Farkina asante kwa jushea...
Katika mahitaji naona umeonyesha maziwa kisha post ilofuatia umesema coconut milk.
Naomba kujua kama hizi ni aina mbili tofauti za juice...
mmmh sijui inauzwa wapi
Shosti kuweka recipe hapa meaning tujitengezee wenyewe mpenzi
Mkeo hajui kutengeneza!Mabaya sana hayo makitu aisee. Mie wife aliwahi kunitengenezea nikayamwaga tu hayaliki hayo madude. Kuna jamaa huwa anabwia siki eti abust pampu...kweli Dar watu wanaumwa.
Mabaya sana hayo makitu aisee. Mie wife aliwahi kunitengenezea nikayamwaga tu hayaliki hayo madude. Kuna jamaa huwa anabwia siki eti abust pampu...kweli Dar watu wanaumwa.
Nilisikia inaongeza hamu ya tendo la ndoa eti ni kweli?
farkhina hem nikumbushie kufanya sharbat. Nimeimiss kitamboMahitaji
Maziwa
Tende
Karanga unaweza pia kutumia almonds(lozi),korosho
Namna ya kutengeza.
Toa tende makokwa
Weka katika blender pamoja na maziwa au aina ya nuts upendayo
Saga hadi iwe laini iwe kama uji mzito kiasi
Weka kwa friji ipate baridi kidogo
Then enjoy juice ya tende......
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Mmmmhhhh! nilikuwa najiandaa kuwaandalia my lil boys, sasa si inaweza kuwaletea majanga?Hii juice ni mujarab sana hasa kwa wanandoa kwanza inaongeza energy, halafu inaongeza hamu ya shahawati(matamanio). Pia unaweza kuongezea tangawizi kidogo ili kuongeza test na pia tangawizi nayo ni dawa ya kuongeza hamu.
Mmmmhhhh! nilikuwa najiandaa kuwaandalia my lil boys, sasa si inaweza kuwaletea majanga?
Asante.Watengezee ni very healthy achana na hiyo tetesi ingawa ni kweli kwa baadhi ya watu.
Mmh... mpaka wife wako anaamua kukutengenezea we hujiulizi tu?
Samahani mkuu hayo makokwa ya tende yanatolewaje kwa urahisi maana naona kama kuchambua moja moja ni shughuli pevuMahitaji
Maziwa
Tende
Karanga unaweza pia kutumia almonds(lozi),korosho
Namna ya kutengeza.
Toa tende makokwa
Weka katika blender pamoja na maziwa au aina ya nuts upendayo
Saga hadi iwe laini iwe kama uji mzito kiasi
Weka kwa friji ipate baridi kidogo
Then enjoy juice ya tende......
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Samahani mkuu hayo makokwa ya tende yanatolewaje kwa urahisi maana naona kama kuchambua moja moja ni shughuli pevu
AsanteNdio hivo kuchambua moja moja au kuna ambazo zimeshatolewa makokwa tayari utapata kwenye ma super market
Maziwa ni mgando au fresh!Ndio hivo kuchambua moja moja au kuna ambazo zimeshatolewa makokwa tayari utapata kwenye ma super market
Mahitaji
Maziwa
Tende
Karanga unaweza pia kutumia almonds(lozi),korosho
Namna ya kutengeza.
Toa tende makokwa
Weka katika blender pamoja na maziwa au aina ya nuts upendayo
Saga hadi iwe laini iwe kama uji mzito kiasi
Weka kwa friji ipate baridi kidogo
Then enjoy juice ya tende......
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums