magumu sana au
Yaani hapa mama ndiyo kaokoa jaazi baada ya kuona celeweki, kaamua kuniletea bia 3 ndiyo nazigida! ha ha ha!
Na weee Th name karibu lol!!
Bora unyamaze siku ya leo inatisha wengine tumenywea kuna #Mdude hajulikani alipo si Polisi wala mgambo wanaojua Hajulikani, si JF au Insta hata BBC ndipo tulipohamiaMmh sitaki ushahidi
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji36][emoji36][emoji36][emoji36][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Bora unyamaze siku ya leo inatisha wengine tumenywea kuna #Mdude hajulikani alipo si Polisi wala mgambo wanaojua Hajulikani, si JF au Insta hata BBC ndipo tulipohamia