lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Leo katika makanisa yote ya kikrstor tumesomewa waraka wa kichungaji au kwa jina lingine unaweza kuwiita waraka wa kinabidii,waraka huo ulibeba maudhui mengi mazuri sana lkn kilichonifurahisha ni wakristo wote nchini tanzania kuhamasisha kujiandikisha kwa wingi katika daftari la wapiga kura ili tuweze kupiga kura ya hapana kwenye rasim ya chenge
sasa mm nauliza wanajamii kati ya ccm na jukwaa la wakristor tanzania ipi taasisi yenye nguvu na ushawishi tanzania?
sasa mm nauliza wanajamii kati ya ccm na jukwaa la wakristor tanzania ipi taasisi yenye nguvu na ushawishi tanzania?