Mm nitachangia kwa case ya Tv tu.Jukwaa la habari na wachambuzi mbalimbali wanadai kukosekana kwa wateja kwenye vyombo vya habari kumeletwa na teknolojia ya mitandao!
Wanadai kwamba Siku hizi watu wengi wanapata taarifa mitandaoni hivyo ndiyo maana hawanunui magazeti au kuangalia TV.
Madai kama haya hayaakisi ukweli halisi wa tatizo!
Chanzo kikuu cha kufa kwa vyombo vya habari ni ukosefu wa habari za kiuchunguzi (investigation)
Kwasababu watu wanahitaji habari halisi ili wavutiwe kutizama au kusoma magazeti!
Vyombo vya habari karibu vyote siku hizi vimekosa Investigation Journalism.
Ni kama kusifu na kupamba rangi ya nyumba pasipo kujadili nyufa nyumba!
Vyombo vingi vya habari vitapotea kama hawatajipambanua kutoa habari TECHNICAL!
Vyombo vya habari vinahoji watu walewale kama chanzo cha taarifa pasipo kujikita katika uchunguzi wa tatizo lenyewe!
Kama kufa vingekufa vipindi vya michezo vya Radio...ambako huko ndo internet zipo na mechi zinaangaliwa...lakini kwa sasa vipindi hivyo ndo vinatusua.Media zinakufa sababu ya technology
Mtasingizia kila kitu
Uchawi ni internet tu
Hakuna mtu kichaa anaweza fanya biashara ambayo haina faida,come on fella,that aint gonna happen. Pamoja na kuwa yanamilikiwa na giant media groups, lakini haijawahi kuwa projected the way unavotaka kupotray hapa jamvini. Hatukatai kuwa biashara sio ya faida kila mara,lakini hayo magazeti hayajwahi kutangaza kufunga biashara zao mpaka yananunuliwa. Problem iliyopo bongo media groups zimejikita kutangaza non sense muda wote take it from me. Angalia tu kipindi cha compaign, coverage yote ilijikita kwa CCM utacikiri majority ya Watanzania wote ni CCM. Hawajui kufanya coverage, hata kama chama tawala kinaminya uhuru wa habari lakini mnakuwa wajanja kwenye kucover habari. Sometimes aweza kuta hii ni migomo tu,wengi hatuwezi jua.Unaongea na still hujui unachoongea
Washington post iliuzwa Kwa kushindwa
Kupata faida ina survive now Kwa kuwa alienunua ndo mtu tajiri kuliko wote duniani
Haimpi shida kumiliki gazeti linalopata hasara
Hayo magazeti yote uliyotaja yote Yana struggle..
Mengine yana online contents na matangazo ya online
Mengine yanamilikiwa na big media houses zenye online branch na TV na kadhalika
Hakuna newspaper inayopata faida these days...
Kweli watu wanataka habari za gizani...maendeleo yanaonekana tu..ukipita Ubungo utaona barabara juu au kama upo mkoani utaona kwenye tv.Ingekuwa ni hivo The Telegraph, mirror washington post, Newyork post zingekuwa zimekufa, make huko ndo technology imeanzia. Watu hawajui watu wanapenda habari gani. Watu tunapenda kusoma investigative news and politics, hizi ishu za miundombinu kila mtu anajua ipo na inajengwa tena kwa kodi zetu. Sasa media zikijikita kuandika hizo habari watu wanawaona kama bunch of lunatics wanatafuta kick za uteuzi
Wapuuzi sana. Na watafunga wote......unaamka asubuhi unakuta gazeti kubwa la kuaminiwa (kwa jina) lina heading "19 NI WABUNGE HALALI" -NDUGAISakata la kina halima mdee; hakuna gazeti hata moja liliaandaa Makala ya uchambuzi wa kanuni na katiba kuhusu ukweli halisi!
Wao wapo busy kusema "NDUGAI ASEMA"
Imepitishwa sheria ya uandishi wa habari ambapo waandishi wengi wenye vyeti hawana uwezo wa kufanya uandishi makini.Mimi kuna Dr mmoja nilimwambia jana, magazeti yamepoteza uhalisia wa Journalism akabisha eti oh mitandao,sikutaka kubishana nae. Huko Marekani na Western Europe watu wanasoma magazeti kwani hakuna mitandao. Ishu hapa ni hii miaka waandishi wamepoteza mwelekeo. Kila mwandishi anaangalia kama anaweza pata teuzi toka kwa kiongozi mtarajiwa wa malaika atakapokuwa huko walipo.
Umeongea ukweli waandishi wetu wamejikita kuwa maripota wanaandika kile wanachoambia swala la kina Mdee kama tungekuwa na waandishi mahiri tusingeishia kuwasikili Chadema, Mdee na Ndugai wangeingia ndani zaidi ya hapo.Jukwaa la habari na wachambuzi mbalimbali wanadai kukosekana kwa wateja kwenye vyombo vya habari kumeletwa na teknolojia ya mitandao!
Wanadai kwamba Siku hizi watu wengi wanapata taarifa mitandaoni hivyo ndiyo maana hawanunui magazeti au kuangalia TV.
Madai kama haya hayaakisi ukweli halisi wa tatizo!
Chanzo kikuu cha kufa kwa vyombo vya habari ni ukosefu wa habari za kiuchunguzi (investigation)
Kwasababu watu wanahitaji habari halisi ili wavutiwe kutizama au kusoma magazeti!
Vyombo vya habari karibu vyote siku hizi vimekosa Investigation Journalism.
Ni kama kusifu na kupamba rangi ya nyumba pasipo kujadili nyufa nyumba!
Vyombo vingi vya habari vitapotea kama hawatajipambanua kutoa habari TECHNICAL!
Vyombo vya habari vinahoji watu walewale kama chanzo cha taarifa pasipo kujikita katika uchunguzi wa tatizo lenyewe!
HakikaHabari za ziara za viongozi Singida zinamsaidia nini msomaji wa Tandahimba? Wanaacha kuandika mambo ya kulisaidia Taifa wanakalia kusifu na kuabudu mtu. Ndo wqjue waliokuwa wananunua magazeti yao siyo praise team, ni watu wenye uelelwa wanaotaka kujua kinachoendelea kiuahalisia. Na kilichowaua zaidi ni taarifa mbovu kuhusu uchaguzi.
Jukwaa la habari na wachambuzi mbalimbali wanadai kukosekana kwa wateja kwenye vyombo vya habari kumeletwa na teknolojia ya mitandao!
Wanadai kwamba Siku hizi watu wengi wanapata taarifa mitandaoni hivyo ndiyo maana hawanunui magazeti au kuangalia TV.
Madai kama haya hayaakisi ukweli halisi wa tatizo!
Chanzo kikuu cha kufa kwa vyombo vya habari ni ukosefu wa habari za kiuchunguzi (investigation)
Kwasababu watu wanahitaji habari halisi ili wavutiwe kutizama au kusoma magazeti!
Vyombo vya habari karibu vyote siku hizi vimekosa Investigation Journalism.
Ni kama kusifu na kupamba rangi ya nyumba pasipo kujadili nyufa nyumba!
Vyombo vingi vya habari vitapotea kama hawatajipambanua kutoa habari TECHNICAL!
Vyombo vya habari vinahoji watu walewale kama chanzo cha taarifa pasipo kujikita katika uchunguzi wa tatizo lenyewe!
Jukwaa la habari na wachambuzi mbalimbali wanadai kukosekana kwa wateja kwenye vyombo vya habari kumeletwa na teknolojia ya mitandao!
Wanadai kwamba Siku hizi watu wengi wanapata taarifa mitandaoni hivyo ndiyo maana hawanunui magazeti au kuangalia TV.
Madai kama haya hayaakisi ukweli halisi wa tatizo!
Chanzo kikuu cha kufa kwa vyombo vya habari ni ukosefu wa habari za kiuchunguzi (investigation)
Kwasababu watu wanahitaji habari halisi ili wavutiwe kutizama au kusoma magazeti!
Vyombo vya habari karibu vyote siku hizi vimekosa Investigation Journalism.
Ni kama kusifu na kupamba rangi ya nyumba pasipo kujadili nyufa nyumba!
Vyombo vingi vya habari vitapotea kama hawatajipambanua kutoa habari TECHNICAL!
Vyombo vya habari vinahoji watu walewale kama chanzo cha taarifa pasipo kujikita katika uchunguzi wa tatizo lenye