Julai 30: Siku ya Kimataifa ya Kupinga Biashara ya Usafirishaji Haramu wa Binadamu

Julai 30: Siku ya Kimataifa ya Kupinga Biashara ya Usafirishaji Haramu wa Binadamu

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Usafirishaji Haramu wa Binadamu unatajwa kuwa janga linaloendelea kukua, hususan kwa Wanawake na Wasichana ambao ni wahanga wakubwa

Mapigano, Mabadiliko ya Tabia Nchi, Umasikini na Ukosefu wa Usawa vimeacha Mamilioni ya watu bila matumaini. Wanaofanya Biashara hii haramu wanatumia changamoto hizo kama fursa

Kwa mwaka 2022, Maadhimisho ya Siku hii yanaangazia nafasi ya Teknolojia katika kuwezesha na kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu

USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU MITANDAONI

Usafirishaji Haramu wa Binadamu kupitia Mitandao unashika kasi kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya Teknolojia kulikochochewa kwa kiasi kikubwa na janga la COVID-19

Mitandao ya Majukwaa ya Kidigitali yamewapa Watuhumiwa wa Biashara hii Haramu uwanja wa Mawasiliano, Matangazo, na kuwawezesha kuandaa Usafirishaji na Malazi kwa uharaka na gharama nafuu zaidi

Wanatumia Mitandao ya Kijamii, Barua Pepe na Majukwaa ya Kutumiana Ujumbe kuwatambua na kuwapata Wahanga, miongoni mwao wakiwemo Watoto

NAFASI YA TEKNOLOJIA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU

Teknolojia inaweza kuwa na nafasi muhimu katika Mapambano dhidi ya Usafirishaji Haramu wa Binadamu ikiwa Mamlaka zenye dhamana zitaitumia ipasavyo ikiwemo kwa kutumia Ushahidi wa Kidigitali

Aidha, uelimishaji zaidi juu ya Matumizi Salama ya Intaneti na Mitandao ya Kijamii unaweza kusaidia kupunguza hatari ya Watu kuwa Wahanga wa Usafirishaji Haramu kupitia Mtandao

Ili kulinda Watu, inahitajika kulinda Majukwaa ya Kidigitali dhidi ya Wahalifu

USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU: UNAWEZAJE KUJILINDA MTANDAONI?

1) Kuwa Makini na Urafiki wa Mitandaoni: Inashauriwa kuongeza umakini kwani Wahalifu hutumia Mitandao ya Kijamii kuwasiliana na kujenga uaminifu

2) Usiamini kila tangazo kirahisi: Wanaofanya Biashara Haramu ya Usafirishaji Binadamu hutumia Lugha za kuvutia na kutoa ahadi nono ambazo ni rahisi kumshawishi yeyote

3) Kuwa sehemu ya kupambana na tatizo: Unapoona vitendo vinavyoleta wasiwasi, chukua hatua stahiki ikiwemo Kuripoti badala ya kukaa kimya

Pia Soma >> Biashara Haramu ya Usafirishaji Binadamu: Wanawake, Wasichana waendelea kuwa walengwa wakubwa

=======

This year’s theme focuses on the role of technology as a tool that can both enable and impede human trafficking.

With the global expansion in the use of technology - intensified by the COVID-19 pandemic and the shift of our everyday life to online platforms -- the crime of human trafficking has conquered cyber space.

The internet and digital platforms offer traffickers numerous tools to recruit, exploit, and control victims; organize their transport and accommodation; advertise victims and reach out to potential clients; communicate among perpetrators; and hide criminal proceeds – and all that with greater speed, cost-effectiveness and anonymity.

Moreover, technology allows these criminals to operate internationally across jurisdictions and evade detection with greater ease.

Traffickers use social media to identify, groom and recruit victims, including children; e-mails and messaging services are used for the moral coercion of the victims; and online platforms allow traffickers to widely advertise services provided by victims, including child photographical material.

Crisis situations can also intensify this problem. Criminals profit from the chaos, desperation, and separation of people – particularly women and children - from support systems and family members.

For people on the move, online resources can become a trap, especially when it comes to phony travel arrangements and fake job offers targeting vulnerable groups.

However, in the use of technology also lies great opportunity. Future success in eradicating human trafficking will depend on how law enforcement, the criminal justice systems and others can leverage technology in their responses, including by aiding investigations to shed light on the modus operandi of trafficking networks; enhancing prosecutions through digital evidence to alleviate the situation of victims in criminal proceedings; and providing support services to survivors.

Prevention and awareness-raising activities on the safe use of the internet and social media could help mitigate the risk of people falling victim of trafficking online.

Cooperation with the private sector is important to harness innovation and expertise for the development of sustainable technology-based solutions to support prevention and combatting of human trafficking.

Source: UNODC
 
Hayo ni majina tu munaita,
Ila ukweli chanzo cha yote ni ugumu tu wa maisha,
Vikichangiwa na serikali mbovu na mfumo wa dhulma na udikteta
 
Hayo ni majina tu munaita,
Ila ukweli chanzo cha yote ni ugumu tu wa maisha,
Vikichangiwa na serikali mbovu na mfumo wa dhulma na udikteta
Kwa Tanzania utawala wa CCM umechochea umaskini, ujinga na magonjwa ya mara kwa mara, hivyo wahanga wanapopewa ahadi hewa ya maisha bora nchi jirani hushawishika kirahisi na kuuzwa kwa waarabu
 
Human trafficking ni issue kubwa sio ya kuiletea utani,nchi yetu inatumiwa sana ,pls jeshi tulinde vema hizi porous borders zetu
 
Usafirishaji Haramu wa Binadamu unatajwa kuwa janga linaloendelea kukua, hususan kwa Wanawake na Wasichana ambao ni wahanga wakubwa

Mapigano, Mabadiliko ya Tabia Nchi, Umasikini na Ukosefu wa Usawa vimeacha Mamilioni ya watu bila matumaini. Wanaofanya Biashara hii haramu wanatumia changamoto hizo kama fursa

Kwa mwaka 2022, Maadhimisho ya Siku hii yanaangazia nafasi ya Teknolojia katika kuwezesha na kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu

USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU MITANDAONI

Usafirishaji Haramu wa Binadamu kupitia Mitandao unashika kasi kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya Teknolojia kulikochochewa kwa kiasi kikubwa na janga la COVID-19

Mitandao ya Majukwaa ya Kidigitali yamewapa Watuhumiwa wa Biashara hii Haramu uwanja wa Mawasiliano, Matangazo, na kuwawezesha kuandaa Usafirishaji na Malazi kwa uharaka na gharama nafuu zaidi

Wanatumia Mitandao ya Kijamii, Barua Pepe na Majukwaa ya Kutumiana Ujumbe kuwatambua na kuwapata Wahanga, miongoni mwao wakiwemo Watoto

NAFASI YA TEKNOLOJIA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU

Teknolojia inaweza kuwa na nafasi muhimu katika Mapambano dhidi ya Usafirishaji Haramu wa Binadamu ikiwa Mamlaka zenye dhamana zitaitumia ipasavyo ikiwemo kwa kutumia Ushahidi wa Kidigitali

Aidha, uelimishaji zaidi juu ya Matumizi Salama ya Intaneti na Mitandao ya Kijamii unaweza kusaidia kupunguza hatari ya Watu kuwa Wahanga wa Usafirishaji Haramu kupitia Mtandao

Ili kulinda Watu, inahitajika kulinda Majukwaa ya Kidigitali dhidi ya Wahalifu

USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU: UNAWEZAJE KUJILINDA MTANDAONI?

1) Kuwa Makini na Urafiki wa Mitandaoni: Inashauriwa kuongeza umakini kwani Wahalifu hutumia Mitandao ya Kijamii kuwasiliana na kujenga uaminifu

2) Usiamini kila tangazo kirahisi: Wanaofanya Biashara Haramu ya Usafirishaji Binadamu hutumia Lugha za kuvutia na kutoa ahadi nono ambazo ni rahisi kumshawishi yeyote

3) Kuwa sehemu ya kupambana na tatizo: Unapoona vitendo vinavyoleta wasiwasi, chukua hatua stahiki ikiwemo Kuripoti badala ya kukaa kimya

Pia Soma >> Biashara Haramu ya Usafirishaji Binadamu: Wanawake, Wasichana waendelea kuwa walengwa wakubwa

=======

This year’s theme focuses on the role of technology as a tool that can both enable and impede human trafficking.

With the global expansion in the use of technology - intensified by the COVID-19 pandemic and the shift of our everyday life to online platforms -- the crime of human trafficking has conquered cyber space.

The internet and digital platforms offer traffickers numerous tools to recruit, exploit, and control victims; organize their transport and accommodation; advertise victims and reach out to potential clients; communicate among perpetrators; and hide criminal proceeds – and all that with greater speed, cost-effectiveness and anonymity.

Moreover, technology allows these criminals to operate internationally across jurisdictions and evade detection with greater ease.

Traffickers use social media to identify, groom and recruit victims, including children; e-mails and messaging services are used for the moral coercion of the victims; and online platforms allow traffickers to widely advertise services provided by victims, including child photographical material.

Crisis situations can also intensify this problem. Criminals profit from the chaos, desperation, and separation of people – particularly women and children - from support systems and family members.

For people on the move, online resources can become a trap, especially when it comes to phony travel arrangements and fake job offers targeting vulnerable groups.

However, in the use of technology also lies great opportunity. Future success in eradicating human trafficking will depend on how law enforcement, the criminal justice systems and others can leverage technology in their responses, including by aiding investigations to shed light on the modus operandi of trafficking networks; enhancing prosecutions through digital evidence to alleviate the situation of victims in criminal proceedings; and providing support services to survivors.

Prevention and awareness-raising activities on the safe use of the internet and social media could help mitigate the risk of people falling victim of trafficking online.

Cooperation with the private sector is important to harness innovation and expertise for the development of sustainable technology-based solutions to support prevention and combatting of human trafficking.

Source: UNODC
TUUNGANE KWA PAMOJA KATIKA KUIPINGA BIASHARA HII HARAMU
 
Back
Top Bottom