Juice ya tende na maziwa

Juice ya tende na maziwa

Unatuumiza kichwa kujua nini umekusudia. Sijui ni hujui kuandika au una malengo Gani.. Tu kuulize ndio utuelezee nini UNAMAANISHA. Jifunze kuwaandikia Mada properly.. HAPA uko na WATU Wazima ndugu yangu
 
Tatzo sio lake mtaani hakueleweki,

Hapo anaona kaandika paragraph tano zenye maneno 500
 
Milk shake [emoji14][emoji14][emoji14][emoji14]
 
Naomba kujua vipimo vya material yake ili kuleta radha inasifiwa na wadau. Mfano tende, karanga na hayo maziwa kwa kiasi gani kila kimoja kwa mfano??
 
Back
Top Bottom