Uislamu uliingia Spain,Portugal na France miaka mia 2 baada ya sayyidna Omar kuikomboa Jerusalem.
Wakatoliki hawakuweza kuwaondoa waislamu kwa karne karibu saba mbele mpaka pale walipokodi vikosi vya kiislamu kutoka nchi za kaskazini ya Afrika kama vile Mali,NIger na Chad.
Mayahudi kwa nafsi zao hawajawahi kuwashinda waislamu.Na hata mwaka huu 2024 wamewatumia vibaraka wa kiarabu kuwafunga mikono na miguu waislamu wa Palestina na huku wakiwaachia wawapige wanavyopenda.