Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
Kuna umuhimu wa kwenda mahakamani kupinga huu mchakato "fake"!
Majaji wa mahakama wanateuliwa na mwenyekiti wa CCM aliyepo madarakani. Upo hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna umuhimu wa kwenda mahakamani kupinga huu mchakato "fake"!
Majaji wa mahakama wanateuliwa na mwenyekiti wa CCM aliyepo madarakani. Upo hapo?
Porojo tu na maneno ya vijiwe vya chai
Hiki chama cha c.c.yem kilaaniwe kwa kuhodhi mchakato mzima wa katiba yetu tuitakayo na pia hao wahusika nawaombea mungu awavune vyema kwani wamekuwa ni miti isiyo na matunda mbele za mungu!
Akina majembe,kalambwa na lowaza wanaenda kufanya nini makanisani na misikitini ikiwa wana roho mbaya kiasi hiki?
Da watu wamemsahau Mungu kabisa ila viongozi na waTz ni wanafiki.Kwenye nyumba za ibada wanajazana kama kumuomba Mungu vile kumbe wameenda kama fasheni.
Majaji wa mahakama wanateuliwa na mwenyekiti wa CCM aliyepo madarakani. Upo hapo?
Ambae alikiendesha kikao cha nec kilichotoka na msimamo wa kuhakikisha muungano wa serikali mbili unaendelea..!