Jukwaa la Love connect litumike kwa nidhamu na heshima maana si mahala pa utani.

Jukwaa la Love connect litumike kwa nidhamu na heshima maana si mahala pa utani.

Zero One Two

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2007
Posts
9,346
Reaction score
3,028
Ndugu wana Jf:

Katika jukwaa hili la love connect naamini kwa walio timamu wanaelewe dhumuni ya hili jukwaa.
Lakini mtindo na tabia ya baadhi ya member wa humu Jf kufungua ID na kuanzisha thread kua wanatafuta wachumba, huku lengo lao likiwa ni ku enjoy watu, tabia hii si nzuri, haipendezi na ina fedhehesha watu, mkae mkijua kuna watu wana post thread wakiwa serious ila kutokana na utoto na ujinga, mnawaponza kutopata kutokana na watu wengi kufanya ni sehemu ya midhaa na kuhofia watu ku wa enjoy. Watu wengi hapa wanakuja na ID mpya tu ili mradi ku enjoy watu. Jamani tujilekebisheni kwa hili halipendezi na tusi vuluge maana harisi ya jukwaa na tusifanye hili jukwaa ni mahara pa masihara na utani.
 
Ndugu wana Jf:

Katika jukwaa hili la love connect naamini kwa walio timamu wanaelewe dhumuni ya hili jukwaa.
Lakini mtindo na tabia ya baadhi ya member wa humu Jf kufungua ID na kuanzisha thread kua wanatafuta wachumba, huku lengo lao likiwa ni ku enjoy watu, tabia hii si nzuri, haipendezi na ina fedhehesha watu, mkae mkijua kuna watu wana post thread wakiwa serious ila kutokana na utoto na ujinga, mnawaponza kutopata kutokana na watu wengi kufanya ni sehemu ya midhaa na kuhofia watu ku wa enjoy. Watu wengi hapa wanakuja na ID mpya tu ili mradi ku enjoy watu. Jamani tujilekebisheni kwa hili halipendezi na tusi vuluge maana harisi ya jukwaa na tusifanye hili jukwaa ni mahara pa masihara na utani.
Mtu mwenye ID isiyofahamika anatafuta Mchumba kwenye jukwaa la watu wenye ID zisizofamika (i.e. asiyewafahamu) ategemee majibu yasiyofamika (i.e. fake responses)! JF ni jukwa la watu wenye haiba na tabia tofauti....na kwa hiyo kwenye msafara wa mamba,Kenge Hatukosekani!!!!!!!
 
Bora uwaambie jamani, tunaogopa kuweka matangazo ya kutafuta waume hapa, maana unaweza kukutana na wenye mizaha wakakukatisha tamaa na kukupotezea muda.
 
Bora uwaambie jamani, tunaogopa kuweka matangazo ya kutafuta waume hapa, maana unaweza kukutana na wenye mizaha wakakukatisha tamaa na kukupotezea muda.
Dada Lateni, mm nimeweka, kama unavyoongea ni kweli, response za mizaha ni nyingi kuliko serious responses. Kuna watu kutokana na kazi zetu watu tulionao karibu ni hawa wa JF, kuna ubaya gani mkajuana zaidi na kuanzisha familia kwa njia hii ya love connect?. Jamani nilidhani hili ni jukwaa serious but is full of jokes, mkue basi. Mbona kuna jukwaa la jokes. It's boring!!!
 
Nami nakereka sana na watu wanaokuja kuweka tangazo na kusepa.
nashinda nampm hajibu kitu muwe sirias bana!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nami nakereka sana na watu wanaokuja kuweka tangazo na kusepa.
nashinda nampm hajibu kitu muwe sirias bana!!!!!!!!!!!!!!!!

Me mwanzoni nilidhania ni sehemu ambayo watu wako serious sana, na ingekuwa rahisi kumpata great thinker wa ukweli, kumbe ni usanii mtupuu.
 
Me mwanzoni nilidhania ni sehemu ambayo watu wako serious sana, na ingekuwa rahisi kumpata great thinker wa ukweli, kumbe ni usanii mtupuu.

Wanatangaza hapa unashinda unamshtua tu kwa Pm "oya vipi" "asee ni aje" "Haloo arifu"
kimya afu wanakuja kulalamika tu hapa....
 
Hivi msichana/mwanamke anayeshinda huku JF anaweza kuwa Mke Mwema???
Hii ni sawa na kuuliza hivi mtu anayepanda daladala kila siku anaweza kuwa na nyumba nzuri manake havihusiani. Kama barmaid anaweza kuwa mke mwema sembuse mwana jamvi? tazameni makahaba wawatangulia kuingia kwenye ufalme wa mbinguni.
 
Dada Lateni usihofu ndani ya Jf kuna wanaume walio kamilika na wanao faa kua baba wa familia ambayo itakua bora..
Bora uwaambie jamani, tunaogopa kuweka matangazo ya kutafuta waume hapa, maana unaweza kukutana na wenye mizaha wakakukatisha tamaa na kukupotezea muda.
 
Last edited by a moderator:
Hii ni sawa na kuuliza hivi mtu anayepanda daladala kila siku anaweza kuwa na nyumba nzuri manake havihusiani. Kama barmaid anaweza kuwa mke mwema sembuse mwana jamvi? tazameni makahaba wawatangulia kuingia kwenye ufalme wa mbinguni.
wewe uko nje kabisa ya mada. Maliza kwanza kula ndio uje hapa!
 
Kinacho kera zaidi ndugu georgeallen wanao fanya hii michezo ni ma Jf senior expert humu humu yani wanafanya michezo ya kuzungukana
Mtu mwenye ID isiyofahamika anatafuta Mchumba kwenye jukwaa la watu wenye ID zisizofamika (i.e. asiyewafahamu) ategemee majibu yasiyofamika (i.e. fake responses)! JF ni jukwa la watu wenye haiba na tabia tofauti....na kwa hiyo kwenye msafara wa mamba,Kenge Hatukosekani!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom