Julius adakwa akijifanya Afisa Muuguzi Mloganzila, atuhumiwa kwa wizi wa mali za wagonjwa na kukiri kuiba Simu Tatu

Julius adakwa akijifanya Afisa Muuguzi Mloganzila, atuhumiwa kwa wizi wa mali za wagonjwa na kukiri kuiba Simu Tatu

Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila imemkamata Bw. Steven K. Julius kwa tuhuma za wizi wa mali za wa wagonjwa ikiwemo simu za wagonjwa waliolazwa hospitalini hapo kwa kujifanya ni mwajiriwa wa Muhimbili Mloganzila kwa cheo cha Afisa Muuguzi.

Baada ya mahojiano Bw. Julius amekiri kuiba simu tatu ambapo mbili aliziuza kwa mkazi wa Kibamba, na moja ameiuza kwa mtu anyeishi nje ya mkoa wa Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Bw. Julius baada ya kumaliza mafunzo kwa vitendo ya uuguzi (nursing internship) amefanya kazi katika hospitali kadhaa za mkoa wa Dar es Salaam, ambapo alifukuzwa kutokana na vitendo vya kukuika maadili ikiwemo wizi.
View attachment 3187088

Mtuhumiwa amefikishwa Kituo cha Polisi Gogoni kilichopo Kibamba kwa taratibu za kisheria.

Aidha uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili unapenda kuihakikishia jamii kuwa inayo mifumo imara ya kiusalama ya kuweza kubaini watu wote, wanaoingia na kutoka hospitalini na ndio maana imeweza kumfuatilia mtuhumiwa huyu na kumkamata.

-------------------------------------------
Najiuliza kaa sauti ya kinyonge tu, je wizi wa namna hii ni wizi wa kawaida au ndo watu wanatafuta laana kwa lazima? Mshana Jr ebu type ABC kuhusu hili tukio maana sidhani kama ni jambo la kawaida.
Nilidhan Stive Mengele
 
Wenzake wapo Lumumba wanavaa suti wamchukue huyu kuboresha kikosi kazi cha October 2025.
 
Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila imemkamata Bw. Steven K. Julius kwa tuhuma za wizi wa mali za wa wagonjwa ikiwemo simu za wagonjwa waliolazwa hospitalini hapo kwa kujifanya ni mwajiriwa wa Muhimbili Mloganzila kwa cheo cha Afisa Muuguzi.

Baada ya mahojiano Bw. Julius amekiri kuiba simu tatu ambapo mbili aliziuza kwa mkazi wa Kibamba, na moja ameiuza kwa mtu anyeishi nje ya mkoa wa Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Bw. Julius baada ya kumaliza mafunzo kwa vitendo ya uuguzi (nursing internship) amefanya kazi katika hospitali kadhaa za mkoa wa Dar es Salaam, ambapo alifukuzwa kutokana na vitendo vya kukuika maadili ikiwemo wizi.
View attachment 3187088

Mtuhumiwa amefikishwa Kituo cha Polisi Gogoni kilichopo Kibamba kwa taratibu za kisheria.

Aidha uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili unapenda kuihakikishia jamii kuwa inayo mifumo imara ya kiusalama ya kuweza kubaini watu wote, wanaoingia na kutoka hospitalini na ndio maana imeweza kumfuatilia mtuhumiwa huyu na kumkamata.

-------------------------------------------
Najiuliza kaa sauti ya kinyonge tu, je wizi wa namna hii ni wizi wa kawaida au ndo watu wanatafuta laana kwa lazima? Mshana Jr ebu type ABC kuhusu hili tukio maana sidhani kama ni jambo la kawaida.
nilikuwepo hapo usiku wa jana...saa 6 usiku jamaa katiwa nguvuni naamka naskia ndugu wa wagonjwa pale bandani wanapolalaga waachiwe walau kwa dkk 5 hivi wamtie adabu ndipo walinzi walipoenda kumuhifadhi chumba chao pale getini
 
Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila imemkamata Bw. Steven K. Julius kwa tuhuma za wizi wa mali za wa wagonjwa ikiwemo simu za wagonjwa waliolazwa hospitalini hapo kwa kujifanya ni mwajiriwa wa Muhimbili Mloganzila kwa cheo cha Afisa Muuguzi.

Baada ya mahojiano Bw. Julius amekiri kuiba simu tatu ambapo mbili aliziuza kwa mkazi wa Kibamba, na moja ameiuza kwa mtu anyeishi nje ya mkoa wa Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Bw. Julius baada ya kumaliza mafunzo kwa vitendo ya uuguzi (nursing internship) amefanya kazi katika hospitali kadhaa za mkoa wa Dar es Salaam, ambapo alifukuzwa kutokana na vitendo vya kukuika maadili ikiwemo wizi.
View attachment 3187088

Mtuhumiwa amefikishwa Kituo cha Polisi Gogoni kilichopo Kibamba kwa taratibu za kisheria.

Aidha uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili unapenda kuihakikishia jamii kuwa inayo mifumo imara ya kiusalama ya kuweza kubaini watu wote, wanaoingia na kutoka hospitalini na ndio maana imeweza kumfuatilia mtuhumiwa huyu na kumkamata.

-------------------------------------------
Najiuliza kaa sauti ya kinyonge tu, je wizi wa namna hii ni wizi wa kawaida au ndo watu wanatafuta laana kwa lazima? Mshana Jr ebu type ABC kuhusu hili tukio maana sidhani kama ni jambo la kawaida.
Huyo uwizi hawezi kuacha ni kitu anachopenda sana na anajikuta tu anakifanya.
 
nilikuwepo hapo usiku wa jana...saa 6 usiku jamaa katiwa nguvuni naamka naskia ndugu wa wagonjwa pale bandani wanapolalaga waachiwe walau kwa dkk 5 hivi wamtie adabu ndipo walinzi walipoenda kumuhifadhi chumba chao pale getini
Ulipelekwa hapo kwasababu ya sonona ya matoto ya palestina kuuawa mafuture terrorists na terror breds?
 
Wizi,kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu etc kasongo yeyeee uyu kaendaa
 
Vijana wabovu na wasio na maadili kama hawa inafaa waliwe vichwa mapema kabisa wakiwa vyuoni hasa kwa kada ya Afya. Ni bahati mbaya nowdays elimu imechezewa sana mpaka vibaka wanavuka kuja kuibia wagonjwa. Something must be done.
 
Mwamba akiwa na kitambulisho chake 😃
1735401489894.jpg


Tumpe nafasi atuelezee amewezaje aisee
1735401485788.jpg
 
Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila imemkamata Bw. Steven K. Julius kwa tuhuma za wizi wa mali za wa wagonjwa ikiwemo simu za wagonjwa waliolazwa hospitalini hapo kwa kujifanya ni mwajiriwa wa Muhimbili Mloganzila kwa cheo cha Afisa Muuguzi.

Baada ya mahojiano Bw. Julius amekiri kuiba simu tatu ambapo mbili aliziuza kwa mkazi wa Kibamba, na moja ameiuza kwa mtu anyeishi nje ya mkoa wa Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Bw. Julius baada ya kumaliza mafunzo kwa vitendo ya uuguzi (nursing internship) amefanya kazi katika hospitali kadhaa za mkoa wa Dar es Salaam, ambapo alifukuzwa kutokana na vitendo vya kukuika maadili ikiwemo wizi.
View attachment 3187088

Mtuhumiwa amefikishwa Kituo cha Polisi Gogoni kilichopo Kibamba kwa taratibu za kisheria.

Aidha uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili unapenda kuihakikishia jamii kuwa inayo mifumo imara ya kiusalama ya kuweza kubaini watu wote, wanaoingia na kutoka hospitalini na ndio maana imeweza kumfuatilia mtuhumiwa huyu na kumkamata.

-------------------------------------------
Najiuliza kaa sauti ya kinyonge tu, je wizi wa namna hii ni wizi wa kawaida au ndo watu wanatafuta laana kwa lazima? Mshana Jr ebu type ABC kuhusu hili tukio maana sidhani kama ni jambo la kawaida.
Atakua ana laana ya kukosa mafanikio usomee nursing uwe mwizi mpaka ufukuzwe kazi???
Uharibu kazi kwasababu ya wizi???
Jamaa fala sana huyu!!!
Huyu akaombewe au asomewe dua!!!
 
Atakua ana laana ya kukosa mafanikio usomee nursing uwe mwizi mpaka ufukuzwe kazi???
Uharibu kazi kwasababu ya wizi???
Jamaa fala sana huyu!!!
Huyu akaombewe au asomewe dua!!!
Na mpaka ID anayo 😃 bongo kila kitu connection aisee
 
Vijana wabovu na wasio na maadili kama hawa inafaa waliwe vichwa mapema kabisa wakiwa vyuoni hasa kwa kada ya Afya. Ni bahati mbaya nowdays elimu imechezewa sana mpaka vibaka wanavuka kuja kuibia wagonjwa. Something must be done.
Ni kweli kabsa
 
Na mpaka ID anayo 😃 bongo kila kitu connection aisee
Wamchunguze vizuri kwasababu huwezi kuharibu kazi kwasababu ya wizi huko alikofukuzwa awali ni aibu tupu nursing iharibike kwasababu ya wizi wa simu??? Haiingii akilini
 
Back
Top Bottom