Duh David kaoa kichomi aiseee. Mwanamke hana hata simile, no no no huyu alitakiwa kuwa wa.one night stand tu
Si ndio wapuuzi wenyewe hawa tena hao watoto wa mwenyekiti wa chama chake wanatunzwa na kodi zetu, ndio maana kila siku wanakimbizana na wauza korosho kukusanya matumizi ya watoto wa mkuu wao wanasema mapato ya nchi
nyamaza wewe, huko Lumumba ndiko kwenye mifisi kibao!! cha msingi ni kumshauri tu kwamba kufunga ndoa ni jambo jepesi mno, mziki ni kuitunza!!hongera sana,ungeendelea kubaki chagadema usingeolewa kamwe................
wangekufanya big G utamu ukiisha tupa kule.......... hata viti maalumu usingepewa............
Daaaah....hivi mna maana gani? mbona siwaelewi?
Dadek umesababisha nimepaliwa
Umepaliwa na nini rafiki?
Hongera zake.
Wenzake wanaitafuta hadi kwa waganga wa kienyeji wanaikosa.
May God bless her.
unatafuta ndoa kwa mganga wa kienyeji ?????????????????????????? duh
2015 kampni zikianza hii Ndoa itakuwa kwenye wakati Mgumu sana.
Hivi huyu Juliana Shonza naye ni celebrity siku hizi?
!
!
na kweli mdau, muhimu ni kuosha tu vizuri na maji na sabuni halafu unakamulia limao unakula mzigo tight fresh . Umeingiza na una uhakika imo na ukahisi ka kakukwepa unashuka unatia limao.