Julius Nyerere, Benjamin Mkapa, wakiwa London mwaka 1975

Julius Nyerere, Benjamin Mkapa, wakiwa London mwaka 1975

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Hii ilikuwa ni siku ya mwisho ya ziara yake ya kitaifa aliyoifanya huko Uingereza mwaka 1975. Hii ilikuwa ni siku ya Ijumaa, tarehe 21, Novemba 1975.

Hivi Rais Mkapa mwaka ‘75 alikuwa na wadhifa gani serikalini?

Hao wengine sijawatambua ni akina nani.


Hii ziara niliwahi kuianzishia uzi humu miaka karibu 5 iliyopita ila hii video sikuwa nayo.

Mapokezi ya Nyerere huko Uingereza
 
mwaka 75 laa, Nyerere alikuwa na heshimika sana duniani,nakumbuka aliwahi kupokelewa Ikulu ya Marekani na rais Jimmy Carter, wakati rais mwenzie ambaye alikuwa huko wakati huo Omary Bongo alikuwa anasaga lami tu mitaani.
 
mwaka 75 laa, Nyerere alikuwa na heshimika sana duniani,nakumbuka aliwahi kupokelewa Ikulu ya Marekani na rais Jimmy Carter, wakati rais mwenzie ambaye alikuwa huko wakati huo Omary Bongo alikuwa anasaga lami tu mitaani.
Alikuwa anaheshimika sana!

Mimi mpaka leo hii huwa nikikutana na watu wa Afrika Magharibi kama Ghana, Nigeria, Ivory Coast na kwingineko, na walio na umri wa kutosha kuweza kukumbuka, mara nyingi nikiwatajia ninapotoka, huwa wanamzungumzia pia Nyerere.

Nadhani wanamheshimu sana hata pande hizo.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] halafu Wanyonge nao wanaitikia Oyeee,Mawaziri na Wenye elimu ya kutosha nao Oyeeee kwa uoga wa kupokwa Tonge...Aiseee Mh John amepindua meza kibabe.
Siku hizi Ni ....Choo oyee,jogoo oyee...kesho mkajisaidie kwa DC,hizo hela mlixokula zitawatokea kwenye sehemu matundu yote yaliyowazi![emoji36][emoji36]
 
Hii ilikuwa ni siku ya mwisho ya ziara yake ya kitaifa aliyoifanya huko Uingereza mwaka 1975. Hii ilikuwa ni siku ya Ijumaa, tarehe 21, Novemba 1975.

Hivi Rais Mkapa mwaka ‘75 alikuwa na wadhifa gani serikalini?

Hao wengine sijawatambua ni akina nani.


Hii ziara niliwahi kuianzishia uzi humu miaka karibu 5 iliyopita ila hii video sikuwa nayo.

Mapokezi ya Nyerere huko Uingereza

Julius Nyerere University of Kankan

Julius Nyerere University of Kankan (UJNK), also known as Université de Kankan is a university in Kankan, Guinea.[1] It is named after Julius Nyerere, the first President of Tanzania.
Julius Nyerere University of Kankan
Université Julius Nyerere de Kankan
Established1968
LocationKankan
,
Guinea
Websitewww.ujnk.org
 
Mkapa na nyerere walikuwa wanabonga Sana ngeli pia nyerere alikuwa mjenga hoja matata. Sasa hivi si Mbowe, si magufuli, si lipumba wote Kingereza kibovu
Haiwezekani!! Wengine wa afadhali bwana hoja za kiswahili wanaweza.

Magu hawezi kujenga hoja hata kwa kiswahili!! Tumepatikana kweli!.. tunaishia kusema, watamwelewa tu
 
Haiwezekani!! Wengine wa afadhali bwana hoja za kiswahili wanaweza.

Magu hawezi kujenga hoja hata kwa kiswahili!! Tumepatikana kweli!.. tunaishia kusema, watamwelewa tu
Kweli, Magu yeye ni hoja za uchumi kupanda, mawasiliano - ya anga, barabara, majini. Hoja ya elimu, afya na hoja za nishati ya bei rahisi. Pia anazo hoja alizozijenga kama kuhamia Dodoma!
Hoja hizo kwake amezitoa kwenye kiswahili na kiingereza akaziweka kwenye vitendo. Siyo hoja za lugha (maneno) tu kwake. Ni vitendo. Sasa linganisha - kujenga hoja za umahiri wa lugha bila matendo au vitendo na matokeo bayana! Chagua.
 
Mkapa na nyerere walikuwa wanabonga Sana ngeli pia nyerere alikuwa mjenga hoja matata. Sasa hivi si Mbowe, si magufuli, si lipumba wote Kingereza kibovu
Acha tu kingereza, hoja haijengwi kwa kingereza, hoja inajengwa na uwezo wako wa akili. Sasa hao uliowataja hata kujenga kwa kiswahili ni shida.

Nyerere alitawala enzi za wasomi wachache ila wenye kuchambua na kunyumbulisha mambo kwa hoja.

Sasa hivi wajinga ni wengi kuliko ambao Nyerere alitawala.
 
Back
Top Bottom