Yaani ni kama mchezo wa kuigiza, mfano Mbeya vyanzo vya maji ni vingi sana! Lakini mabomba hayatoi maji, mpaka unajiuliza kuna mainjinia kweli!? Tukuyu, Mwakaleli, Suma, Makandana, Ndyonga, Rwangwa, Masoko, Kiwira hata km 30 hazifiki maji kibao! Mabomba hayatoi maji!