Asante kwa kuwa mkweli.Are you serious? Tukiacha ushabiki, Kenya inashika nafasi ya 3 Afrika (nyuma ya Misri yenye watumiaji milioni 49.23 na Nigeria inayoongoza ikiwa na watumiaji milioni 126.078) kwa kuwa watumiaji wengi wa intaneti, ina watu milioni 46.87 wanaotumia intaneti sawa na 87.2% ya population; Uganda (milioni 18.50) sawa na 40.4% ya population na Tanzania (milioni 23.14) sawa na 38.7% ya population, hii ni kwa mujibu wa internet world statistic ya March, 2020...
Na pia M7 Ni vikwazo viake kwa internet use.Hata ukienda huko Twitter FB na YouTube bado utaona hivyo kwenye mada comments za Watanzania zinakua bado nyingi tena afadhar kenya kuliko hao Uganda ndio hawapo kabisaa mi nadhani tatizo lugha maana asilimia kubwa Uganda ukimpeleka kwenye Kingereza unamuona kwenye Kiswahili ndio kabisa
tunaonea wivu nchi iliyoendelea isiyo na stand za mabasi[emoji23][emoji23]Kwa kipi? Usikariri
Unazani Tanzania kuna dhiki kama Kenya ? Hivi unajua kama mtu anaelipwa ksh 20000 Kenya na anaelipwa ksh 15000 Tanzania anaelipwa ksh 15000 kutoka kimaisha lahisi kuliko anaelipwa ksh 20000Ni hao hao wazungu waliowaambia kuwa mmeingia uchumi wa kati mkashangilia (wakati kiuhalisia bado). Jambo lolote linaloiweka Kenya mbele ya Tanzania ninyi mashabiki wa Tz vs Ke huwa mnakuja na povu, mimi sina ushabiki wa aina hiyo...
Alikubalika Kenya pia. Pia aliishi Kenya na taaluma yake ilishika kasi akiwa Kenya. Alijifunza kiswahili akiwa Kenya.Ahaa sasa kumbe kama hivyo ni sawa na kua na akaunti nyingi za fb halafu hazitumiki ,sababu haina maana kuwa mtandaoni halafu hauplay YouTube maana hao wasanii wanapata pesa Kwa watu kutazama nyimbo zao . Na chamilion alikubalika TZ na ndio maana akawa msanii mkubwa tu ingawa alikuwa hakubaliki Uganda sababu ya Kiswahili soko alikua anategemea Sana Tz na Kenya
Ndio alikubalika na Kenya ila Kiswahili alichokua anaimba cha TZ Nairobi hakuna Kiswahili kile na angeimba Kwa Kiswahili cha Nairobi bc angeishia huko huko wala asingefika popote kama kina jua KaliAlikubalika Kenya pia. Pia aliishi Kenya na taaluma yake ilishika kasi m akiwa Kenya. Alijifunza kiswahili akiwa Kenya.
ExactlyUchumi was Kenya upo kwa selikal wananchi wake ni masikini sana
Katika wasanii waliotoboa Uganda ni yule tu hakuna alievunja record yakeAlikubalika Kenya pia. Pia aliishi Kenya na taaluma yake ilishika kasi akiwa Kenya. Alijifunza kiswahili akiwa Kenya.
Sasa hiyo watajuana wenyewe habari ya vikwazo Sisi haituhusuNa pia M7 Ni vikwazo viake kwa internet use.
Kwa sababu tuko mbele yenu kiuchumi. Gdp per capita na Gni per capitaKwa kipi? Usikariri
Una uhakika gani kama ni watanzaniaWakuu, nimetafakari sana baada ya kupitia threads za kwenye jukwaa hili. Utakuta waanzilishi wa threads zilizo nyingi ni wa TZ badala ya wakenya.
Hii imekaaje?
Tujadiliane.
Ijulikane tu mimi ni mwanajukwaa. Asante.Na wewe ni Mtanzania au Mkenya?
Wewe jamaa umenivunja mbavu.Hata wewe kwa kuandika hii thd tayari umeshaungana na hao wa TZ wanaoanzisha thd kwenye jukwaa linalohusu Kenya,
So,wakukujadili ni wewe kwanza kisha tuje kwa hao unaowashangaa!
Wewe MMU rudi ulipotoka huku umepotea njiaWakuu, nimetafakari sana baada ya kupitia threads za kwenye jukwaa hili. Utakuta waanzilishi wa threads zilizo nyingi ni wa TZ badala ya wakenya.
Hii imekaaje?
Tujadiliane.
Ila wenzio hutaki kuwajua kama wana jukwaa..!! Unawajua kwa utaifa..Ijulikane tu mimi ni mwanajukwaa. Asante.
Hapana ndugu sio hivyo. Ukisoma threads zinazoanzishwa ni rahisi kujua zimeanzishwa na mtu kutoka wapi kwa kuwa na vionjo fulani fulani vya utaifa.Ila wenzio hutaki kuwajua kama wana jukwaa..!! Unawajua kwa utaifa..
HayaKwa sababu tuko mbele yenu kiuchumi. Gdp per capita na Gni per capita
Japo sio watanzania wote, hawa vijicartoon wanaoanzisha hizi nyuzi kuhusu kenya na kuleta mada za kitanzania kwa page ya kenya ni sababu moja tu! Inferiority complex. They want to prove a point wapate kuboost their battered ego!Wakuu, nimetafakari sana baada ya kupitia threads za kwenye jukwaa hili. Utakuta waanzilishi wa threads zilizo nyingi ni wa TZ badala ya wakenya.
Hii imekaaje?
Tujadiliane.