Jukwaa la habari msitafute mchawi, Chanzo kikubwa cha vyombo vya habari kufa ni kukosekana "Habari za kiuchunguzi"

Jukwaa la habari msitafute mchawi, Chanzo kikubwa cha vyombo vya habari kufa ni kukosekana "Habari za kiuchunguzi"

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Jukwaa la habari na wachambuzi mbalimbali wanadai kukosekana kwa wateja kwenye vyombo vya habari kumeletwa na teknolojia ya mitandao!

Wanadai kwamba Siku hizi watu wengi wanapata taarifa mitandaoni hivyo ndiyo maana hawanunui magazeti au kuangalia TV.

Madai kama haya hayaakisi ukweli halisi wa tatizo!

Chanzo kikuu cha kufa kwa vyombo vya habari ni ukosefu wa habari za kiuchunguzi (investigation)

Kwasababu watu wanahitaji habari halisi ili wavutiwe kutizama au kusoma magazeti!

Vyombo vya habari karibu vyote siku hizi vimekosa Investigation Journalism.

Ni kama kusifu na kupamba rangi ya nyumba pasipo kujadili nyufa nyumba!
Vyombo vingi vya habari vitapotea kama hawatajipambanua kutoa habari TECHNICAL!

Vyombo vya habari vinahoji watu walewale kama chanzo cha taarifa pasipo kujikita katika uchunguzi wa tatizo lenyewe!
 
Jukwa la habari na wachambuzi mbalimbali wanadai kukosekana kwa wateja kwenye vyombo vya habari kumeletwa na teknolojia ya mitandao!

Wanadai kwamba Siku hizi watu wengi wanapata taarifa mitandaoni hivyo ndiyo maana hawanunui magazeti au kuangalia TV.

Madai kama haya hayaakisi ukweli halisi wa tatizo!

Chanzo kikuu cha kufa kwa vyombo vya habari ni ukosefu wa habari za kiuchunguzi (investigation)

Kwasababu watu wanahitaji habari halisi ili wavutiwe kutizama au kusoma magazeti!

Vyombo vya habari karibu vyote siku hizi vimekosa Investigation Journalism.

Ni kama kusifu na kupamba rangi ya nyumba pasipo kujadili nyufa nyumba!
Vyombo vingi vya habari vitapotea kama hawatajipambanua kutoa habari TECHNICAL!

Vyombo vya habari vinahoji watu walewale kama chanzo cha taarifa pasipo kujikita katika uchunguzi wa tatizo lenyewe!
Nadhani watakuelwa, umeongea fact, factum probandum, wasipokuelewa wafie kwa mbali!
 
Sakata la kina halima mdee; hakuna gazeti hata moja liliaandaa Makala ya uchambuzi wa kanuni na katiba kuhusu ukweli halisi!
Wao wapo busy kusema "NDUGAI ASEMA"
Mimi kuna Dr mmoja nilimwambia jana, magazeti yamepoteza uhalisia wa Journalism akabisha eti oh mitandao,sikutaka kubishana nae. Huko Marekani na Western Europe watu wanasoma magazeti kwani hakuna mitandao. Ishu hapa ni hii miaka waandishi wamepoteza mwelekeo. Kila mwandishi anaangalia kama anaweza pata teuzi toka kwa kiongozi mtarajiwa wa malaika atakapokuwa huko walipo.
 
Mimi kuna Dr mmoja nilimwambia jana, magazeti yamepoteza uhalisia wa Journalism akabisha eti oh mitandao,sikutaka kubishana nae. Huko Marekani na Western Europe watu wanasoma magazeti kwani hakuna mitandao. Ishu hapa ni hii miaka waandishi wamepoteza mwelekeo. Kila mwandishi anaangalia kama anaweza pata teuzi toka kwa kiongozi mtarajiwa wa malaika atakapokuwa huko walipo.
Ukiandika habari credible hata mitandao ikiwepo lazima mtu atatafta chanzo hivyo atasoma au kuangalia hiyo TV
 
Jukwa la habari na wachambuzi mbalimbali wanadai kukosekana kwa wateja kwenye vyombo vya habari kumeletwa na teknolojia ya mitandao!

Wanadai kwamba Siku hizi watu wengi wanapata taarifa mitandaoni hivyo ndiyo maana hawanunui magazeti au kuangalia TV.

Madai kama haya hayaakisi ukweli halisi wa tatizo!

Chanzo kikuu cha kufa kwa vyombo vya habari ni ukosefu wa habari za kiuchunguzi (investigation)

Kwasababu watu wanahitaji habari halisi ili wavutiwe kutizama au kusoma magazeti!

Vyombo vya habari karibu vyote siku hizi vimekosa Investigation Journalism.

Ni kama kusifu na kupamba rangi ya nyumba pasipo kujadili nyufa nyumba!
Vyombo vingi vya habari vitapotea kama hawatajipambanua kutoa habari TECHNICAL!

Vyombo vya habari vinahoji watu walewale kama chanzo cha taarifa pasipo kujikita katika uchunguzi wa tatizo lenyewe!
Mimi gazeti langu ni mwanaspot ova
Hayo mengine yenye habari za mhe jiwe taarifa zake ntazipata hapa hapa
Taarifa mbaya za Serikal-erthrocyte
Taarifa za kulamba miguu ya jiwe-pascal na john mbatizaji😂😂😂
 
Jukwa la habari na wachambuzi mbalimbali wanadai kukosekana kwa wateja kwenye vyombo vya habari kumeletwa na teknolojia ya mitandao!

Wanadai kwamba Siku hizi watu wengi wanapata taarifa mitandaoni hivyo ndiyo maana hawanunui magazeti au kuangalia TV.

Madai kama haya hayaakisi ukweli halisi wa tatizo!

Chanzo kikuu cha kufa kwa vyombo vya habari ni ukosefu wa habari za kiuchunguzi (investigation)

Kwasababu watu wanahitaji habari halisi ili wavutiwe kutizama au kusoma magazeti!

Vyombo vya habari karibu vyote siku hizi vimekosa Investigation Journalism.

Ni kama kusifu na kupamba rangi ya nyumba pasipo kujadili nyufa nyumba!
Vyombo vingi vya habari vitapotea kama hawatajipambanua kutoa habari TECHNICAL!

Vyombo vya habari vinahoji watu walewale kama chanzo cha taarifa pasipo kujikita katika uchunguzi wa tatizo lenyewe!
Waache waendelee kusifu na kuabudu, Kila siku headlines zilezile, ndege, SGR, flyover, nani anataka kusikia such kind of lunatic news kila siku?
 
Media zinakufa sababu ya technology

Mtasingizia kila kitu
Uchawi ni internet tu
 
Media zinakufa sababu ya technology

Mtasingizia kila kitu
Uchawi ni internet tu
Ukweli ndio huu nakumbuka enzi za kusubiri kesho ili kununua mwanaspoti kuangalia matokeo ya mpira leo hii kuna live score kwny simu...
Enzi ajali inatokea asubuh ili ujue basi jion uangalie ITV habari na ili upate taarifa zaidi basi kesho yake inabd ununue gazeti but now ajali ikitokea moro hapo dakika hyo hyo tarifa ipo jamii forum kwa kweli kwa namna lazma gazeti ziyumbe
 
Media zinakufa sababu ya technology

Mtasingizia kila kitu
Uchawi ni internet tu
Ingekuwa ni hivo The Telegraph, mirror washington post, Newyork post zingekuwa zimekufa, make huko ndo technology imeanzia. Watu hawajui watu wanapenda habari gani. Watu tunapenda kusoma investigative news and politics, hizi ishu za miundombinu kila mtu anajua ipo na inajengwa tena kwa kodi zetu. Sasa media zikijikita kuandika hizo habari watu wanawaona kama bunch of lunatics wanatafuta kick za uteuzi
 
Ingekuwa ni hivo The Telegraph, mirror washington post, Newyork post zingekuwa zimekufa, make huko ndo technology imeanzia. Watu hawajui watu wanapenda habari gari. Watu tunapenda kusoma investigative news and politics, hizi ishu za miundombinu kila mtu anajua ipo na inajengwa tena kwa kodi zetu. Sasa media zikijikita kuandika hizo habari watu wanawaona kama bunch of lunatics wanatafuta kick za uteuzi

Unaongea na still hujui unachoongea
Washington post iliuzwa Kwa kushindwa
Kupata faida ina survive now Kwa kuwa alienunua ndo mtu tajiri kuliko wote duniani
Haimpi shida kumiliki gazeti linalopata hasara

Hayo magazeti yote uliyotaja yote Yana struggle..
Mengine yana online contents na matangazo ya online
Mengine yanamilikiwa na big media houses zenye online branch na TV na kadhalika
Hakuna newspaper inayopata faida these days...
 
mimi gazeti langu ni mwanaspot ova
Hayo mengine yenye habari za mhe jiwe taarifa zake ntazipata hapa hapa
Taarifa mbaya za Serikal-erthrocyte
Taarifa za kulamba miguu ya jiwe-pascal na john mbatizaji😂😂😂
Daaah! Nipo thailand lakini nimecheka sana, naimis tz yangu
 
Tuangazie kipindi kama JICHO PEVU cha Mohamed Ally ambae kwa sasa kawa mbunge kilikuwa kinapendwa mbele ya uwepo wa Social Network na wengi tulivutiwa kutokana na namna ambavyo jamaa alikuwa mpambanaji wa kufukunyua habari binafsi sijaona kama kile na hata wanaojaribu kukiendesha bado hawamfikii ijapokuwa kuna mdada kidogo alikuwa anajitahidi kwa wabongo ni kupamba tu wanasiasa kiasi ambacho ukitazama tu tv gazeti n.k unahisi kilichoandikwa kwa 90%
 
Sakata la kina halima mdee; hakuna gazeti hata moja liliaandaa Makala ya uchambuzi wa kanuni na katiba kuhusu ukweli halisi!
Wao wapo busy kusema "NDUGAI ASEMA"
Jengine, huwa hawaifuatilii taarifa ili ifike mwisho. Kwa mfano mtu kafikishwa mahakamani wanaishia hapo. Nakumbuka enzi hizo huko kenya magazeti yangefuatilia habari hadi mwisho. Mfano ile habari ya nyaligunga. Mpaka wajaluo wakaitwa nyaligunga. Nakumbuka hata yule mama alipoolewa na Serengeti boys walirejea tena.
 
Back
Top Bottom