PSPA Pure'12 udsm
JF-Expert Member
- Jan 11, 2013
- 832
- 447
Wenye tamaa ya madaraka wanakimbilia upinzani kwa kuwa kule ndiko kibonde, ccm haitaki viongozi lege lege,
ccm ndiyo chama tawala na watake wasitake uchaguzi wa 2015
lazima ccm itashinda;
Na huu muungano ndo kabisa umeuwa upinzani, chadema ndicho chama
kilichokuwa na wafuasi wengi, lakini kwa muungano huu wengi pia watarudi ccm
Si bure,kuna kitu chenye ncha kali utakua umekalia. Rudi MMU
Last edited by a moderator: