Jukwaa la Love connect litumike kwa nidhamu na heshima maana si mahala pa utani.

Jukwaa la Love connect litumike kwa nidhamu na heshima maana si mahala pa utani.

Wengi wao wanaofanya haya ni wa humu humu tena ni Jf senior expert wanafungua ID then wanaanza ku enjoy watu. Haipendezi na ina kera
Nami nakereka sana na watu wanaokuja kuweka tangazo na kusepa.
nashinda nampm hajibu kitu muwe sirias bana!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Dada angu usikate tamaa, wapo watu wa ukweli humu na wenye kujitambua, ila yakupasa kua mvumilivu na makini
Me mwanzoni nilidhania ni sehemu ambayo watu wako serious sana, na ingekuwa rahisi kumpata great thinker wa ukweli, kumbe ni usanii mtupuu.
 
wewe uko nje kabisa ya mada. Maliza kwanza kula ndio uje hapa!
Mada ipi manake sijaona kama kuna mada umetoa zaidi ya kuongea unyonge wa mawazo yako kutaka kuwahukumu kina dada kwa kigezo tu cha kushinda jamvini bila hata kusindikiza hukumu yako na kifungu cha sheria toka vitabu vya kiimani au quote za wanafalsafa. Nyie ndio mada inawasema kazi yenu ni kuparamia na kuandika pumba kukatisha watu tamaa. Huna data unaleta mambo ya ujanjaujanja tu nimalize kula nini mimi nimefunga.
 
Dada angu usikate tamaa, wapo watu wa ukweli humu na wenye kujitambua, ila yakupasa kua mvumilivu na makini

Ni kweli wapo , ila sasa kama jukwaa husika ndio hili limejaa jokes nadhani kuna haja ya kutafuta njia nyingine .
 
Hii ni sawa na kuuliza hivi mtu anayepanda daladala kila siku anaweza kuwa na nyumba nzuri manake havihusiani. Kama barmaid anaweza kuwa mke mwema sembuse mwana jamvi? tazameni makahaba wawatangulia kuingia kwenye ufalme wa mbinguni.

Umenena vyema. Hivi kushinda JF ni kuacha kazi zote ufanyazo na kukaa kwenye PC yako au Simu kucomment au anaamaanisha.nini labda??? Sijamuelewa
 
Ni kweli inatia shaka kuamini, ila naamini unaweza pata mwanaume alie bora ambae hata ukumtegemea. Cha msingi uwe mvumilivu pia uwe unapita katika hili jukwaa na kutazama post kwa umakini, naamini ni rahisi sana ku mtambua mtu alie serious kama utatuliza akili na kutafakari post yake na hata majibu yake
Ni kweli wapo , ila sasa kama jukwaa husika ndio hili limejaa jokes nadhani kuna haja ya kutafuta njia nyingine .
 
Mada ipi manake sijaona kama kuna mada umetoa zaidi ya kuongea unyonge wa mawazo yako kutaka kuwahukumu kina dada kwa kigezo tu cha kushinda jamvini bila hata kusindikiza hukumu yako na kifungu cha sheria toka vitabu vya kiimani au quote za wanafalsafa. Nyie ndio mada inawasema kazi yenu ni kuparamia na kuandika pumba kukatisha watu tamaa. Huna data unaleta mambo ya ujanjaujanja tu nimalize kula nini mimi nimefunga.
Ewaaaaa unaona sasa unavyoweza kutema cheche baada ya kushiba. Kwa taarifa yako we mzee uliyeshiba Circumstantial evidence inaweza kutumika kumhukumu mtu, siyo lazima tufuate vifungu vya sheria. Umeipata??
 
kuna mdada alishaniambia kua alihangaika sana kutuma maombi hapa , akawa anakutana na wasanii, sasa amebadilisha njia anatumia pm, hahahaha.

ha ha ha mmh itabidi na mi nianze na hiyo make naona hapa michosho tu....
 
Ndugu wana Jf:

Katika jukwaa hili la love connect naamini kwa walio timamu wanaelewe dhumuni ya hili jukwaa.
Lakini mtindo na tabia ya baadhi ya member wa humu Jf kufungua ID na kuanzisha thread kua wanatafuta wachumba, huku lengo lao likiwa ni ku enjoy watu, tabia hii si nzuri, haipendezi na ina fedhehesha watu, mkae mkijua kuna watu wana post thread wakiwa serious ila kutokana na utoto na ujinga, mnawaponza kutopata kutokana na watu wengi kufanya ni sehemu ya midhaa na kuhofia watu ku wa enjoy. Watu wengi hapa wanakuja na ID mpya tu ili mradi ku enjoy watu. Jamani tujilekebisheni kwa hili halipendezi na tusi vuluge maana harisi ya jukwaa na tusifanye hili jukwaa ni mahara pa masihara na utani.

Naunga mkono hoja..Kuweni wastaarabu
 
Hivi na hawa wanaume wanashinda jf nao wanaweza kuwa Husband material kweli??au masharobaro??
Kumbe jibu unalo halafu umeamua tu kunitega hapa! They are referred as (Please underline or bold the following term): SHAROBARO!!!
 
Kumbe jibu unalo halafu umeamua tu kunitega hapa! They are referred as (Please underline or bold the following term): SHAROBARO!!!

Kwa hiyo wewe ni sharobaro???!!duuu pole sana.Mie mwenzio nina heshima zangu tena ni MKE MWEMA ,Jf naipenda na Mbinguni nitaenda..
 
Back
Top Bottom