Jukumu la kuwatetea wapalestina si la Iran pekee

Jukumu la kuwatetea wapalestina si la Iran pekee

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Hatua inayofuata kutokana na vita kati ya Israel na Hamas itakuwa ni vita vigumu na vya muda mrefu sana.

Tayari mataifa washirika wa Israel katika juhudi ya kupotosha na kupunguza athari zake wameanza kutangaza kuwa ni vita kati ya Iran na Israel.

Kiukweli vita hivyo ni kama fursa muhimu ya maisha ya kidunia kwa kila Muislamu na hasa kwa mataifa ya maashariki ya kati kwani kwa mujibu wa waziri wa Israel aitwaye Ben Giver ni kwamba anawahamasisha mayahudi wenzake waanze kujiandaa kufanya ibada zao ndani ya masjid Aqsa hivi karibuni.

Utetezi wa Msikiti huo wala si jukumu la Iran pekee kwani Msikiti huo umetajwa kwenye Qur'an na pahala penye unasibibisho na miujiza na wahyi muhimu katika uislamu.
 
Taifa teule Israel ubarikiwe
Watabarikiwa wanaokubariki ,watalaaniwa wanao kulaani.
Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi aliyeukomboa ulimwengu mwenye ufalme mabegani mwake. Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe Israel🙏
Ubarikiwe Israel 🙏
Ubarikiwe Israel🙏
 
MNAHANGAIKA NA KUJIPENDEKEZA. NDUGU ZENU WAPO SOMALIA HAPO NA SUDAN WANAUANA KILA SIKU SABABU NI WEUSI WENZENU MNANYAMAZA. ILA WEUPE MNAJIPENDEKEZA.
Wanaopigana kikabila na kutaka mali tuna jukumu la kuwasuluhisha lakini wale wanaopigania kitu cha kiimani basi ni jukumu la kila mmojawetu kuwasaidia kabisa kwa namna anayoweza.
 
Sisi tunahusika kiimani na ndugu katika imani yetu,
Waarabu wenyewe walio karibu na hio israel hawataki kuzipiga na israel ndo maana wanasema ni iran na israel, haya nyie waarabu wa buza nendeni mkazichape huko au mtapigana hio vita nyuma ya keyboard zenu?? Iran asijichoshe na waarabu afanye yake atapoteza muda kutaka kuwatetea waarabu ambao hawataki kutoka ubavuni kwa marekani na israel
 
Waarabu wenyewe walio karibu na hio israel hawataki kuzipiga na israel ndo maana wanasema ni iran na israel, haya nyie waarabu wa buza nendeni mkazichape huko au mtapigana hio vita nyuma ya keyboard zenu?? Iran asijichoshe na waarabu afanye yake atapoteza muda kutaka kuwatetea waarabu ambao hawataki kutoka ubavuni kwa marekani na israel
Kitu kitakachowapata hao waarabu wanaopuuza wapalestina wala hakitokuwa kidogo na hakitotoka kwetu.Pamoja na hivyo tuombe vita visisambae na kukasirisha sana waumini wa kiislamu kwani hao wafalme wanaweza wakaondolewa mara moja na nvuvu za wananchi zikapelekwa Israel.Kama hatujazinduka na hilo basi tuna akili mgando.
 
Kitu kitakachowapata hao waarabu wanaopuuza wapalestina wala hakitokuwa kidogo na hakitotoka kwetu.Pamoja na hivyo tuombe vita visisambae na kukasirisha sana waumini wa kiislamu kwani hao wafalme wanaweza wakaondolewa mara moja na nvuvu za wananchi zikapelekwa Israel.Kama hatujazinduka na hilo basi tuna akili mgando.
Miaka yote israel yupo hapo anajimwambafy ,,,akili mgando zimeanza muda
 
Hatua inayofuata kutokana na vita kati ya Israel na Hamas itakuwa ni vita vigumu na vya muda mrefu sana.

Tayari mataifa washirika wa Israel katika juhudi ya kupotosha na kupunguza athari zake wameanza kutangaza kuwa ni vita kati ya Iran na Israel.

Kiukweli vita hivyo ni kama fursa muhimu ya maisha ya kidunia kwa kila Muislamu na hasa kwa mataifa ya maashariki ya kati kwani kuwa mujibu wa waziri wa Israel aitwaye Ben Giver ni kwamba anawahamasisha mayahudi wenzake waanze kujiandaa kufanya ibada zao ndani ya masjid Aqsa hivi karibuni.

Utetezi wa Msikiti huo wala si jukumu la Iran pekee kwani Msikiti huo umetajwa kwenye Qur'an na pahala penye unasibibisho na miujiza na wahyo muhimu katika uislamu.
Iran anaitetea palestina kwenye nini zaidi ya kuwasaidia magaidi wa hamas kuwapa silaha na mafunzo mbona hapeleki chakula na madawa gaza
 
Ni mhimu na lazima Iran sasa aingie mzigoni mwenyewe baada ya vigenge vyake vyote vya kigaidi kufyekwa na Myahudi

Inamlazimu aucheze mziki mwenyewe sasa, na inampasa aucheze kwa uangalifu mkubwa sana huku akiwa analinda namna ya uchumi wake asije kuwa kama nchi za Iraq na lebanon, yemeni na gaza! Maana Myahudi kajipanga vilivyo
 
Hatua inayofuata kutokana na vita kati ya Israel na Hamas itakuwa ni vita vigumu na vya muda mrefu sana.

Tayari mataifa washirika wa Israel katika juhudi ya kupotosha na kupunguza athari zake wameanza kutangaza kuwa ni vita kati ya Iran na Israel.

Kiukweli vita hivyo ni kama fursa muhimu ya maisha ya kidunia kwa kila Muislamu na hasa kwa mataifa ya maashariki ya kati kwani kuwa mujibu wa waziri wa Israel aitwaye Ben Giver ni kwamba anawahamasisha mayahudi wenzake waanze kujiandaa kufanya ibada zao ndani ya masjid Aqsa hivi karibuni.

Utetezi wa Msikiti huo wala si jukumu la Iran pekee kwani Msikiti huo umetajwa kwenye Qur'an na pahala penye unasibibisho na miujiza na wahyo muhimu katika uislamu.
Sasa unaongelea kilosa nani atakuelewa!!!!!??? Nenda huko huko ukaupganie huo msikiti sijui masjid Aqsa
 
Juzi tu hapa Pakistan shia Muslims wamepata kipigo Cha kufa mtu kutoka kwa wenzao Sunni..undugi gani unauzungumzia?
Undugu wa kiislam siku zote ni wa kinafiki na kwanza hawa wa huku wanaojiita waislam waarabu hawautambui uislam wao na bado wanawaona tu kama watumwa wao na (wapagazi).
 
Mnamo Karne ya Saba majeshi ya Kiislamu yakiongozwa na Omar yaliivamia Jerusalem Israel na baadae yalienda kuzivamia Spain na Portugal huko Spain na Portugal hatimae Wakatoliki wakapata fursa na kuwatoa Waarabu hao wa Hejazi.

Na sasa Waisraeli ni zamu yao kuwaondoa Wahejazi hao.
 
Mnamo Karne ya Saba majeshi ya Kiislamu yakiongozwa na Omar yaliivamia Jerusalem Israel na baadae yalienda kuzivamia Spain na Portugal huko Spain na Portugal hatimae Wakatoliki wakapata fursa na kuwatoa Waarabu hao wa Hejazi.

Na sasa Waisraeli ni zamu yao kuwaondoa Wahejazi hao.
Uislamu uliingia Spain,Portugal na France miaka mia 2 baada ya sayyidna Omar kuikomboa Jerusalem.
Wakatoliki hawakuweza kuwaondoa waislamu kwa karne karibu saba mbele mpaka pale walipokodi vikosi vya kiislamu kutoka nchi za kaskazini ya Afrika kama vile Mali,NIger na Chad.
Mayahudi kwa nafsi zao hawajawahi kuwashinda waislamu.Na hata mwaka huu 2024 wamewatumia vibaraka wa kiarabu kuwafunga mikono na miguu waislamu wa Palestina na huku wakiwaachia wawapige wanavyopenda.
 
Uislamu uliingia Spain,Portugal na France miaka mia 2 baada ya sayyidna Omar kuikomboa Jerusalem.
Wakatoliki hawakuweza kuwaondoa waislamu kwa karne karibu saba mbele mpaka pale walipokodi vikosi vya kiislamu kutoka nchi za kaskazini ya Afrika kama vile Mali,NIger na Chad.
Mayahudi kwa nafsi zao hawajawahi kuwashinda waislamu.Na hata mwaka huu 2024 wamewatumia vibaraka wa kiarabu kuwafunga mikono na miguu waislamu wa Palestina na huku wakiwaachia wawapige wanavyopenda.
Acheni kuvamia Nchi za Watu kwa kisingizio cha Dini na Jihadi

Mtapigwa sana mnafikiri hii ni Karne ya Saba? Nani anayetaka kulipa Jizya?!

Mkatoliki alijikomboa na Jizya na sasa Muisraeli.
 
Back
Top Bottom