t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Bidhaa za Tanzania zinazalishwa zikiwa zimebebeshwa kodi kibao , ndo maana zinakuwa ghali, Cement ya dangote haiwezi kwemda kenya , maana ni cement ghali.sana sana cement ya kenya ndo itaingia Tanzania .Umechelewa, tumeshaweka kidole (saini) tayari!
Ni funzo kwa tax systems zetu maana seriously viwanda vyetu havitaweza kushindanna na products za kenya , unless kufanyike amendments kadhaa kwenye kodi zetu.