mkubwa yule. Sukuma GANG mnapondwa kibwege kwa kua hamuijui CCM. 😃😄😀
 
Ukiangalia kwenye wizara ya nishati kampa januari aliyekua anamsengenya na kumwita jpm mshamba. Katibu wake mkuu ni mramba aliyetumbuliwa tanesco kwa kutaka kupandisha bei ya umeme wakati lengo la jpm ni kushusha bei ya umeme.

Huku kwenye habari kamrudisha nappe. Huyu alitumbuliwa na jpm kwa kutowajibika vizuri na kukosa weledi. Wenye kujua ndio tulielewa.

Waziri anawezaje kwa uamuzi wake binafsi kuunda tume eti kumchunguza mkuu wa mkoa. Alivyo kilaza akadai hawezi acha kumtetea wema sepeku eti baba zao walikua marafiki na mama zao wote wanatoka singida. Ndio watu mama analeta kwenye baraza la mawaziri na kumtosa mtu kama mwanasheria nguli kabudi.

Ok nisiwe unfair sana kwa mama kuna vichwa vingi kaviretain ila asije kuleta pwanigang. Mimi naamini sukumagang was just a coined term kufanya uchochezi kumpinga magufuli.

Kuna mawaziri watano toka mikoa ya pwani. Competance yao wala sio shindani. Ni kundi la wale polepole alisema kwenye shule yake iliyofungwa.
2025 watajifunza kuwa watanzania wa sasa siyo wale wa zamani.
 
Wafiwa mliamini maneno ya kufarijiwa, kwa pole ya mimi na Magufuli ni kitu kimoja.
Kusoma hujui ,hata picha uioni basi.
Nani awe kitu kimoja na Kichaa mkubwa yule. Sukuma GANG mnapondwa kibwege kwa kua hamuijui CCM. 😃😄😀
Nyie mnaijua ccm?
 
Kuna jamaa anaitwa MAFURU huyu alitumbuliwa na Magufuli alipokuwa Treasury Registrar na sasa Samia amemrudisha hazina kama Naibu Katibu Mkuu!!!

Ule uvumi kuwa huyu mama kuna wakati akiwaVice president alighairi kazi akapanda boti Mpaka kwao ikabidi wazee wa visiwani wamrudishe kwa nguvu; naanza kuuamini!! Sijui Jiwe alimfanya nini?

Inaelekea kiuhalisia hawakuwa na uhusiano mzuri Kikazi ingawa nje walitaka watu wasilijue hilo.
Huyo mafuru ni mfano mwingine mama kuwarejesha waliyotumbuliwa na jpm. Hata kama alisusa na nadhani ni mtu anapelekeshwa na akili ya mtu au watu. Tutashuhudia regression ya mafanikio ya magufuli hasa nchi kujiamini na kufanya juhudi za kujitegemea.
 
Back
Top Bottom