Juhudi za Rais Samia zinavyoleta mageuzi ya kiuchumi katika utalii 2022. Hongereni watanzania

Juhudi za Rais Samia zinavyoleta mageuzi ya kiuchumi katika utalii 2022. Hongereni watanzania

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Licha ya kuwa na vivutio vingi vya utalii na fukwe bora kabisa Duniani, bado sekta ya utalii haikuweza kufikia viwango vinavyotakiwa kwa kukosa Branding ya kutosha. Kuanzia Mwezi January hadi Mwezi July 2022 ongezeko la watalii limekuwa kwa 62% ambapo watalii wapatao 742,133 wameweza kutembelea nchi yetu.

Juhudi za Rais Samia katika kukuza utalii zinazaa matunda Royal Tour program ni moja ya jitihada za kipekee zilizofanywa na Rais Samia na sasa matunda yake tunayaona, kwa ujumla wake Royal Tour imekuwa na faida katika mambo yafuatayo;

1.Kutangaza vivutio vya Utalii vya Tanzania katika mataifa mbalimbali. - Filamu hii imefanyiwa uzinduzi katika miji mikubwa ya Marekani (Newyork na Los Angeles), na kuonyeshwa katika mataifa mbalimbali yenye Balozi za Tanzania na hapa nchini. - Kuonyeshwa katika mitandao maarufu mama Amazon Prime, PBS na Apple Tv ambazo kwa pamoja zinawatumiaji zaidi ya Milioni 200 Duniani kote.

2. Kukuza soko la ajira kupitia sekta binafsi katika biashara ya Utalii - Kabla ya janga la Covid19 Utalii ulichangia zaidi ya 10% ya GDP ya Tanzania. Baada ya Covid19, Tanzania imeanza vyema ambapo kwa mujibu wa Shirika la Kimataifa (UNWTO) Tanzania ni nchi ya pili kati ya nchi 54 kwa kuvutia watalii wengi zaidi kwa mwaka 2021. - Wingi wa Idadi ya watalii kutokana na Filamu ya Royal Tour inatarajiwa kuendelea kuongezeka zaidi jambo litakaloongeza ajira kwa vijana katika sekta binafsi.

3.Kuvutia wawekezaji katika sekta ya utalii na sekta nyingine kutokana na matangazo ya rasilimali zilizopo nchini. Mpaka mwishoni mwa robo mwaka ya kwanza ya mwaka 2022, tayari kituo cha uwekezaji kilisajili miradi mingi karibu maradufu ya kipindi husika mwaka 2021.

Ujio wa watalii wengi nchini ni chachu ya kukua kwa sekta ya uwekezaji kutoka kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi.
 
Licha ya kuwa na vivutio vingi vya utalii na fukwe bora kabisa Duniani, bado sekta ya utalii haikuweza kufikia viwango vinavyotakiwa kwa kukosa Branding ya kutosha. Kuanzia Mwezi January hadi Mwezi July 2022 ongezeko la watalii limekuwa kwa 62% ambapo watalii wapatao 742,133 wameweza kutembelea nchi yetu.

Chawa katika ubora wenu.
 
Unaelewa ata maana ya Branding?

Kuna watalii ambao walifanya Booking zao Mwaka 2020 na waakahairisha kutokana na janga la COVID-19,Sasa unaposema Royal Tour Documentary ndiyo imechangia ongezeko la watalii umejuaje?

Ni lini assessment ya Royal Tour Documentary ilifanyika ili kujua impact yake?
Usituletee habari za uchawa,njoo na scientific facts!
 
Wengi kati ya hao hawatarudi tena! Tanzania bado ni inhospitable country.
 
Juhudi za kuleta tozo, kufanya teuzi usiku wa manane Kama popo na safari ndefu za njiwa kaweza kweli

NB: Weka namba ya simu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Utalii ulishuka sana kutokana na janga la corona lakini baada ya Rais Samia Suluhu kuja na Royal tour watalii wanaongezeka kila siku na pato la taifa linaongezeka pia
 
Wengi kati ya hao hawatarudi tena! Tanzania bado ni inhospitable country.
Tanzania imetajwa ni nchi ya nne duniani kwa uzuri kwaiyo watalii wataendelea kuja kushuhudia uzuri wa utalii
 
Unaelewa ata maana ya Branding?

Kuna watalii ambao walifanya Booking zao Mwaka 2020 na waakahairisha kutokana na janga la COVID-19,Sasa unaposema Royal Tour Documentary ndiyo imechangia ongezeko la watalii umejuaje?

Ni lini assessment ya Royal Tour Documentary ilifanyika ili kujua impact yake?
Usituletee habari za uchawa,njoo na scientific facts!
Unajua watanzania wengi wanajua kukosoa kwa kila kitu ndio kujua mambo, lakini ukweli unabaki pale pale Royal Tour imesaidia kwa kiasi kikubwa kutangaza utalii wa Tanzania kwa mataifa ambayo yalikua hayajui kama Tanzania tunavivutio vingi na vivuli kiasi iki Mungu ibariki Tanzania
 
Licha ya kuwa na vivutio vingi vya utalii na fukwe bora kabisa Duniani, bado sekta ya utalii haikuweza kufikia viwango vinavyotakiwa kwa kukosa Branding ya kutosha. Kuanzia Mwezi January hadi Mwezi July 2022 ongezeko la watalii limekuwa kwa 62% ambapo watalii wapatao 742,133 wameweza kutembelea nchi yetu.

Juhudi za Rais Samia katika kukuza utalii zinazaa matunda Royal Tour program ni moja ya jitihada za kipekee zilizofanywa na Rais Samia na sasa matunda yake tunayaona, kwa ujumla wake Royal Tour imekuwa na faida katika mambo yafuatayo;

1.Kutangaza vivutio vya Utalii vya Tanzania katika mataifa mbalimbali. - Filamu hii imefanyiwa uzinduzi katika miji mikubwa ya Marekani (Newyork na Los Angeles), na kuonyeshwa katika mataifa mbalimbali yenye Balozi za Tanzania na hapa nchini. - Kuonyeshwa katika mitandao maarufu mama Amazon Prime, PBS na Apple Tv ambazo kwa pamoja zinawatumiaji zaidi ya Milioni 200 Duniani kote.

2. Kukuza soko la ajira kupitia sekta binafsi katika biashara ya Utalii - Kabla ya janga la Covid19 Utalii ulichangia zaidi ya 10% ya GDP ya Tanzania. Baada ya Covid19, Tanzania imeanza vyema ambapo kwa mujibu wa Shirika la Kimataifa (UNWTO) Tanzania ni nchi ya pili kati ya nchi 54 kwa kuvutia watalii wengi zaidi kwa mwaka 2021. - Wingi wa Idadi ya watalii kutokana na Filamu ya Royal Tour inatarajiwa kuendelea kuongezeka zaidi jambo litakaloongeza ajira kwa vijana katika sekta binafsi.

3.Kuvutia wawekezaji katika sekta ya utalii na sekta nyingine kutokana na matangazo ya rasilimali zilizopo nchini. Mpaka mwishoni mwa robo mwaka ya kwanza ya mwaka 2022, tayari kituo cha uwekezaji kilisajili miradi mingi karibu maradufu ya kipindi husika mwaka 2021.

Ujio wa watalii wengi nchini ni chachu ya kukua kwa sekta ya uwekezaji kutoka kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi.
We chawa unaona wenzenu wanajenga Hotel hii,kwa mwaka itatembelewa na watalii 2,500,000/
 

Attachments

  • 1662881947935.jpeg
    1662881947935.jpeg
    39.5 KB · Views: 2
Unaelewa ata maana ya Branding?

Kuna watalii ambao walifanya Booking zao Mwaka 2020 na waakahairisha kutokana na janga la COVID-19,Sasa unaposema Royal Tour Documentary ndiyo imechangia ongezeko la watalii umejuaje?

Ni lini assessment ya Royal Tour Documentary ilifanyika ili kujua impact yake?
Usituletee habari za uchawa,njoo na scientific facts!
Waambie ukweli hawa machawa!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Unajua watanzania wengi wanajua kukosoa kwa kila kitu ndio kujua mambo, lakini ukweli unabaki pale pale Royal Tour imesaidia kwa kiasi kikubwa kutangaza utalii wa Tanzania kwa mataifa ambayo yalikua hayajui kama Tanzania tunavivutio vingi na vivuli kiasi iki Mungu ibariki Tanzania
Samia alitangaza utalii au meno ya tembo? Mbona hakuna kivutio kipya hapo kwenye firm, Maana vivutio vyote vinajulikana dunia mzima kama Kilimanjaro,Ngorongoro, Serengeti, hakuna asiye vijua dunia mzima, mpaka vingine wazungu walivipa majina ya ulithi wa dunia,nilicho kiona Samia katangaza kipya hapo ni meno ya tembo tu.
 
Hakuna anaelipwa mzee ni uzalendo tu mama amefanya maendeleo makubwa sana acha tuwafikishie habari wengine wasiofatilia mambo kwa ukaribu
Kama huu wako nao unauita uzalendo basi neno hilo limepoteza kabisa maana hapa nchini. CCM sijui inaipeleka wapi nchi hii kama inahitaji watu kama wewe ndio wawe watetezi wa vitendo vya kijinga tunavyovishuhudia hapa nchini. Nyabukika badilika, vua hilo koti la ujinga haraka, wakati ni huu!

Kwa taarifa tu wazalendo wa kweli wanaanza kuzinduka na omba siku isifike ukingali na hilo koti. Tumechoka kuibiwa, tumechoka kulaghaiwa, tumechoka kutumika kama kitega uchumi cha mafisadi na matapeli. Hizo pesa mnazopewa kuwatetea viongozi wasio na uwezo wala sifa zitawatokea puani.
 
Mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani Ni zawadi kwetu watanzania, Amefanya kazi kubwa Sana za kimaendeleo Tangia aliposhika madaraka na majukumu ya Urais, kwa Sasa watanzania wamejenga Imani na kuwa na matumaini makubwa Sana na mh Rais wetu mpendwa
 
Back
Top Bottom