aliajiriwa akafumuzwa kwa wizi, hawa wakupiga kiberiti tukumbe ni muuguzi si aajiriwe ili aache wizi
Swali kama hili aliulizaga mpumbavu mmoja miaka mingi sana.ccm inahusikaje?
Nilidhan Stive MengeleHospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila imemkamata Bw. Steven K. Julius kwa tuhuma za wizi wa mali za wa wagonjwa ikiwemo simu za wagonjwa waliolazwa hospitalini hapo kwa kujifanya ni mwajiriwa wa Muhimbili Mloganzila kwa cheo cha Afisa Muuguzi.
Baada ya mahojiano Bw. Julius amekiri kuiba simu tatu ambapo mbili aliziuza kwa mkazi wa Kibamba, na moja ameiuza kwa mtu anyeishi nje ya mkoa wa Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Bw. Julius baada ya kumaliza mafunzo kwa vitendo ya uuguzi (nursing internship) amefanya kazi katika hospitali kadhaa za mkoa wa Dar es Salaam, ambapo alifukuzwa kutokana na vitendo vya kukuika maadili ikiwemo wizi.
View attachment 3187088
Mtuhumiwa amefikishwa Kituo cha Polisi Gogoni kilichopo Kibamba kwa taratibu za kisheria.
Aidha uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili unapenda kuihakikishia jamii kuwa inayo mifumo imara ya kiusalama ya kuweza kubaini watu wote, wanaoingia na kutoka hospitalini na ndio maana imeweza kumfuatilia mtuhumiwa huyu na kumkamata.
-------------------------------------------
Najiuliza kaa sauti ya kinyonge tu, je wizi wa namna hii ni wizi wa kawaida au ndo watu wanatafuta laana kwa lazima? Mshana Jr ebu type ABC kuhusu hili tukio maana sidhani kama ni jambo la kawaida.
nilikuwepo hapo usiku wa jana...saa 6 usiku jamaa katiwa nguvuni naamka naskia ndugu wa wagonjwa pale bandani wanapolalaga waachiwe walau kwa dkk 5 hivi wamtie adabu ndipo walinzi walipoenda kumuhifadhi chumba chao pale getiniHospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila imemkamata Bw. Steven K. Julius kwa tuhuma za wizi wa mali za wa wagonjwa ikiwemo simu za wagonjwa waliolazwa hospitalini hapo kwa kujifanya ni mwajiriwa wa Muhimbili Mloganzila kwa cheo cha Afisa Muuguzi.
Baada ya mahojiano Bw. Julius amekiri kuiba simu tatu ambapo mbili aliziuza kwa mkazi wa Kibamba, na moja ameiuza kwa mtu anyeishi nje ya mkoa wa Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Bw. Julius baada ya kumaliza mafunzo kwa vitendo ya uuguzi (nursing internship) amefanya kazi katika hospitali kadhaa za mkoa wa Dar es Salaam, ambapo alifukuzwa kutokana na vitendo vya kukuika maadili ikiwemo wizi.
View attachment 3187088
Mtuhumiwa amefikishwa Kituo cha Polisi Gogoni kilichopo Kibamba kwa taratibu za kisheria.
Aidha uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili unapenda kuihakikishia jamii kuwa inayo mifumo imara ya kiusalama ya kuweza kubaini watu wote, wanaoingia na kutoka hospitalini na ndio maana imeweza kumfuatilia mtuhumiwa huyu na kumkamata.
-------------------------------------------
Najiuliza kaa sauti ya kinyonge tu, je wizi wa namna hii ni wizi wa kawaida au ndo watu wanatafuta laana kwa lazima? Mshana Jr ebu type ABC kuhusu hili tukio maana sidhani kama ni jambo la kawaida.
Huyo uwizi hawezi kuacha ni kitu anachopenda sana na anajikuta tu anakifanya.Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila imemkamata Bw. Steven K. Julius kwa tuhuma za wizi wa mali za wa wagonjwa ikiwemo simu za wagonjwa waliolazwa hospitalini hapo kwa kujifanya ni mwajiriwa wa Muhimbili Mloganzila kwa cheo cha Afisa Muuguzi.
Baada ya mahojiano Bw. Julius amekiri kuiba simu tatu ambapo mbili aliziuza kwa mkazi wa Kibamba, na moja ameiuza kwa mtu anyeishi nje ya mkoa wa Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Bw. Julius baada ya kumaliza mafunzo kwa vitendo ya uuguzi (nursing internship) amefanya kazi katika hospitali kadhaa za mkoa wa Dar es Salaam, ambapo alifukuzwa kutokana na vitendo vya kukuika maadili ikiwemo wizi.
View attachment 3187088
Mtuhumiwa amefikishwa Kituo cha Polisi Gogoni kilichopo Kibamba kwa taratibu za kisheria.
Aidha uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili unapenda kuihakikishia jamii kuwa inayo mifumo imara ya kiusalama ya kuweza kubaini watu wote, wanaoingia na kutoka hospitalini na ndio maana imeweza kumfuatilia mtuhumiwa huyu na kumkamata.
-------------------------------------------
Najiuliza kaa sauti ya kinyonge tu, je wizi wa namna hii ni wizi wa kawaida au ndo watu wanatafuta laana kwa lazima? Mshana Jr ebu type ABC kuhusu hili tukio maana sidhani kama ni jambo la kawaida.
Ulipelekwa hapo kwasababu ya sonona ya matoto ya palestina kuuawa mafuture terrorists na terror breds?nilikuwepo hapo usiku wa jana...saa 6 usiku jamaa katiwa nguvuni naamka naskia ndugu wa wagonjwa pale bandani wanapolalaga waachiwe walau kwa dkk 5 hivi wamtie adabu ndipo walinzi walipoenda kumuhifadhi chumba chao pale getini
son,mama yako alijifungua mdogo wako jana ndo nilimpeleka hapoUlipelekwa hapo kwasababu ya sonona ya matoto ya palestina kuuawa mafuture terrorists na terror breds?
Hahaha hahaha nimebid nicheke kwa sauti tu. Ila humu jamvin watu mnavitukoson,mama yako alijifungua mdogo wako jana ndo nilimpeleka hapo
ajira zipo nyingi akakae huko porini awedokta wa wanyamaaliajiriwa akafumuzwa kwa wizi, hawa wakupiga kiberiti tu
Nasimama na JuliSipo upande wa Julius.
Atakua ana laana ya kukosa mafanikio usomee nursing uwe mwizi mpaka ufukuzwe kazi???Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila imemkamata Bw. Steven K. Julius kwa tuhuma za wizi wa mali za wa wagonjwa ikiwemo simu za wagonjwa waliolazwa hospitalini hapo kwa kujifanya ni mwajiriwa wa Muhimbili Mloganzila kwa cheo cha Afisa Muuguzi.
Baada ya mahojiano Bw. Julius amekiri kuiba simu tatu ambapo mbili aliziuza kwa mkazi wa Kibamba, na moja ameiuza kwa mtu anyeishi nje ya mkoa wa Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Bw. Julius baada ya kumaliza mafunzo kwa vitendo ya uuguzi (nursing internship) amefanya kazi katika hospitali kadhaa za mkoa wa Dar es Salaam, ambapo alifukuzwa kutokana na vitendo vya kukuika maadili ikiwemo wizi.
View attachment 3187088
Mtuhumiwa amefikishwa Kituo cha Polisi Gogoni kilichopo Kibamba kwa taratibu za kisheria.
Aidha uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili unapenda kuihakikishia jamii kuwa inayo mifumo imara ya kiusalama ya kuweza kubaini watu wote, wanaoingia na kutoka hospitalini na ndio maana imeweza kumfuatilia mtuhumiwa huyu na kumkamata.
-------------------------------------------
Najiuliza kaa sauti ya kinyonge tu, je wizi wa namna hii ni wizi wa kawaida au ndo watu wanatafuta laana kwa lazima? Mshana Jr ebu type ABC kuhusu hili tukio maana sidhani kama ni jambo la kawaida.
Na mpaka ID anayo π bongo kila kitu connection aiseeAtakua ana laana ya kukosa mafanikio usomee nursing uwe mwizi mpaka ufukuzwe kazi???
Uharibu kazi kwasababu ya wizi???
Jamaa fala sana huyu!!!
Huyu akaombewe au asomewe dua!!!
Ni kweli kabsaVijana wabovu na wasio na maadili kama hawa inafaa waliwe vichwa mapema kabisa wakiwa vyuoni hasa kwa kada ya Afya. Ni bahati mbaya nowdays elimu imechezewa sana mpaka vibaka wanavuka kuja kuibia wagonjwa. Something must be done.
Wamchunguze vizuri kwasababu huwezi kuharibu kazi kwasababu ya wizi huko alikofukuzwa awali ni aibu tupu nursing iharibike kwasababu ya wizi wa simu??? Haiingii akiliniNa mpaka ID anayo π bongo kila kitu connection aisee