Jukumu la Elimu kwa watanzania ni kuwapitia ajira, Maarifa hayana umuhimu kwao ndio maana mwanachuo asipoajiriwa haoni faida ya elimu

Jukumu la Elimu kwa watanzania ni kuwapitia ajira, Maarifa hayana umuhimu kwao ndio maana mwanachuo asipoajiriwa haoni faida ya elimu

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Jukumu kuu la elimu ni kumkomboa kifikra mtu na kumpa ujuzi muhimu lakini kinachofanyika hapa kwetu ni kuipa jukumu ambalo siyo lake la kuwatajirisha waipatayo kupitia ajira, mambo ya kukombolewa kifikra watu hawana mda nayo ndio maana ni kawaida sana kukuta hata mhitimu wa chuo hajawahi kusoma kitabu chochote nje ya vile vya darasani.

Kwa wenzetu huko ulaya , marekani, asia, mtu hata kama kaishia shule ya msingi ataendelea kujiongezea maarifa kupitia vitabu, wengi wanafikia miaka 25 tayari wanakuwa wamesoma vitabu walau 30 vya kuongeza maarifa, sasa haa kwetu hali ni tofauti,mtu mwenye degree / master tena ana miaka taribani 40 hajawahi kusoma kitabu hata kimoja, yaani hata vile vitabu vya muhimu kama rich dad poor dad, how to make friends and influence people, 40 laws of power, n.k havijui. .... hapo ndipo unapopata picha kamili kwamba elimu kwa hapa bongo lengo lake ni ajira tu, kiu ya maarifa haipo kabisa.
 
Jukumu kuu la elimu ni kumkomboa kifikra mtu na kumpa ujuzi muhimu lakini kinachofanyika hapa kwetu ni kuipa jukumu ambalo siyo lake la kuwatajirisha waipatayo kupitia ajira, mambo ya kukombolewa kifikra watu hawana mda nayo ndio maana ni kawaida sana kukuta hata mhitimu wa chuo hajawahi kusoma kitabu chochote nje ya vile vya darasani.

Kwa wenzetu huko ulaya , marekani, asia, mtu hata kama kaishia shule ya msingi ataendelea kujiongezea maarifa kupitia vitabu, wengi wanafikia miaka 25 tayari wanakuwa wamesoma vitabu walau 30 vya kuongeza maarifa, sasa haa kwetu hali ni tofauti,mtu mwenye degree / master tena ana miaka taribani 40 hajawahi kusoma kitabu hata kimoja, yaani hata vile vitabu vya muhimu kama rich dad poor dad, how to make friends and influence people, 40 laws of power, n.k havijui. .... hapo ndipo unapopata picha kamili kwamba elimu kwa hapa bongo lengo lake ni ajira tu, kiu ya maarifa haipo kabisa.
Umetaja vitabu viwili na ukadai kwamba ni vya muhimu,

Kuna mamilioni kwa mamilioni ya vitabu duniani, kwa nini udai kwamba hivyo viwili ndio vya muhimu?
 
Umetaja vitabu viwili na ukadai kwamba ni vya muhimu,

Kuna mamilioni kwa mamilioni ya vitabu duniani, kwa nini udai kwamba hivyo viwili ndio vya muhimu?
hata binadamu tuna mahitaji mengi lakini kuna mahitaji ya muhimu zaidi kuliko mengine, hata kwenye bajeti zetu lazima tuwe na scale of preference kwenye matumizi
 
hata binadamu tuna mahitaji mengi lakini kuna mahitaji ya muhimu zaidi kuliko mengine, hata kwenye bajeti zetu lazima tuwe na scale of preference kwenye matumizi
Swali langu ni hili, Kwa nini unadhani ni vya muhimu?

Au niulize hivi, vina umuhimu gani wa kushinda vingine?
 
Swali langu ni hili, Kwa nini unadhani ni vya muhimu?

Au niulize hivi, vina umuhimu gani wa kushinda vingine?
Rich dad poor dad inakupa financial literacy, Kuna watu wana elimu na mavyeti kibao lakini wakistaafu kazi zenye mishahara minono wanatia huruma wakati kwa mishahara waliyonayo ilibidi wawahi hata kustaafu

40 laws of power hii ni self help book kujua nature ya power na kuitumia kwa faida yako, magerezani hiki kitabu hakiruhusiwi kusomwa na wafungwa, kwa kuikosa hii elimu kuna watu wanateswa na waonezi bila kujua adui wa adui anaweza kuwa rafiki kumuangamiza adui yako

how to make friends and influence people, hiki ni muhimu kujua namna ya kuishi na watu, ku influence watu positively, kudeal na watu, n.k. kwa kuikosa hii elimu kuna watu wapo bize kutafuta hata dawa za mvuto wakati matatizo yao yanatatulika, mfano mtu hana skills za kusikiliza yeye anataka awe muongeaji tu anaishia kuboa watu.

Oneni watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, 🥺🥺
 
Jukumu kuu la elimu ni kumkomboa kifikra mtu na kumpa ujuzi muhimu lakini kinachofanyika hapa kwetu ni kuipa jukumu ambalo siyo lake la kuwatajirisha waipatayo kupitia ajira,
Sasa kama elimu yao inawatajirisha who cares ?!!!

All is well that ends well....
mambo ya kukombolewa kifikra watu hawana mda nayo ndio maana ni kawaida sana kukuta hata mhitimu wa chuo hajawahi kusoma kitabu chochote nje ya vile vya darasani.
Fikra (Thinking) ni tabia ya mtu wala haiitaji elimu wala kusoma vitabu.., on that logic utasema before reading and writing watu walikuwa sio wafikiriaji...

Kina Faraday hata shule hawakwenda ila ni tabia ya kuchunguza na kutafiti..., they say Necessity is the Mother of all Invention kwahio watu hawafikirii either sababu wamebweteka (all is well) au wamejikita kwenye distractions (tozo, umbeya, uchawi au wamekuwa indoctrinated na mambo ya Imani hence they do not ask Why)

Egypt waligundua irrigation sababu ya necessity ilikuwa wafanye hivyo au wa-become extinct
Kwa wenzetu huko ulaya , marekani, asia, mtu hata kama kaishia shule ya msingi ataendelea kujiongezea maarifa kupitia vitabu, wengi wanafikia miaka 25 tayari wanakuwa wamesoma vitabu walau 30 vya kuongeza maarifa,
Trust me there is a lot of dumb people abroad, believe me nilishajichanganya na wadau average Joe's huko UK (kusema they know very little is an understatement) au unadhani huko America kwenye Ghettos how much do they know in terms of general knowledge ?!! Atleast Asia they try (neccessity being the mother of all invention)..... to put it lightly the age of enlightment was then not now (now there are a lot of educated fools) we are seeing further because we are standing on the shoulders of the then giants (kina babu zetu wafua vyuma, kina Newton, Tesla, Farraday n.k.)
sasa haa kwetu hali ni tofauti,mtu mwenye degree / master tena ana miaka taribani 40 hajawahi kusoma kitabu hata kimoja,
I used to read a lot myself..., but now not as much, Why you might ask !!! Information at your fingertips na kwa sasa nina uwezo wa kuchakata more information kwa siku moja ambayo zamani nisingeweza kwa miezi sita..., Again I say you might read as an entertainment lakini pia unaweza ukawa unafikiria ni vipi kile kisima pale kijijini unaweza ukaongeza horsepower kwa kutumia upepo au stored energy kwenye bembea za watoto kucheza (huenda usifanikiwe maisha yako yote, ila huwezi kuniambia such a person is not a visionary au hatumii fikra zake zaidi ya kukariri mathematical table)
yaani hata vile vitabu vya muhimu kama rich dad poor dad, how to make friends and influence people, 40 laws of power, n.k havijui. ....
Inaonyesha vipi fikra zako zipo distored unaangalia ulimwengu / watu kwa lense yako / matakwa yako na nini muhimu kwako..., rich dad poor dad na vyote ulivyosema huenda ni vya maana kwako (financial / economical wellbeing) lakini kwa mwingine huenda solving the world energy problem au coming with a new improved seed za mazao ndio muhimu.... au ni jinsi gani quantum theories zinaweza kututoa hapa kutupeleka pale..., wakati wewe unawaza to influence people yeye anawaza to emancipate the mass.., wakati wewe una-seek self motivation katika maisha yako yeye haitaji motivation bali anachunguza the unkowns and discovering what is what is reward enough (not econimical rewards)
hapo ndipo unapopata picha kamili kwamba elimu kwa hapa bongo lengo lake ni ajira tu, kiu ya maarifa haipo kabisa.
maarifa yanapatikana from day to day doings and experience, sio bongo pekee bali the world over formal education has become an overpriced endevaour producing uneducated people full of debt and the certificates are not even worth what they used to be (kwahio ukipata hio ajira au status kwamba umesoma it serves its purpose) lakini what sets the brilliants from the averages ni wale wachache ambao hata kama wasingechukua formal education they would still excel..., sababu elimu haimaliziki pale unapotoka shule bali katika kila dakika ya maisha yako...
 
Rich dad poor dad inakupa financial literacy, Kuna watu wana elimu na mavyeti kibao lakini wakistaafu kazi zenye mishahara minono wanatia huruma wakati kwa mishahara waliyonayo ilibidi wawahi hata kustaafu

40 laws of power hii ni self help book kujua nature ya power na kuitumia kwa faida yako, magerezani hiki kitabu hakiruhusiwi kusomwa na wafungwa, kwa kuikosa hii elimu kuna watu wanateswa na waonezi bila kujua adui wa adui anaweza kuwa rafiki kumuangamiza adui yako

how to make friends and influence people, hiki ni muhimu kujua namna ya kuishi na watu, ku influence watu positively, kudeal na watu, n.k. kwa kuikosa hii elimu kuna watu wapo bize kutafuta hata dawa za mvuto wakati matatizo yao yanatatulika, mfano mtu hana skills za kusikiliza yeye anataka awe muongeaji tu anaishia kuboa watu
40 laws bado sijakisoma..

Ila hata hivyo, siamini kama hivi vitabu vinaweza vikawa vya muhimu sana, duniani kuna mavitabu mengi.

Na labda nikuulize, unazungumziaje watu ambao ni illiterate, kwa maana hawajawahi kusoma kitabu lakini wako vizuri financially?
 
Jukumu kuu la elimu ni kumkomboa kifikra mtu na kumpa ujuzi muhimu lakini kinachofanyika hapa kwetu ni kuipa jukumu ambalo siyo lake la kuwatajirisha waipatayo kupitia ajira, mambo ya kukombolewa kifikra watu hawana mda nayo ndio maana ni kawaida sana kukuta hata mhitimu wa chuo hajawahi kusoma kitabu chochote nje ya vile vya darasani.

Kwa wenzetu huko ulaya , marekani, asia, mtu hata kama kaishia shule ya msingi ataendelea kujiongezea maarifa kupitia vitabu, wengi wanafikia miaka 25 tayari wanakuwa wamesoma vitabu walau 30 vya kuongeza maarifa, sasa haa kwetu hali ni tofauti,mtu mwenye degree / master tena ana miaka taribani 40 hajawahi kusoma kitabu hata kimoja, yaani hata vile vitabu vya muhimu kama rich dad poor dad, how to make friends and influence people, 40 laws of power, n.k havijui. .... hapo ndipo unapopata picha kamili kwamba elimu kwa hapa bongo lengo lake ni ajira tu, kiu ya maarifa haipo kabisa.
Nikutaarifu tu mtoa mada happy juu,
Usipendelee Sana kufananisha nchi za Africa km Tz ambazo Ni nchi zinazoendelea na mataifa ya ulaya ambayo yamekwisha endelea in different aspects
Kwakuw hata ulaya na marekan kulikuw na tatzo la ukosefu wa ajira na economic recession, inflation wenzetu walishapita hukoo zaman na raia wao walichangnyikiw km sisi tunavyochangnyikiw wakajikwamua.
Wapo wazungu pia wanakuja kutafut ajira na kuajiriwa huku africa juzi tu nimekutan na mu Italiano amepata kazi mombasa-kenya na anajiandaa ku move from Italy to Africa
 
40 laws bado sijakisoma..

Ila hata hivyo, siamini kama hivi vitabu vinaweza vikawa vya muhimu sana, duniani kuna mavitabu mengi.

Na labda nikuulize, unazungumziaje watu ambao ni illiterate, kwa maana hawajawahi kusoma kitabu lakini wako vizuri financially?
kutoamini kwamba vitabu havina umuhimu ndio mambo haya yanayotokea hata hapa kwetu tumebarikiwa na rasilimali kibao lakini anaefaidi ni wazungu ambao huko kwao rasilimali ni chache

Literate wenye pesa niwazungumzie hawa wafanyakazi serikalini wenye pesa wenye masters na degrees wana kazi zao ambazo tozo zetu na kodi zinawalipa mishahara,,, hao ukiwakuta hawajasoma vitabu ambao ni wengi kiukweli huwaga wana akili ya kawaida tu, akili zetu watanzania wengi huwa tunajifunza kitu kwa lengo kuu la kupata kazi, tunachosoma hatuna hata interest nacho ndio maana kuna wengi wanakariri, kununua mitihani, kulipa watu wawafanyie mitihani, n.k. hapa ndipo unapoona wazi kabisa hata mtu hana interest ya kusoma vitabu maana yeye lengo ni kusomea kitachompa kazi tu, mtu anaweza kusoma ujasiriamali akakariri akafaulu mtihani ila lengo ni kuajiriwa, Mtu anaweza kusomea sheria akafaulu lakini akawa muonezi mkubwa licha ya kujibu vizuri kwenye mitihani mambo ya haki...

Kiufupi kwa mtu ambae ana masters / phd / degree lakini hajasoma vitabu huwa ni mshamba kama washamba wengine tu ambao hawajapata maarifa muhimu kwenye vitabu, Pia hata walichosomea wamesoma kwa target ya ajira kwa hio haijalishi wamefaulu kiasi gani ndivyo watavyoiweza kazi, hata kwa mwanajeshi unaweza kumpata aliesoma mpaka nje ya nchi na kufaulu vizuri lakini kama alisoma kwajili ya kazi huyu si ajabu akasaliti wenzake kwajili ya pesa tofauti na yule aliesomea kwa kuupenda uanajeshi.

Huwa nashangaa sana mbunge anajitamba ana phd ya mabomba anajinadi kaelimika, hapo elimu general knowledge kabisa kama ya vitabu nilivyotaja hana hajawahi kusoma hata kitabu kimoja kwa elimu binafsi... ndio maana wengi hawa vipanga wakiendaga kusoma nje huwa hawanaga kumbukumbu, kwanza lugha ni chenga na mbaya zaidi wanakutana na jamii za watu wanaosoma vitabu, hapa inakuwa ngumu sana kuchangamana
 
Nikutaarifu tu mtoa mada happy juu,
Usipendelee Sana kufananisha nchi za Africa km Tz ambazo Ni nchi zinazoendelea na mataifa ya ulaya ambayo yamekwisha endelea in different aspects
Kwakuw hata ulaya na marekan kulikuw na tatzo la ukosefu wa ajira na economic recession, inflation wenzetu walishapita hukoo zaman na raia wao walichangnyikiw km sisi tunavyochangnyikiw wakajikwamua.
Wapo wazungu pia wanakuja kutafut ajira na kuajiriwa huku africa juzi tu nimekutan na mu Italiano amepata kazi mombasa-kenya na anajiandaa ku move from Italy to Africa
Kwani mtu kutoka nje kuja kufanya kazi kuna tatizo? hao ni expats na wapo wengi tu wanalipwa vizuri hasa Arusha..

Tatizo kwa haoa Tz elimu tunadhani ni kusoma tu degree / masters / phd ... Matokeo yake tuliyaona hata mashindano yale ya vyuo vya Africa, vyuo vyetu walikuwa wanapeleka vipanga lakini wakifika huko wanagalagazwa na vyuo vya chini kabisa vya malawi, zambia, n.k. Na tatizo halikuwa lugha ya mdomo maana hata maswali yalikuwa yanaonekana kwenye screen...
 
Kwani mtu kutoka nje kuja kufanya kazi kuna tatizo? hao ni expats na wapo wengi tu wanalipwa vizuri hasa Arusha..

Tatizo kwa haoa Tz elimu tunadhani ni kusoma tu degree / masters / phd ... Matokeo yake tuliyaona hata mashindano yale ya vyuo vya Africa, vyuo vyetu walikuwa wanapeleka vipanga lakini wakifika huko wanagalagazwa na vyuo vya chini kabisa vya malawi, zambia, n.k. Na tatizo halikuwa lugha ya mdomo maana hata maswali yalikuwa yanaonekana kwenye screen...
Mzee sky soldier unaonekana una madini Sana kichwan
Maan hi mada umeivalaia njuga sio poua
 
kutoamini kwamba vitabu havina umuhimu ndio mambo haya yanayotokea hata hapa kwetu tumebarikiwa na rasilimali kibao lakini anaefaidi ni wazungu ambao huko kwao rasilimali ni chache

Literate wenye pesa niwazungumzie hawa wafanyakazi serikalini wenye pesa wenye masters na degrees wana kazi zao ambazo tozo zetu na kodi zinawalipa mishahara,,, hao ukiwakuta hawajasoma vitabu ambao ni wengi kiukweli huwaga wana akili ya kawaida tu, akili zetu watanzania wengi huwa tunajifunza kitu kwa lengo kuu la kupata kazi, tunachosoma hatuna hata interest nacho ndio maana kuna wengi wanakariri, kununua mitihani, kulipa watu wawafanyie mitihani, n.k. hapa ndipo unapoona wazi kabisa hata mtu hana interest ya kusoma vitabu maana yeye lengo ni kusomea kitachompa kazi tu, mtu anaweza kusoma ujasiriamali akakariri akafaulu mtihani ila lengo ni kuajiriwa, Mtu anaweza kusomea sheria akafaulu lakini akawa muonezi mkubwa licha ya kujibu vizuri kwenye mitihani mambo ya haki...

Kiufupi kwa mtu ambae ana masters / phd / degree lakini hajasoma vitabu huwa ni mshamba kama washamba wengine tu ambao hawajapata maarifa muhimu kwenye vitabu, Pia hata walichosomea wamesoma kwa target ya ajira kwa hio haijalishi wamefaulu kiasi gani ndivyo watavyoiweza kazi, hata kwa mwanajeshi unaweza kumpata aliesoma mpaka nje ya nchi na kufaulu vizuri lakini kama alisoma kwajili ya kazi huyu si ajabu akasaliti wenzake kwajili ya pesa tofauti na yule aliesomea kwa kuupenda uanajeshi.

Huwa nashangaa sana mbunge anajitamba ana phd ya mabomba anajinadi kaelimika, hapo elimu general knowledge kabisa kama ya vitabu nilivyotaja hana hajawahi kusoma hata kitabu kimoja kwa elimu binafsi... ndio maana wengi hawa vipanga wakiendaga kusoma nje huwa hawanaga kumbukumbu, kwanza lugha ni chenga na mbaya zaidi wanakutana na jamii za watu wanaosoma vitabu, hapa inakuwa ngumu sana kuchangamana
May be you have a point, may be not. I will join you later.
 
Back
Top Bottom