Jukwaa la Katiba wanaleta uhuni

Jukwaa la Katiba wanaleta uhuni

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
tukio lilitokea ijumaa, taarifa wametoa jumatatu tena mabatini wakati pale karibu na ofisi yao kuna polisi maeneo ya gym kana. Cha ajabu wamepeleka barua kwa kinyela yenye rb ambayo ni ya siku ya nyuma.
kinachosikitisha ni kwamba wale watu walienda pale ofisi ya jukwaa la katiba na kuomba namba za kibamba walipo nyimwa wakaondoka. walimwambia mlinzi umetunyima namba tutakufukuzisha kazi kwa boss wako kwani kibamba ni rafiki yetu. Leo wanasema jukwaa wametishiwa bila kusema wametishiwa vipi. mia
 
Watu washaona kutishiwa na kutekwa ndio habari zinazotengeneza headline kwenye masikio ya watu.
 
tukio lilitokea ijumaa, taarifa wametoa jumatatu tena mabatini wakati pale karibu na ofisi yao kuna polisi maeneo ya gym kana. Cha ajabu wamepeleka barua kwa kinyela yenye rb ambayo ni ya siku ya nyuma.
kinachosikitisha ni kwamba wale watu walienda pale ofisi ya jukwaa la katiba na kuomba namba za kibamba walipo nyimwa wakaondoka. walimwambia mlinzi umetunyima namba tutakufukuzisha kazi kwa boss wako kwani kibamba ni rafiki yetu. Leo wanasema jukwaa wametishiwa bila kusema wametishiwa vipi. mia


mkuu hizo bold hapo juu unaweza ukasaidia polisi kama wakiwa makini
 
tukio lilitokea ijumaa, taarifa wametoa jumatatu tena mabatini wakati pale karibu na ofisi yao kuna polisi maeneo ya gym kana. Cha ajabu wamepeleka barua kwa kinyela yenye rb ambayo ni ya siku ya nyuma.
kinachosikitisha ni kwamba wale watu walienda pale ofisi ya jukwaa la katiba na kuomba namba za kibamba walipo nyimwa wakaondoka. walimwambia mlinzi umetunyima namba tutakufukuzisha kazi kwa boss wako kwani kibamba ni rafiki yetu. Leo wanasema jukwaa wametishiwa bila kusema wametishiwa vipi. mia

We ndio unaleta UHUNI, pia ni Mburula hata huzijui ofisi za jukwa la katiba, unakurupuka tu, Gym kana?
kajipange uje tenaGT

1. Kupata namba ya Deo mpaka uende ofisini?
2.huyo askari anafaa sana kama ni rafiki za Kibamba, kwa nini wanatafuta namba yake?
 
Mleta thread wewe miongoni mwa waliokwenda ofisi hiyo? Yaelekea unafahamu huo mchakato.
 
tukio lilitokea ijumaa, taarifa wametoa jumatatu tena mabatini wakati pale karibu na ofisi yao kuna polisi maeneo ya gym kana. Cha ajabu wamepeleka barua kwa kinyela yenye rb ambayo ni ya siku ya nyuma.
kinachosikitisha ni kwamba wale watu walienda pale ofisi ya jukwaa la katiba na kuomba namba za kibamba walipo nyimwa wakaondoka. walimwambia mlinzi umetunyima namba tutakufukuzisha kazi kwa boss wako kwani kibamba ni rafiki yetu. Leo wanasema jukwaa wametishiwa bila kusema wametishiwa vipi. mia

Ofisi za Jukwaa La Katiba zipo karibu na hapo kwenye red?
 
tukio lilitokea ijumaa, taarifa wametoa jumatatu tena mabatini wakati pale karibu na ofisi yao kuna polisi maeneo ya gym kana. Cha ajabu wamepeleka barua kwa kinyela yenye rb ambayo ni ya siku ya nyuma.
kinachosikitisha ni kwamba wale watu walienda pale ofisi ya jukwaa la katiba na kuomba namba za kibamba walipo nyimwa wakaondoka. walimwambia mlinzi umetunyima namba tutakufukuzisha kazi kwa boss wako kwani kibamba ni rafiki yetu. Leo wanasema jukwaa wametishiwa bila kusema wametishiwa vipi. mia

Sasa kama kibamba ni rafiki yao kwa nini hawakuwa na namba yake. ?
Au kwa nini wasiwapigie marafiki wengine wa kibamba iliwapewe namba. ?
Kwani kazi ya mlinzi ni kutoa namba za simu za watu. ?
Kwanini wasiombe namba za ofisini kama walikuwa na shida ya kiofisi. ?
Kama wao ni marafiki na kweli walikuwa na shida siwangemfuata nyumbani baada ya kukosa namba zake.?
Kama kweli walikuwa na shida na wamenyimwa namba wangeacha namba zao ili rafiki yao akija awapigie.?
Kama walikuwa na shida kubwa kwanini hawakukaa kumsubiri?
 
tukio lilitokea ijumaa, taarifa wametoa jumatatu tena mabatini wakati pale karibu na ofisi yao kuna polisi maeneo ya gym kana. Cha ajabu wamepeleka barua kwa kinyela yenye rb ambayo ni ya siku ya nyuma.
kinachosikitisha ni kwamba wale watu walienda pale ofisi ya jukwaa la katiba na kuomba namba za kibamba walipo nyimwa wakaondoka. walimwambia mlinzi umetunyima namba tutakufukuzisha kazi kwa boss wako kwani kibamba ni rafiki yetu. Leo wanasema jukwaa wametishiwa bila kusema wametishiwa vipi. mia

...hahahahahaha.. 'WAFADHILI'...wao wakisikia wanataka kutekwa..watawaongeza FUND kwa kazi nzuri..
 
Mtekaji na mtesaji figganigga, akasirika baada ya wahusika wa jukwaa la katiba kutoa taarifa polisi.
We ndio unaleta UHUNI, pia ni Mburula hata huzijui ofisi za jukwa la katiba, unakurupuka tu, Gym kana?
kajipange uje tenaGT

1. Kupata namba ya Deo mpaka uende ofisini?
2.huyo askari anafaa sana kama ni rafiki za Kibamba, kwa nini wanatafuta namba yake?
 
Last edited by a moderator:
tukio lilitokea ijumaa, taarifa wametoa jumatatu tena mabatini wakati pale karibu na ofisi yao kuna polisi maeneo ya gym kana. Cha ajabu wamepeleka barua kwa kinyela yenye rb ambayo ni ya siku ya nyuma.
kinachosikitisha ni kwamba wale watu walienda pale ofisi ya jukwaa la katiba na kuomba namba za kibamba walipo nyimwa wakaondoka. walimwambia mlinzi umetunyima namba tutakufukuzisha kazi kwa boss wako kwani kibamba ni rafiki yetu. Leo wanasema jukwaa wametishiwa bila kusema wametishiwa vipi. mia

Hahaha kweli hao ni wahuni RB huwa ni za siku inayofuta siyo, so walitakiwa waende na RB ya Kesho
 
We unayejiita Mia kumbe ni zero kabisa hujui hata rwakatale aliuzwa na rafiki yake tena nyumbani kwake kabisa?Wewe kama ingekuwa inawezekana ni kukamata put beyond bars ufie jela nyang'au we mtekaji mkubwa
 
We ndio unaleta UHUNI, pia ni Mburula hata huzijui ofisi za jukwa la katiba, unakurupuka tu, Gym kana?
kajipange uje tenaGT

1. Kupata namba ya Deo mpaka uende ofisini?
2.huyo askari anafaa sana kama ni rafiki za Kibamba, kwa nini wanatafuta namba yake?
mkuu umenena kweli kabisa.unajua member wengi wa jf wanapita humu,ila GT utawajua kwa michango yao.
 
Ofisi za Jukwaa La Katiba zipo karibu na hapo kwenye red?
hata wangesema zipo morogoro. ishu ni kwanini zipite siku tatu ndo watoe taarifa polisi kama kweli walitishiwa?. kutoka pale ofisi zao zilipo au polisi mabatini kuna umbali gani? au unapotishiwa lazima uende kituo kilicho karibu na ofisi au unapopata tatizo ndo unatoa taarifa? mia
 
We ndio unaleta UHUNI, pia ni Mburula hata huzijui ofisi za jukwa la katiba, unakurupuka tu, Gym kana?
kajipange uje tenaGT

1. Kupata namba ya Deo mpaka uende ofisini?
2.huyo askari anafaa sana kama ni rafiki za Kibamba, kwa nini wanatafuta namba yake?

wewe ndo mbulula. mtu akiomba namba yako ya simu anakua kakutishia maisha?. mbona kibamba hasemi katishiwa nini?. ametishiwa atatekwa, atauwawa au atapigwa? tusaidiane coz haiingii akilini. mia
 
We unayejiita Mia kumbe ni zero kabisa hujui hata rwakatale aliuzwa na rafiki yake tena nyumbani kwake kabisa?Wewe kama ingekuwa inawezekana ni kukamata put beyond bars ufie jela nyang'au we mtekaji mkubwa

hahahahaaa....!!!. mia
 
Mtekaji na mtesaji figganigga, akasirika baada ya wahusika wa jukwaa la katiba kutoa taarifa polisi.

Haaa!! mkuu jamaa wanatamani kunimeza. lakini mimi nlikua najiuliza, kama wametishiwa, kwanini wakae kuanzia ijumaa hadi jumatatu ndo watoe taarifa? hadi waandishi wa habari wameshindwa kuwaambia!!. ngoja tusikie polisi watasemaje. walitakiwa waliport ndani ya 24hrs. mia
 
Last edited by a moderator:
wewe ndo mbulula. mtu akiomba namba yako ya simu anakua kakutishia maisha?. mbona kibamba hasemi katishiwa nini?. ametishiwa atatekwa, atauwawa au atapigwa? tusaidiane coz haiingii akilini. mia
Hata kuandika kwa kiswahili huwezi... ma afande wa kibongo bana!
 
Back
Top Bottom