figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
tukio lilitokea ijumaa, taarifa wametoa jumatatu tena mabatini wakati pale karibu na ofisi yao kuna polisi maeneo ya gym kana. Cha ajabu wamepeleka barua kwa kinyela yenye rb ambayo ni ya siku ya nyuma.
kinachosikitisha ni kwamba wale watu walienda pale ofisi ya jukwaa la katiba na kuomba namba za kibamba walipo nyimwa wakaondoka. walimwambia mlinzi umetunyima namba tutakufukuzisha kazi kwa boss wako kwani kibamba ni rafiki yetu. Leo wanasema jukwaa wametishiwa bila kusema wametishiwa vipi. mia
kinachosikitisha ni kwamba wale watu walienda pale ofisi ya jukwaa la katiba na kuomba namba za kibamba walipo nyimwa wakaondoka. walimwambia mlinzi umetunyima namba tutakufukuzisha kazi kwa boss wako kwani kibamba ni rafiki yetu. Leo wanasema jukwaa wametishiwa bila kusema wametishiwa vipi. mia