Jukwaa la Wakristo vs CCM nani zaidi?

Jukwaa la Wakristo vs CCM nani zaidi?

wewe kichwa chako kimejaa upepo tuu, ulichokiandika hapo ni pumba tupu!! Acha kuleta uchochezi kuhusu masuala ya dini, weka hoja za msingi!!
Huna uwezo wa kujadiliani na mimi kuhusu Ukristo.

Wewe ni mkaririshwa na mfuata Mkumbo mwenye akili tegemezi kama God Haters aka non theists na ndugu zao akina Jibrilcacos bin Muzzrataganstans.

Get a life you Muzzrat.
 
Huna uwezo wa kujadiliani na mimi kuhusu Ukristo.

Wewe ni mkaririshwa na mfuata Mkumbo mwenye akili tegemezi kama God Haters aka non theists na ndugu zao akina Jibrilcacos bin Muzzrataganstans.

Get a life you Muzzrat.

Mkakati wa kanisa ni kuelimisha waumini wao wote mpaka ngazi ya jumuhiya dogo dogo sasa ndipo utajua ni uchochezi au ni elimu
 
mbona unauliza majibu?

Tangu lini sungura akalinganishwa na tembo kwa ukubwa?!

You must be kidding!

iacha kupiga mayowe swali hilo hilo likurudie mwenyewe, tangu lini tembo akamkimbiza sungura akampata? Tumia akili wee kidole tumbo!!!
 
wakristo wa madhehebu yote tuungane kuikataa kata kata katiba pendekezwa. Katiba pendekezwa imeacha mambo ya msingi kama mbunge kutokuwa waziri, muda wa mbunge, tunu za taifa, maadili ya viongozi, wananchi kumwajibisha mbunge wao nk. Kataeni kata kata.


wakristo wa madhehebu yote tuungane - wewe acha uboya wewe uungane na nani kwanza wewe ni mpagani wala hatukusikilizi huwezi kuingilia na kushabikia maambo usiyoyajua,unawaza udini na akiri zako finyu za kuwaza udini jiheshimu tukuheshimu wewe!
 
Wakristo wote ni HAPANA,ukiongeza na jumuiya 11 za Kiislamu ni HAPANA.
 
Hili limekwisha onekana.Inteligisia ni nzuri sana.Hivyo basi tutaondoa kura ya maoni na mchakato utasimama ili kuleta amani na utulivu.Tutarekebisha ibara chache kwanza tuvuke uchaguzi salama...lakini ibara ya kuwa mbunge bila darasa ni NO.
 
Mkakati wa kanisa ni kuelimisha waumini wao wote mpaka ngazi ya jumuhiya dogo dogo sasa ndipo utajua ni uchochezi au ni elimu
Kuelimisha ni elimu na sio uchochezi. Wacha Kanisa litoe elimu kwa watu wake, kama ambavyo vyama vya Siasa vinavyo toa elmu kwa waumini I mean wafuasi wake.
 
Isomeni kwanza jaman muielewe ndo mupinge

Tatizo la watu wengi wanakurupuka kusema wakati hat hawajasoma hiyo Katiba Inayopendekezwa. Chonde chonde, tusome katiba hiyo ili tuwe na uelewa mpana katika kufanya maamuzi sahihi wakati wa kupiga kura utakapofika.
 
I
Huna uwezo wa kujadiliani na mimi kuhusu Ukristo.

Wewe ni mkaririshwa na mfuata Mkumbo mwenye akili tegemezi kama God Haters aka non theists na ndugu zao akina Jibrilcacos bin Muzzrataganstans.

Get a life you Muzzrat.

ISHMAEL WANA JF TUNAKUSHANGAA KWA HOJA ZAKO MFU UNAJIFANYA UNAJUA SANA MASUALA YA DINI YAKO BASI NENDA IRAQ UKAWASAIDIE IS INAKUAJE MTU MWENYE AKILI UNAKOMALIA UDINI TANZANIA UNATAKA KUTURUDISHA DARK AGES,HOJA YA MSINGI UNAIJUA UNAKALIA UDINI ACHA HIZO BHANA, TAFUTA KATIBA PENDEKEZWA USOME IBARA YA 41 uache kutupigia kelele hapa.
 
wakristo wote ni hapana,ukiongeza na jumuiya 11 za kiislamu ni hapana.


ha ha ha ha ha hii ndoa ya kuhamasishana ujinga mmeifunga lini? Ama kweli msafara wa mamba kuna kenge wamo kasoro viboko kwa sababu ni wakubwa na watagundulika kirahisi, kuweni na akili mnazidiwa na viboko kura ni siri ya mtu na wala haitokani na viongozi wa dini.
 
pepo litakuwa limewatembelea hao, mtu mcha mungu hawezi kukana kuheshimu mamlaka ya dunia, hata biblia inawataka viongozi wa dini na hata waumini kutii mamlaka za duniani. Wanatakiwa kuombewa hao ili pepo hilo liwatoke.


mene mene tekel
 
I

ISHMAEL WANA JF TUNAKUSHANGAA KWA HOJA ZAKO MFU UNAJIFANYA UNAJUA SANA MASUALA YA DINI YAKO BASI NENDA IRAQ UKAWASAIDIE IS INAKUAJE MTU MWENYE AKILI UNAKOMALIA UDINI TANZANIA UNATAKA KUTURUDISHA DARK AGES,HOJA YA MSINGI UNAIJUA UNAKALIA UDINI ACHA HIZO BHANA, TAFUTA KATIBA PENDEKEZWA USOME IBARA YA 41 uache kutupigia kelele hapa.
Pole sana kijana.

Try again. Karibu kwenye Jukwaa la Wakristo.
 
Pole sana kijana.

Try again. Karibu kwenye Jukwaa la Wakristo.

WEWE UMEJALIWA KIPAJI CHA KUTANGAZA NENO LA BWANA, SIASA NA WEWE WAPI NA WAPI?? MBONA UNALAZIMISHA MBILI IWE MOJA WAKATI HAIWEZEKANI? HOJA ZAKO NYINGI UNAZIBASE KWENYE DINI TENA UNAZICHANGANYA NA MAMBO YA SIASA, HIVI HATA HIYO BIBLIA UNAIJUA KWELI KAMA KATIBA INAYOPENDEKEZWA HUIJUI JE HIYO BIBLIA UTAIJUA KWELI AU NDO NYIE MNAOWADANGANYA WAUMINI ZENU ETI KUNA MAHAKAMA YA KADHI PIGENI KURA YA HAPANA KATIBA, MMEISOMA MKAONA HIKO KIPENGELE? YA KAISARI MPE KAISARI NA YA MUNGU MPE MUNGU EPUKA UCHOCHEZI KUWA MZALENDO BHANAAA TUMEKOCHOKA NA MAMBO YAKO YA UDINI HUMU NDANI. Khaaaa!!
 

WEWE UMEJALIWA KIPAJI CHA KUTANGAZA NENO LA BWANA, SIASA NA WEWE WAPI NA WAPI?? MBONA UNALAZIMISHA MBILI IWE MOJA WAKATI HAIWEZEKANI? HOJA ZAKO NYINGI UNAZIBASE KWENYE DINI TENA UNAZICHANGANYA NA MAMBO YA SIASA, HIVI HATA HIYO BIBLIA UNAIJUA KWELI KAMA KATIBA INAYOPENDEKEZWA HUIJUI JE HIYO BIBLIA UTAIJUA KWELI AU NDO NYIE MNAOWADANGANYA WAUMINI ZENU ETI KUNA MAHAKAMA YA KADHI PIGENI KURA YA HAPANA KATIBA, MMEISOMA MKAONA HIKO KIPENGELE? YA KAISARI MPE KAISARI NA YA MUNGU MPE MUNGU EPUKA UCHOCHEZI KUWA MZALENDO BHANAAA TUMEKOCHOKA NA MAMBO YAKO YA UDINI HUMU NDANI. Khaaaa!!
Kadhi Court is unconstitutional,
 
Back
Top Bottom