Bro umeona mbali sana. kisha wengi wa Wabongo wanaomiminika humu jamvini, hawajielewi. hivi unajua kua mti wenye matunda ndio hupurwa mawe sana?
Wabongo wengi sana humu ni vilaza na pia kuna wale wako na mapenzi na Kenya. Wanatamani kuwa kama Kenya au Wakenya lakini bahati yao mbaya sana.
Kenya iko mbali sana kimaendeleo,,, levo tofauti kabisa, kama Europe vile... nawapa pole sana. Kenya na Tanzania ni kama mbingu na jehanam.
wengine wanakuja kujifunza lugha ya malkia kisha wakitinga mitaani, wanajisifia kwa wenzao eti, "unajua leo nimechat na Wakenya?".
yaani Wabongo mie huniacha hoi kusema lile la ukweli. mapimbi kabisa